Kuna mada ya wadau huwa ni kuacha tu mtu aelewe anavyojua kwenye akili yake kwa sababu hata ujitahidi sana hataelewa.Wewe unashindwa kuelewa jambo dogo sana. Unatolea mfano City na Arsenal ambazo wao tayari wana timu msimu huu wamefanya maongezeko kidogo tu. Utafananisha na sisi ambao tumebadili kocha na kuna ingizo la wachezaji 5+ na hapo kuna majeruhi kama yote. Huitaji elimu kubwa kulielewa hili nashanga ndugu unavyokaza fuvu.
Kabla ya mechi dhidi ya Brentford hao kina Auba walianza lakini hawakua na threat dhidi ya Aston Villa then mechi iliyofuata ndio ikabidi awaanzishe bench. Kwa sababu gani ili kumlinda mchezaji na majeraha pia kumkumbusha hananamba ya kudumu hasa pale anapokua na kiwango dhaifu.
Kuhusu Havertz nadhani yeye ndie anashinda na players wake Cobham kuna kitu anamshawishi ndio maana anamuanzisha ukizingatia kwa mchezaji kama Havertz unajua muda wowote anaweza kukupa kilicho bora ila tu nahisi atakua na matatizo nje ya uwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye Kei hapati majeruhi kwa kupangwa kila match day? Pia timu zingine kama Arsenal Mancity zinafanya je rotatation na bado zinapata matokeo, ukiangalia Mancity wachezaji kila match ni wale wale isipo kua wa wili au watatu na wana match sawa saw na sisi na arsenal ni hivo hivo Manchester United ni wale wale mpaka Ronaldo anakasilika kwanini hapangwiKuna mada ya wadau huwa ni kuacha tu mtu aelewe anavyojua kwenye akili yake kwa sababu hata ujitahidi sana hataelewa.
Tunazo mechi nyingi sana na kocha changamoto yake ni kuweka balance kwenye timu na hapo hapo kuavoid majeruhi. Mchezaji asipofanyiwa rotation anaweza kuchoka au kupata majeruhi na hivyo timu kuadhirika sana. GP anakwepa hilo kwa kumuweka Havertz uwanjani
Benchi lipi alilokua anasugua Sterling??Kwa kikosi gani kipana chenye QUALITY ulichonacho mpaka usimpange KAI 1st eleven?
Kwa kikosi gani kipana chenye QUALITY ulichonacho mpaka KAI asiwe kwenye ROTATION ya kucheza?
Labda pale Man city ndio Kai anaweza asicheze 1st eleven wala rotation.
Huyu STERLING tunayemuona mashine panga pangua 1st eleven pale CITY alikuwa anasugua benchi.
Tusidanganyane hapa THE BLUES hatuna kikosi hicho cha kufanya hawa wachezaji tulionao wasipate namba labda yule Zakaria mgonjwa wa fitness
Chelsea sio Arsenal na sio cityKwani yeye Kei hapati majeruhi kwa kupangwa kila match day? Pia timu zingine kama Arsenal Mancity zinafanya je rotatation na bado zinapata matokeo, ukiangalia Mancity wachezaji kila match ni wale wale isipo kua wa wili au watatu na wana match sawa saw na sisi na arsenal ni hivo hivo Manchester United ni wale wale mpaka Ronaldo anakasilika kwanini hapangwi
Lakini kwanini sisi blues hiyo rotation inaonekana hata kwenye armature kama sisi, unapanga boloja, Gharagha Chalabo Chikwe loftus cheek, Kei hiyo ni karibia ni team nzima , hapo unahitaji point 3 kama zile zile utakazo pata kwa Man U. Match ukiufunga.
GP ajifunze kufanya rotation kama top 4 wengine sio rahisi mtu amateur kuona kama kuna rotation sio kubadili team nzima kama anavo fanya, hapo Chelsea ni kama ina team mbili kwa league moja. team A na B kwa goal keeper ule ule yeye hamfanyie rotation
Naomba tuepuke kijadili personality tujadili content ya mtu sio mtu, tuleta facts reasoning na data hapa tuko kwa ajili ya burudani kwani fedheha kwa mwezio ya nini? kama hujampata pita mgine atamjibu alio muelewa sio lazima umuelewa au umjibu wewe, fedheha sio nzuri, wote hapa hatuko professional analytics
Unateseka sana kutoka wapi hukoHawa cheltako eti wanajadiliana
yaani timu yenye ukuta wa miaka 150 inataka ubingwa
nyinyi chelsea ni mavi kunuka
Ni mimi MO11 kutoka arsenalUnateseka sana kutoka wapi huko
Huyo atacheza tu hapo katikati hakuna ujanja, zile mechi ndogo ndogo za FA na Carabao zikianza mbona hata Casdei na Omar Elijah watachezaNaitwa Dennis Zakaria, nimekuja Chelsea Fc kula mshahara bure bila kucheza mechi.
Mshahara bila kuvuja jasho ni mtamu nyamnyam.View attachment 2393755
Top 4 tutoke ila sio kupitia hao vibonde jamani tena darajani nyumbani kwetu


jiandae tu mkuu kama una roho nyepesi lala tu home.Aisee mbolea itufunge nyumbani, noway bora daraja libomoke, najua ule ushindi wa ile timu ya mbinde mbinde inategemea ujanja wa Conte najua mtakuwa mmelewa sanajiandae tu mkuu kama una roho nyepesi lala tu home.