Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wapi mmemshindwa Noham forest amayeshika mkia, kibonde wa mwisho kabisa ndo mje kuwaweza wengine. Kubalini tu kuwa mwaka huu mnachopigania ni kutoshuka daraja
Unatutajia timu za mabondeni

Hivi hujaona tulivyomtandika teke kipanga wenu City
 
Tunafagia takataka zote zilizovamia pale juu
20221024_130020.jpg
 
Game ya pili tunawapakata matakataka nyie.....na usikae unatutolea reference kila saa mtatuambukiza kideri
Hiyo ya pili ataingia Klopp mwenyewe kumsokomeza teke Bwana Kipara
 

Attachments

  • Screenshot_20221024-130352_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20221024-130352_WhatsAppBusiness.jpg
    95 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom