lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Kuwepo sio sababu ya kuwatumia. Mbona Chelsea ilikuwa na wachezaji wengi tu na wengine siku wakiondoka ndio tunajua kumbe na hawa walikuwa ni wachezaji wa Chelsea! Kuwapa waanze ni kuharibu morale ya wachezaji iliyokuwa imeshaanza kupanda kwa kuwaweka watu wasiojituma hasa Ziyech. Waingie kutokea benchi ili waprove kuwa wanaweza kuaminiwaPulisic na Ziyech huwataki wakati bado wapo kikosini?
Basi ungewaondoa dirisha la usajili, mbona ukawaacha kikosini?
Hawa wachezaji wapo
Conor Galgher
Havertz
Sub
Chukwuemeka
Casadei
Ukisoma maoni ya mashabiki wake wa Kimarekani wanavyosema utumbo kwamba eti Chelsea ina subotage Marekani kwenye WC ili Pulisic asiwe kwenye form ya kuiumiza Uingereza kwa vile wako kundi moja
More here USMNT fans urging Christian Pulisic to leave Chelsea


