Taja timu yako kwanza, usijekwua unaropoka tu kumbe ni wa vibanda umizaHata cheltako chelwowowo chelyatima cheljuma lokole hata mkishinda nyie ni wasindikizaji tu waja laana nyie yatima![]()
Tukishinda leo tunakuwa na uhakika wa EuropaGame ya leo ni ngumu, ila tunahitaj kushinda ili kujiweka katika mazingira mazuri yakufudhu hatua ya 16 bora
Watakaokesekana leo ni Fofana,Kante n Ziyech.
Tukiacha ushabiki GP yupo vzr, leo nilikuwa na mjadala na Geoff Lea ,anabisha Kama wewe, eti Ten hagg kabeba mataji uholanzi, nikamuuliza kwa akili yake anadhan Potter pale Ajax angeshindwa kubeba mataji?Roy keane amna kitu hapo amewai kuwa kocha lakini walifukuza.
Ndio mkuu hiv huangaliagi mpira?Leo tunamtundika mtu bao ngapi? Ivi tomori na Giroud ndio wapo Ac Milan?
Kocha kaangalia jorginho hiko kiwanja kacheza Sana na anajua utamaduni wa huko ukoje so tusubiri tuone nini jorginho nini atafanya kuliko kumjudge mapema yote hiyoJorginho leo kaanza, huyu ndio wasiwasi wangu leo, ndio huenda akawa weak link yetu.
XI vs Milan
Kepa
Chalobah Silva Koulibaly
James Jorg Kova Chilwel
Sterling Auba Mount
OkChelsea wako mbioni kumuappoint Christopher Viviel kuwa Mkurugenzi wa ufundi, hii ni baada ya Mr Viviel kuachishwa nafasi hiyo Na RB Liepzig juu ya kuwa na maono tofauti.
Huku mchakato wa kumuappoomt Mkurugenz wa michezo ukiwa unaendelea.
Huyu kilaza hanaga timu mkuu anatukagana kila timuTaja timu yako kwanza, usijekwua unaropoka tu kumbe ni wa vibanda umiza
Jamaa wana hasiraMechi ya leo ngumu sana