lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Akiondokaga Jorgninho Chelsea hiyo hali itapungua sana kwa sababu yeye hana consistence na pia passing style yake sio rafiki na ubingwa na kwa umri wake hatutegemei atabadili style yake ya kucheza. Pia squad ikifanywa kuwa pana itaondoa wachezaji wengine kuchoka.Hahahahana THE BLUES ikikata moto inakuwaga kituko mpaka Bournemouth wanatupiga 4 - 0 Stanford Bridge.
Mi nadhani Kocha atengeneze vijana wake wapya ambao watakuwa askari miavuli wake wa kumpambania vitani kila siku bila kuchoka wala usaliti.
Hawa wakina Pulisic, Ziyech, Mount, Kai, Azip, Jorgnho, Mendy sio wa kuamini sana hawakawii kuanza (Uvivu, uzembe na kuzira).
Tukiweza kushughulikia middle tukapata viungo wenye uwezo wa kudefend na kuweka amani nyuma kama Silva alivyofanya na pia wakawa na ari na uchu wa kushambulia kwa kujenga mashambulizi kila mara, kila kitu hapoo Chelsea itakuwa hakuna matata. Mendy atakuwa kipa bora EPL, Pulisic, Mount, Kai watakuwa moto kule mbele
Tatizo kubwa sasa hivi Chelsea ni viungo
Tupate DM supa wawili calibre ya akina Makelele na mshambuliaji mmoja calibre ya Fabregas ili hao uliowahorodhesha waweze kuhudumiwa kule mbele
Ziyech umri haumpi fursa ya kujirekebisha, aondoke tu
Pulisic na Kai umri unawalinda, bado wanaweza kufanya U-turn kwenye zareer yao kwa kuongeza ukatili na umakini kwenye kufunga
na THE BLUES ikikata moto inakuwaga kituko mpaka Bournemouth wanatupiga 4 - 0 Stanford Bridge.