GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,674
- 1,950
Hahaa Mimi nimemskia nikatabasamu tu, labda alishafika KilimanjaroKataja kilimanjaro. Uyu mtangazaj atakuwa mchaga nini![]()
Hahaa Mimi nimemskia nikatabasamu tu, labda alishafika KilimanjaroKataja kilimanjaro. Uyu mtangazaj atakuwa mchaga nini![]()
Yes tumemnyoa nje ndani.Kwa hiyo mbabe WA serie A , aka kipanga wao ndio kapigwa nje ndani au sio ?
N mwendo wa kuwabandua tuuKwa hiyo mbabe WA serie A , aka kipanga wao ndio kapigwa nje ndani au sio ?
GP Ni Kocha mzuri , huyu mngempa Zile £250m mlizompa Tuchel angewaletea watu wa Ukweli kama kina CAICEDO ,Naanza kumkubali GP, em niendelee kujionea shughuli.
Blue is colorEt new London cow boy ,yaani mkibadli jina la timu yenu kuwa cow boy nyie mtakuwa mang'ombe kabisa....
Hivi kweli mnaweza kubadili kutoka Chelsea to new London cow boy ??
Haki nitacheka sana![]()
.......... Liverpool ya sasa inayoishia ......... 😂GP Ni Kocha mzuri , huyu mngempa Zile £250m mlizompa Tuchel angewaletea watu wa Ukweli kama kina CAICEDO ,
GP kitakochomsaidia bado wengi wanamdharau hivo hatakuwa na presha
Mimi bado ugomvi wangu na Hawa makocha wanaotumia £200m+ dirisha moja halafu timu zao zinakaa nyuma , nini maana ya kutumia £200m+ Sasa
Mpe Klopp hiyo 200 uone shughul yake dirisha moja tu ,
Wengi wanajifichia kichaka ohoo hata Klopp ilimchukua miaka 3 kuijenga Liverpool ,nikweli lkn sababu wamiliki wao hawakumpa 200 dirisha moja, walimpa kidogo kidogo, had msimu wa 2017/18 walipomuuza coutinho ile hela ndipo wakampa Klopp £177.5m , ndipo akaleta kina Allison, Vvd , ox, keita,fabinho , n.k ndipo akaipata hi Liverpool ya Sasa inayoishia
Pep alifanya usafi msimu mmoja , msimu wa 2 akapewa £200m+ akabeba epl
Lampard alipewa £230m ,hicho kikos msimu huo huo kikabeba UCL na Tuchel
Ukiona Kocha dirisha moja katumia £200m+ timu bado inacheza kama Westham ,lazima mmliki amtimue
GP kwa ile Brighton ya bajeti ndogo ,asipoingiliwa majukumu ya Usajiri Chelsea atafanya vzr
Yah Liverpool inahitaji mmliki wao atoe kuanzia £200m , Yule salah hakuna garantii atarejea ,yupo kwenye 30+ age , huenda ndio akawa amepotea mazima, anahitaji replacement ,.......... Liverpool ya sasa inayoishia ......... 😂
Tumeshinda 2 kwa nungeNgapi ngapi apooo..
Unamuonaje mkuu Auba snachokifanya hukuGP Ni Kocha mzuri , huyu mngempa Zile £250m mlizompa Tuchel angewaletea watu wa Ukweli kama kina CAICEDO ,
GP kitakochomsaidia bado wengi wanamdharau hivo hatakuwa na presha
Mimi bado ugomvi wangu na Hawa makocha wanaotumia £200m+ dirisha moja halafu timu zao zinakaa nyuma , nini maana ya kutumia £200m+ Sasa
Mpe Klopp hiyo 200 uone shughul yake dirisha moja tu ,
Wengi wanajifichia kichaka ohoo hata Klopp ilimchukua miaka 3 kuijenga Liverpool ,nikweli lkn sababu wamiliki wao hawakumpa 200 dirisha moja, walimpa kidogo kidogo, had msimu wa 2017/18 walipomuuza coutinho ile hela ndipo wakampa Klopp £177.5m , ndipo akaleta kina Allison, Vvd , ox, keita,fabinho , n.k ndipo akaipata hi Liverpool ya Sasa inayoishia
Pep alifanya usafi msimu mmoja , msimu wa 2 akapewa £200m+ akabeba epl
Lampard alipewa £230m ,hicho kikos msimu huo huo kikabeba UCL na Tuchel
Ukiona Kocha dirisha moja katumia £200m+ timu bado inacheza kama Westham ,lazima mmliki amtimue
GP kwa ile Brighton ya bajeti ndogo ,asipoingiliwa majukumu ya Usajiri Chelsea atafanya vzr
Atleast siku hizi comments zako zimekaa kama mdau wa mpira. Safi sanaGP Ni Kocha mzuri , huyu mngempa Zile £250m mlizompa Tuchel angewaletea watu wa Ukweli kama kina CAICEDO ,
GP kitakochomsaidia bado wengi wanamdharau hivo hatakuwa na presha
Mimi bado ugomvi wangu na Hawa makocha wanaotumia £200m+ dirisha moja halafu timu zao zinakaa nyuma , nini maana ya kutumia £200m+ Sasa
Mpe Klopp hiyo 200 uone shughul yake dirisha moja tu ,
Wengi wanajifichia kichaka ohoo hata Klopp ilimchukua miaka 3 kuijenga Liverpool ,nikweli lkn sababu wamiliki wao hawakumpa 200 dirisha moja, walimpa kidogo kidogo, had msimu wa 2017/18 walipomuuza coutinho ile hela ndipo wakampa Klopp £177.5m , ndipo akaleta kina Allison, Vvd , ox, keita,fabinho , n.k ndipo akaipata hi Liverpool ya Sasa inayoishia
Pep alifanya usafi msimu mmoja , msimu wa 2 akapewa £200m+ akabeba epl
Lampard alipewa £230m ,hicho kikos msimu huo huo kikabeba UCL na Tuchel
Ukiona Kocha dirisha moja katumia £200m+ timu bado inacheza kama Westham ,lazima mmliki amtimue
GP kwa ile Brighton ya bajeti ndogo ,asipoingiliwa majukumu ya Usajiri Chelsea atafanya vzr
Deadwood zinapunguzwa inabaki moja ya kuitwa PulisicTETESI
Ziyech and Densi Zakaria out of POTTER PLANS
Nasikia January wote wanaondolewa, mkataba wa Denis utafupishwa na Ziyech kuuzwa dirisha likifunguliwa
Pulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi