Kuna mjadal uliwahi kuwa hapa kuhusu mfumo, formation nk
Tuchel alikuwa akitumia 343 lakini defensively
Potter anatumia 343 lakini ofensively
Same formation diferent style of play
ndio maana mimi nasema formation kwa kiswahili ni mpangilio wa wachezaji uwanjani kulingana na uwezo wao wa kucheza hizo nafasi
Ndio maana Potter anakuja na formation tofauti kila game
Anapofanya mabadiliko kwenye timu mfano rahisi, ukitaka Chilwelll awepo uwanjani na James ni lazima formation iwe ni ya kutumia wing-backs, James na Chilwell wanakuwa at their best when they play as wing-backs rather than Full Backs.
Halafau pia kwa kipa. Mendy ataendelea kukaa benchi kwa sababu Poter na Tuchel ni makocha wenye falsafa ya mpira tofauti kabisa
Tuchel ni defensive coach wakati Potter ni Offesnive coach
Wakati wa Tuchel kila mchezaji anakaba na aliwataka wachezaji wenye uwezo wa kukaba hata kama hawafungi magoli.
Sasa ni tofauti, wakati huu wa Potter anawataka kila mchezaji awe na uwezo wa kutoa mchango kwenye kushambulia.
Kepa anajua kufanya distribution ya mipira ambayo ni nzuri sana kwenye kujenga mashabulizi yakiwepo yale ya counter attack. Mendy sio mzuri kabisa kwenye distribution ya mipira anafaa kwenye mfumo wa Tuchel wa defensive approach
So Kepa is an offensive golie while Mendi is a defensive golie
Hii falsafa inaenda pia kwenye nafasi zingine hasa za kwenye midfield
Denis Zakari is typical a defensive midfield ambaye angefaa sana kwenye style ya Tuchel sasa tunaye Potter ambaye yeye anapenda hata DM awe na uwezo wa kujenga mashambulizi. Na nahisi hii ndio sababu kubwa kwa nini Denis Zakaria hachezi hadi sasa hivi
Huko mbeleni tutashuhudia Potter akiwaleta wachezaji wenye mindset ya kushambulia kuanzia kwa Kipa, Mabeki, Viungo na ikifikia hapa tutakuwa na a very dangerous team kwenye EPL na UCL
Nitolee mfano tu zile pasi mbili zilizosababisha magoli, yaani pasi ya James kwenda kwa Mount na Pasi ya Kovacic kwenda kwa Mount zilikuwa ni pasi za haraka kama zile za Man City au Liverpool. Hatujawahi kufunga magoli Chelsea kwa hivi karibuni kwa pasi za kasi kwa style ile, Sasa ndio tumeanza kuziona kwa Potter