Huyo Ndiye Potter ninayemjua, atawapa Nafas had vijana waliokuwa wanabaniwa,
Potter mzee wa mbinu ,mpira mzuri ,
Na huenda mazoezin Kepa yupo vizuri mguuni kuliko Mendy ,
Mendy atachezea mkeka Sana, Potter miumini wa GK mwenye skills mguuni, rejea Sanchez pale Brighton
Zakaria , Arthur melo pale Liverpool moja ya Sajiri za kitapeli Juve katika kupunguza Wage bills ,Huyo Zakaria mvivu ,Kama Ziyech kwa makocha kama Potter mtashangaa hawachez, halafu wachezaj wanaojituma mazoezin na mashabik mnawadharau wakapata namba
Potter ka suprise watu kikos kilichoshinda dhidi ya Milan kwa wolves kaja nacho tofaut ,
Hata Auba ajiangalie Sana