Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Cheltako chelyatima Leo mkipata hata draw nyie yatima Najitoa jf waja laana nyie 








Chelsea tuna uwezo wa kumfunga Mancity Potter akiwa strategical angalau tupate draw.
nguvu za mancity ziko kwenye middle field Halaad sio chochote au lolote ukimbana KDB na Forden huyu halaad kafunga 'tap in goals' 11 zote kutoka kwa pass safi za KDB hapo KDB ndo mchawi lazima atafutiwe dawa.
Kocha azigatie wachezaji wakongwe wenye uzoefu katika defence asiangalie umri au current form
Thiago sliva Azippe(chillewel) Kouribara na James(cucu) wawe safu ya ulinzi wakae nyuma bila kupanda kipindi cha kwanza, Kante jihginio kovicic mount(Kei) Wawe middle field kuvuruga mipango ya KDB Forden. Na wapige mipira mrefu long passes kwa double strikers.
Auba na sterling wabaki kama strkers kwa kupokea mipira mirefu tu.
hapo Mancity tutaipiga vizuri bila shida akijichanganya na gambling zake mara ameweka gharagha mara Loftus cheek, zienchy Boroja tuna pokea kipingo kama cha Man-u
Cheltako chelyatima Leo mkipata hata draw nyie yatima Najitoa jf waja laana nyie![]()
Amkeni nyie tuchambue mechi sio mnalala lala siku ya kupapaswa hii chagueni leo mfe ngapi.View attachment 2394284
Kama nataka ku kwamini hivi ni kiona Jorginho kwenye line-up yetu naona draw ndo kaxi yake maalumu ku-nuetralize mchezo mpira ushie kati kati ya kiwanja kwa fauls ndogo ndogo ili mda uisheLeo ni mwendo wa sare tu hakuna namna


Cheltako hakuna timu hapa
watu wanakuja kustaafu
timu ina wachezaji wamecheza tangu enzi za pele
Ile mechi forward Muhindi Broja hawa jamaa wanachekesha sana..Msije kutupangia kile kikosi chenu dhidi ya Brentford hatuta husika na iyo kesi.
Hivi mimi naomba mtu wa kunieleza ma wenge/mapungufu ya cucurela, kwa sabb na muona kama right back anae panda na kushuka anatoa pass za wakika za chini na za juu chenga anapiga vizuri kasi anao, mwataka afanye lipi la ziada jamani, japo hamfikie chellwell ila ni mbadala wake mzuri, huyu hatukupigwa kabisaChilwell aanze Cucurela SUB. Cucurela ana mawenge sana.
Azip aanze RWB.
Cucu na Chilwell hawafananishwi uchezaji wao ni tofauti kabisa japo ni wote ni fullback. Kocha ndie anayejua kulingana na oponent nani aanze na nani aje baadayeHivi mimi naomba mtu wa kunieleza ma wenge/mapungufu ya cucurela, kwa sabb na muona kama right back anae panda na kushuka anatoa pass za wakika za chini na za juu chenga anapiga vizuri kasi anao, mwataka afanye lipi la ziada jamani, japo hamfikie chellwell ila ni mbadala wake mzuri, huyu hatukupigwa kabisa
Cucurella alivyoanza km LCB na Aston villa hakuwa na game nzuri Sana mpk alipoingia koulibalyKikosi leo kianze hivi
Kepa; Chilwell,Thiago Silva, Koulibaly;cucurela, Kovacic, Jorginho, pulisic,Mount, Aubameyang, Sterling.
Sub waje kuingia kina havertz, connor galagher,RLC na Broja
Hivi hii Ng'ombe inaangaliaga mpira kw mataQo, Huyo Muhindi alicheza vizuri wapi? kwanza yeye ndio aliyesababsha tumedroo manina.Kwenye mechi na Brentford mimi naona Broja na Chukweuemeka walicheza vizuri. Sikutegemea wangecheza kwa kiwango kile. Mfano broja amekuwa too physical na kujiposition vizuri ni bahati mbaya tu hakufunga goli
Naye Chukwuemeka kacheza kwa nguvu na ana mwili mzuri, ana mbio na anayo compusure nzuri akiwa na mpira
Natumaini kocha atazidi kuwapa mechi na muda zaidi ili wajenge kujiamini na kuanza kuleta uhai kwenye uchezaji wa Chelsea ambao mimi naona bado hatuko consistence hasa kwenye eneo la kiungo, Kova, Jorginho na Cheek bado hawajatulia hapo. Tukicheza na high pressing team tutapata shida sana. Mechi na Brentforn kwa mfano, ni Kepa pekee ndie aliyejitahidi kuzuia tusifungwe. Kama sio umahiri wake tungelala kwa zaidi ya goli 3
View attachment 2393809
Umeangalia match iliyopita Huyo Cucurella alivyocheza?Hivi mimi naomba mtu wa kunieleza ma wenge/mapungufu ya cucurela, kwa sabb na muona kama right back anae panda na kushuka anatoa pass za wakika za chini na za juu chenga anapiga vizuri kasi anao, mwataka afanye lipi la ziada jamani, japo hamfikie chellwell ila ni mbadala wake mzuri, huyu hatukupigwa kabisa