Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haaland goals 15
Chelsea Goals 16
Tunatakiwa kufanya mageuzi makubwa kwenye ufungaji
 
Mageuzi yaanzie hapa

Pulisic
Auba
Ziyech
Harvetz
Sterling
Jorgnho
Cheek
Azipculeta
Tatizo letu kubwa liko kwenye midfield, hao akina Auba, Pulisic, Sterling hawakupelekewa vya kutosha washindwe kufunga. Hizo cases chache haitoshi kuwapa hukumu ya mwisho. Siwatetei ila tuanze mageuzi kwenye viungo na tuongeze wing-backs wazuri hasa kulia halafu tuone. Hao akina Pulisic tukisafisha upande wao wakati viungo tulionao ni hawa hawa, hata aje mshambuliaji hatari kuliko Haaland, story itakuwa ni ile ile

Unakuwa na kiungo kama Jorgnho ambaye akipata mpira anageukia nyuma ili arudishe mpira kwa mabeki au kipa na pasi zake ni mbovu kuliko maelezo. Unakuwa na kiungo kama Jorginho siku akicheza vizuri sana ndio tunapata droo. Unakuwa na Kiungo kama Cheek akipata mpira anatuliza kwanza ili awasubiri adui ndipo aanze kufanya dribling zake za kuvuta na za kitoto

Pale katikati for sure Kante ataondoka, Jorginho na wenzake waondolewe pia, waletwe experience MF watakao endana na akina Chukwuemeka ili kuleta mapinduzi pale katikati. Sina shaka na falsafa ya GP ila hana viungo wa kutekjeleza hiyo falsafa
 
Huyu Bruno Guimaraes ameitransform kiungo ya New Castle, very creative. Amesababisha yale matakataka ya zamani ya New Castle sasa wanacheza kandanda safi

Hii ndio tunasema hata hapa Chelsea, wanaotuchelewesha ni akina Jorgninho, Kova na Cheek. Sio wabunifu kabisa hata kama wakicheza vizuri. Viungo wasioweza kutengeneza nafasi au kuanzisha mashambulizi BURE KABISA

Newcastle vs Spuirs 2-0 - Wamewazidi Conte mens kila kitu
1666541787652.png
 
City wanaviungo wapikaji, n viungo wao wanaweza control game yoyote
Uwepo wa bernardo n gundogan + kdb, hawa wote wanauwezo wa kutengeneza nafasi bado hujawaongeza Foden+Mahrez+Grealish

Sisi sasa viungo wetu hawana uwezo wengi ni spana mkononi,

Bila kuwa na kiungo mbunifu ambae anaweza tengeneza nafasi tutaendelea kuhangaika,.
Yani ukiangalia tim yetu james akiwepo na asipokuwepo ni usiku na mchana,
Tuko matatizon kama mchezaj wetu bora n mtengenezaj wa nafasi ni james

Yani Usajil wa viungo now ni wa muhim kuliko shm yoyote ile, bilq hivyo tutaendelea kuhangaika

Kante,Kovacic,Loftus Cheek hawa wote ni spana mkononi mdq wowote wanarudi wodin.
Chalii yangu OllaChuga Oc atasema mko vizuri
 
Tatizo letu kubwa liko kwenye midfield, hao akina Auba, Pulisic, Sterling hawakupelekewa vya kutosha washindwe kufunga. Hizo cases chache haitoshi kuwapa hukumu ya mwisho. Siwatetei ila tuanze mageuzi kwenye viungo na tuongeze wing-backs wazuri hasa kulia halafu tuone. Hao akina Pulisic tukisafisha upande wao wakati viungo tulionao ni hawa hawa, hata aje mshambuliaji hatari kuliko Haaland, story itakuwa ni ile ile

Unakuwa na kiungo kama Jorgnho ambaye akipata mpira anageukia nyuma ili arudishe mpira kwa mabeki au kipa na pasi zake ni mbovu kuliko maelezo. Unakuwa na kiungo kama Jorginho siku akicheza vizuri sana ndio tunapata droo. Unakuwa na Kiungo kama Cheek akipata mpira anatuliza kwanza ili awasubiri adui ndipo aanze kufanya dribling zake za kuvuta na za kitoto

Pale katikati for sure Kante ataondoka, Jorginho na wenzake waondolewe pia, waletwe experience MF watakao endana na akina Chukwuemeka ili kuleta mapinduzi pale katikati. Sina shaka na falsafa ya GP ila hana viungo wa kutekjeleza hiyo falsafa
Sikujua kama na nyinyi ni wabovu kiasi hiki
 
Umeamua kuja kujifarijia huku kwetu eh, jana wenzako walipotea kabisa ila wewe una roho ngumu aisee
Chizi maarifa huyo mkuu; mwache atakuumiza kichwa bure 😀 😀 😀 😀
 
New castle wameshinda dhidi ya timu za kawaida sana. Timu za top 6 alizokutana nazo ni City, Liverpool na Man U na hawa wa leo ni wa nne. Kachukua points 2 tu, akishinda leo dhidi ya spurs atafikisha point 5 kwa top 6
Kacheza mechi 11
Kashinda 4
Droo 6
Kafungwa 1
Kashinda dhidi ya Forest, Fullam, Brentford na Everton
Kadroo na Brighton, City Wolves, Palace, Bonamouth na Man U
Kafungwa na Liverpool
 
Huyu Bruno Guimaraes ameitransform kiungo ya New Castle, very creative. Amesababisha yale matakataka ya zamani ya New Castle sasa wanacheza kandanda safi

Hii ndio tunasema hata hapa Chelsea, wanaotuchelewesha ni akina Jorgninho, Kova na Cheek. Sio wabunifu kabisa hata kama wakicheza vizuri. Viungo wasioweza kutengeneza nafasi au kuanzisha mashambulizi BURE KABISA

Newcastle vs Spuirs 2-0 - Wamewazidi Conte mens kila kitu
View attachment 2395720
Huwa naamini ukifanya scouting vizuri utapata wachezaj wazuri tu kwa less than 55M

Our last 3 transfer window tumespend almost 500M, na still tunaonekan matakataka, coz tunasajil overrated players n ambao hawaj tatua matatizo yetu,

Hatufany sajil za mahitaj na hata tukifanya hatuchagui right player tunaenda kwa wale overhyped.

Soon tutapigwa na kitu kizito kwa west ham.
Kuna player wazuri tu Enzo Fernandez,Koudao Kone,Alvarez ambao unawapata kwa price ndogo ila kaz yao wanayofanya nikubwa
 
Declan Rice Info
Age: 23yr
Position Defensive Midfielder (DM)
Salary per week: £156,000.
Contract expiry: June 2024
Contract renewal: Stalling
Possible suiters: Chelsea FC

Stats 2022
  • Matches 10
  • Goals 1
  • Assists 2
  • Yellow cards 2
  • Red cards 0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom