Pulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi
Pulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi
Safi sana kazi nzuri sana.Tumeshinda 2 kwa nunge
GP anajua kuinua ubora wa mchezaji ila mtu mwenye kibri kama Ziyech hawezi kamwe kuinuka labda apende mwenyewePulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi
GP anamuona pulisic kama trossard wake, na am sure atamfanya awe Bora Sana.Pulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi
HUYO TROSSARD MKUUU ACHA NAE KABSA HUYO NI MWAMBA SANAGP anamuona pulisic kama trossard wake, na am sure atamfanya awe Bora Sana.
Nilimshangaaa sanaJana kuna kosa Chalobah alifanya uzuri akawah kurekebisha,
Kutaka kutak kupiga kichwa kweny shm ya kutumia mguu
Nasubiri hiyo miujiza ya Pulisic kupandisha kiwangoPulisic yupo vizuri na kwa Huyu kocha atafanya awe tishio we si umeona kuwango Cha Mount kilivyorudi
Mbabe wa serie A kwa msimu uliopita msimu huu Napoli wako motoKwa hiyo mbabe WA serie A , aka kipanga wao ndio kapigwa nje ndani au sio ?
Hili pia alifanya kwa mane pale darajani ile game tuliotoka 2 kwa 2Jana kuna kosa Chalobah alifanya uzuri akawah kurekebisha,
Kutaka kutak kupiga kichwa kweny shm ya kutumia mguu
Nilimshangaa jana kutaka kurudia kosa lilelile km bado hajaelewaHili pia alifanya kwa mane pale darajani ile game tuliotoka 2 kwa 2
Denis Zakaria Sajiri ya mchongo hi, Kama Juve mbovu anakosa namba na mwenzake melo ,Ni wazi juve walikuwa wanatafutaga Sehemu ya kuwabwaga.TETESI
Ziyech and Densi Zakaria out of POTTER PLANS
Nasikia January wote wanaondolewa, mkataba wa Denis utafupishwa na Ziyech kuuzwa dirisha likifunguliwa
Mendy vipi majeruhi au tayari Kocha anataka kipa mzuri mguuni?
Mendy ashapona, ilq ndio Potter anapenda kipa mzuri kwenye kucheza mpiraMendy vipi majeruhi au tayari Kocha anataka kipa mzuri mguuni?
Auba anajulikana uwezo wake , shida yake nidhamu tuUnamuonaje mkuu Auba snachokifanya huku