Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aiseeee dah kante mwenyewe binadamu humble akiona hii comment naona atajisikia vibaya Sana
What ever, ukweli ndio huo ukibaki kuhudumia wagonjwa kama Kante kweli tutafika kwenye nchi ya ahadi?
Muda umefika Kante awekwe pembeni. Angekuwa na umri mdogo tungeshauri timu iimarishe idara ya Physio therapy. Ila kwa umri wake hata iimarishwe bado huko tunakokwenda atakuwa liability tu kwa timu. Wee imagine miezi mtu hayupo kwenye squad amekuja ndo anajenga fitness karudi tena wodini halafu unataka tusemeje?
 
Hilo taira Lembu ni mamluki tu linaropokaga tu bila kutumia akili ake vizuri
Ila wewe jamaa unamkosea heshima lembu , Kante Sasa hivi hawez tena kucheza mech 3 mfululizo,

Na anataka mkataba mpya mrefu, pia anataka kubaki jiji la London, Sijui nan atamsajiri kwa mkataba wa miaka mitatu anaotaka
 
1665750693881.png
 
Ila wewe jamaa unamkosea heshima lembu , Kante Sasa hivi hawez tena kucheza mech 3 mfululizo,

Na anataka mkataba mpya mrefu, pia anataka kubaki jiji la London, Sijui nan atamsajiri kwa mkataba wa miaka mitatu anaotaka
Kante bado ni potential mkuu japo majeruhi yanamuandama ila uwezo wake kila mtu anaujua .. tatizo Lembu anaongeaga sometime vitu visivyo na akili🤪🤪🤪
 
Ila wewe jamaa unamkosea heshima lembu , Kante Sasa hivi hawez tena kucheza mech 3 mfululizo,

Na anataka mkataba mpya mrefu, pia anataka kubaki jiji la London, Sijui nan atamsajiri kwa mkataba wa miaka mitatu anaotaka
Yaani wanaoharibu hili jukwaa na kuwaharibia ushuhuda mashabiki wa Chelsea ni Matahira kama huyo Olachugan Oc
 
Kante bado ni potential mkuu japo majeruhi yanamuandama ila uwezo wake kila mtu anaujua .. tatizo Lembu anaongeaga sometime vitu visivyo na akili🤪🤪🤪
Chambua, usije dandia mada na kukariri tu. Leta uchambuzi wako hapa ni kwa nini Kante ana pontential wakati ndio anaishia na majeruhi. Kijana wa miak 18-22 tunasema ana pontetial na wewe unakuja kutuambia Kante wa 30+ ana pontetial tukueleweje sasa
 
Sorry mkuu Lembu wewe ni mwanagu kichizi🤣🤣🤣🤣
Kante kacheza mechi mbili tu tangu msimu uanze na kuna uwezekano hatacheza hadi January na kama January atauzwa ili June asiondoke bure Kante anaweza asiichezee Chelsea tena
Huu ndio uchambuzi unatakiwa kuleta kwenye mjadala sio matusi na kashfa
 
Injury ya James ni mbaya kuliko ilivyotegemewa hapo mwanzo. Katika uchunguzi wa jana uluofanywa umedhihirisha kuwa James kaumia sana na kuna uwezekano akafanyiwa upasuaji. Na ikifikia hatua hiyo anaweza akawa nje hata kwenye kipindi cha WC. Bado madaktari wa timu wanaangalia options zilizopo za kumtibu kwa kumfanyia upasuaji au bila upasuaji. Pia bado muda kamili ambao James hatacheza mpira haujajulikana
1665756265239.png
 
Injury ya James ni mbaya kuliko ilivyotegemewa hapo mwanzo. Katika uchunguzi wa jana uluofanywa umedhihirisha kuwa James kaumia sana na kuna uwezekano akafanyiwa upasuaji. Na ikifikia hatua hiyo anaweza akawa nje hata kwenye kipindi cha WC. Bado madaktari wa timu wanaangalia options zilizopo za kumtibu kwa kumfanyia upasuaji au bila upasuaji. Pia bado muda kamili ambao James hatacheza mpira haujajulikana
View attachment 2387044
Hii imekuwa shida msimu ulioisha alikuwa Chilwell now James halafu wote wameumia kipindi kinachofanana
 
Tukianza kufanya vizuri ndipo wao waanza kuumia sijui Wana pepo la aina gani alafu Chelsea nina walaumu Sana wamefanya signing bila kuzingatia upande wa James sijui ni kwanini
Tutamalizia January, ila Azpi naye akiumia sijui itakuweje, Itabidi Cheek ndie ashike huo usukani, tubangaishe hadi January japo ni ngumu kumpata Fullback mzuri January
 
Upande kushoto tumecover vizuri kwa Chilwell n Cucurella

Sasa huku kulia bila James nani ataziba
Neither Azp Nor Loftus Cheek sio wakuwategemea kila mecho

If kuna uwezo tutafute dogo mzuri huko academy anaeweza kucover,
 
Upande kushoto tumecover vizuri kwa Chilwell n Cucurella

Sasa huku kulia bila James nani ataziba
Neither Azp Nor Loftus Cheek sio wakuwategemea kila mecho

If kuna uwezo tutafute dogo mzuri huko academy anaeweza kucover,
Ukiondoa timu ya Wanawake na Wanaume, hizi academy na development team zinafanya vibaya sana kwenye mashindano yao. Sidhani kama tutapata kitu mule. Yaani ni kupasua kichwa tukianza kuangali kwa wale watoto. Kule wachezaji wazuri kidogo wako kwenye midfield. Hatuna ujanja ni lazima tu tubangaize na akina Azpi, Cheek, hadi dirisha la January. Hata Sterling alishacheza kama Wing-back ila kwa upande wa Chilwell, Pulisic naye alishacheza nk. We do not have options zaidi ya hawa wa main team
 
Ukiondoa timu ya Wanawake na Wanaume, hizi academy na development team zinafanya vibaya sana kwenye mashindano yao. Sidhani kama tutapata kitu mule. Yaani ni kupasua kichwa tukianza kuangali kwa wale watoto. Kule wachezaji wazuri kidogo wako kwenye midfield. Hatuna ujanja ni lazima tu tubangaize na akina Azpi, Cheek, hadi dirisha la January. Hata Sterling alishacheza kama Wing-back ila kwa upande wa Chilwell, Pulisic naye alishacheza nk. We do not have options zaidi ya hawa wa main team
Hofu yangu ni dhidi ya top team , yule Azp siku akikutana na Martinell utakuwa uchochoro,

Ngoja tuone Potter atafanyaje,

Maana msim uliopita hapa ndipo tulipoanza kupoteana,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom