Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Three hatrick in a row for Haaland
Huyu Haaland ni wa kumfunga minyororo miguuni
Ila nilichoona, magoli anayofunga ni ordinary na City wamejua naman ya kumpelekea mipira, ofcourse angekuja Chelsea angesota sana kama akina Timo na Lukaku na wengineo
 
Three hatrick in a row for Haaland
Huyu Haaland ni wa kumfunga minyororo miguuni
Ila nilichoona, magoli anayofunga ni ordinary na City wamejua naman ya kumpelekea mipira, ofcourse angekuja Chelsea angesota sana kama akina Timo na Lukaku na wengineo
FA haitaweza kuvumilia la Haaland kudhalilisha (humiliation) ya league yao kiasi hicho........hizo goal za "tap in " sio ni kufanya epl kama league ya wakulima 3hatrick in a row haijawahi kutokea
 
Kama Pep ataendelea kubaki EPL, basi Chelsea inaweza kuchukua hadi miaka 5 kuchukua kombe la EPL mbele ya ubora wa city.
Njia rahisi ya kumzidi city ni kuifanya city a benchmark kwa kila idara, mbali na hapo ni kupoteza pesa na muda

Idara hizi saba lazima tumatch na city na kuboresha kutoka hapo
  1. Makocha
  2. Makipa
  3. Ma-CB
  4. RB/LB
  5. Viungo
  6. Wingers
  7. Striker
Katika hizo idara tukiwa below city pecking order basi ni ngumu kumzidi
 
Leo Foden na Haaland wanashirikiana kijamaa kweli kweli
Wote wana hatrick
 
Hivi Silva alikuwa anatafuta nini Golini wakati hata mashambulizi hayakuwepo. Kwa maana James wakati anafikria apige mbele au arudishe pasi nyuma tayari Silva alishajaa kule mbele kabisa
Anawaonesha madogo kai na mwenzake mount nini kiunngo unatakiwa ufanye
 
Njia rahisi ya kumzidi city ni kuifanya city a benchmark kwa kila idara, mbali na hapo ni kupoteza pesa na muda

Idara hizi saba lazima tumatch na city na kuboresha kutoka hapo
  1. Makocha
  2. Makipa
  3. Ma-CB
  4. RB/LB
  5. Viungo
  6. Wingers
  7. Striker
Katika hizo idara tukiwa below city pecking order basi ni ngumu kumzidi
Sio ajabu tukianza fanya rebuilding, tusajil kwa mfumo tunaotaka kutumia na siilimradi tuonekane tunasajil.

City wachezaj wao wote wanaowasaji unaona kabisa wakiingia kwenye tim wanaadapt mapema hakuna yale sijui bado mgeni wa mazingira .

Ukimuangalia Akanj jins anavyocheza utasema anamisim hata 2 city kumbe ndio kwanza hata game 4 hajafikisha ila unamuona kabisa mchezaj ameshaadapt mifumo ya tim.

Sisi huku, hatujui tunacheza kwa mfumo upi or style ipi ya uchezaj tunayoitumia,,

Hopeful Potter ataweka style/mfumo wake wa uchezaj
 
Sio ajabu tukianza fanya rebuilding, tusajil kwa mfumo tunaotaka kutumia na siilimradi tuonekane tunasajil.

City wachezaj wao wote wanaowasaji unaona kabisa wakiingia kwenye tim wanaadapt mapema hakuna yale sijui bado mgeni wa mazingira .

Ukimuangalia Akanj jins anavyocheza utasema anamisim hata 2 city kumbe ndio kwanza hata game 4 hajafikisha ila unamuona kabisa mchezaj ameshaadapt mifumo ya tim.

Sisi huku, hatujui tunacheza kwa mfumo upi or style ipi ya uchezaj tunayoitumia,,

Hopeful Potter ataweka style/mfumo wake wa uchezaj
Uko sahihi ila sisi tukishakuwa na mfumo lazima wachezaji waadapt kwa sababu ndio tunaanza. City mfumo unaeleweka, wachezaji wachache wanaoongezwa wanachukuliwa kulingana na uchezaji wao unaofit kwenye mfumo wa PEP

City hawakuwa na mfumo bali PEP ndio kaja na mfumo wake
Mfano wa timu yenye mfumo na lazima kuanzia kocha hadi wachezaji waadapt ni Barcelona
Hata Real Madrid wanategemea mfumo wa kocha, makocha wote waliopita Real Madrid kila mmoja alikuja na mfumo wake. Kwa sasa ni mfumo wa Ancelotti ndio unaofanya kazi
Ziko advantages na disadvantages za kufuata kila approach bali approach wa Barcelona ya kuwa na mfumo wa timu sio kocha ndio the best option. Kwa style yao kuna makocha hata wawe wazuri namna gani hawawezi kufit pale
Naona Boehly anataka kufuata approach ya Barcelona katika enzi yake
Ndio maana anakuja na shared vision

Anataka kuanzia bencjhi la bodi, management, benchi la ufundi, kocha na wachezaji wafit kwenye falsafa moja . Japo itachukua muda lakini ndio approach nzuri na endelevu
 
Todd Boehly na TT hawakuwa wanaelewana kwenye mambo mengi
Suala la shared vision kama sababu ya kuachana ilikuwa ni kisingizio tu

Baadhi ya tofauti zenyewe ni
  1. Boehly alimtaka Ronaldo, TT hakumtaka tena alisema waziwazi kwenye media - Boehly hakulipenda hilo
  2. TT alimtaka Fofana afanyiwe medical test London ili ajumuishwe kwenye timu haraka, Boehly alikuwa na plan tofauti ya kumpeleka Fofana Marekani - TT hakulipenda hilo na alikasirika waziwazi
  3. TT alimsifia Marina na kumuita ni Director mzuri kwenye media - Boehly alichukia kuona Manager wake yuko upande wa Marina ambaye hakutakiwa tena kwenye bodi ya Chelsea
  • Boehly alisema kule Marekani, unapochukua biashara lazima uwe na uhakika kwamba uko pamoja na watu wanaoendesha hiyo biashara
  • Lengo letu ni kumtafuta kocha ambaye yuko tayari kushirikiana na sisi
  • Kuna KUTA nyingi zinazotakiwa kuvunjwa pale Chelsea
  • Kabla ya hapa timu kuu na academy hawakuwa wana mfumo wa taarifa shirikishi yenye kueleza wachezaji muhimu wanatokea wapi
  • Ukweli ni kwamba hatukuwa na uhakika kama Tuchel aliona kile tunachokiona sisi
Kwa maoni yangu
Boehly akiendelea kuwa dikteta kwa viongozi technical wa timu kama sporting director ajaye, kocha na wengineo, Chelsea itaharibiwa na itaishia kuwa mid table timu.
Nasema hivi kwa sababu Mmiliki anayeingilia kati maamuzi ya technical people itafanya Chelsea ikataliwe na very important staff and players

Dalili hizo zimeshaanza kuonekana

Fuatlilia Saga la Sporting Director wa RB Salzburg, huyo bwana ameoan mbali, akafikiri akawaza kuwa akikubali ofa ya Boehly hata kama ni nzuri atakuja kumfanywa boya wa kutekeleza matakwa yake na hivyo kumharibia jina
So akaona better kubaki huko Salzburg ambako anapewa uhuru wa kufanya kazi yake

Wekeni haya maoni yangu vizuri, Kocha kama PEP hata akipewa mshahara mara 2 ya pale City hatakubali kufanya kazi na Boehly.

So huko tunakokwenda tutaishia kuwapata watendaji na makocha wa kawaida tu ambao wao lengo lao ni mshara na wala sio kutenda kazi yao professionally

Wengine humu tulishangilia kwa TT kuondolewa lakini nimefikiri nikawaza nikagundua hili nililolisema
Na staili ya wamarekani wengi wanajiona wao wanajua kuliko wengine na ndio maana katika soka la Uingereza wamarekani wengi wanafeli kwa sababu wanajifanya wanajua biashara hii ya soka kumbe hawajui
 
Here we go.....
Screenshot_20221003-164939_OneFootball.jpg
 
Pep alishaletewa mchezaji pale CITY ambaye ni chaguo la tajiri sio chaguo la Pep?

Chelsea tuna matatizo sana kwenye swala la usajili na sio limeanza tuu kwa BOEHLY bali tangu enzi za Roman.

CONTE alimtaka Lukaku akaletewa Morata.

Ni wachezaji wachache sana THE BLUES walisajiliwa kwa matakwa ya kocha.

This time tumepata wamarekani masifa ndio hobby yao.

Juzi niliuliza huu usajili wa Nkunku ulikuwa usajili wa TT alioupendekeza au ni wa Potter au BOEHLY

NB:-
1. Hatuna Sporting Director
2. Hatuna Technical Director
3. Head of Scouting team alitimuliwa
Acha hofu na nadharia
 
Todd Boehly na TT hawakuwa wanaelewana kwenye mambo mengi
Suala la shared vision kama sababu ya kuachana ilikuwa ni kisingizio tu

Baadhi ya tofauti zenyewe ni
  1. Boehly alimtaka Ronaldo, TT hakumtaka tena alisema waziwazi kwenye media - Boehly hakulipenda hilo
  2. TT alimtaka Fofana afanyiwe medical test London ili ajumuishwe kwenye timu haraka, Boehly alikuwa na plan tofauti ya kumpeleka Fofana Marekani - TT hakulipenda hilo na alikasirika waziwazi
  3. TT alimsifia Marina na kumuita ni Director mzuri kwenye media - Boehly alichukia kuona Manager wake yuko upande wa Marina ambaye hakutakiwa tena kwenye bodi ya Chelsea
  • Boehly alisema kule Marekani, unapochukua biashara lazima uwe na uhakika kwamba uko pamoja na watu wanaoendesha hiyo biashara
  • Lengo letu ni kumtafuta kocha ambaye yuko tayari kushirikiana na sisi
  • Kuna KUTA nyingi zinazotakiwa kuvunjwa pale Chelsea
  • Kabla ya hapa timu kuu na academy hawakuwa wana mfumo wa taarifa shirikishi yenye kueleza wachezaji muhimu wanatokea wapi
  • Ukweli ni kwamba hatukuwa na uhakika kama Tuchel aliona kile tunachokiona sisi
Kwa maoni yangu
Boehly akiendelea kuwa dikteta kwa viongozi technical wa timu kama sporting director ajaye, kocha na wengineo, Chelsea itaharibiwa na itaishia kuwa mid table timu.
Nasema hivi kwa sababu Mmiliki anayeingilia kati maamuzi ya technical people itafanya Chelsea ikataliwe na very important staff and players

Dalili hizo zimeshaanza kuonekana

Fuatlilia Saga la Sporting Director wa RB Salzburg, huyo bwana ameoan mbali, akafikiri akawaza kuwa akikubali ofa ya Boehly hata kama ni nzuri atakuja kumfanywa boya wa kutekeleza matakwa yake na hivyo kumharibia jina
So akaona better kubaki huko Salzburg ambako anapewa uhuru wa kufanya kazi yake

Wekeni haya maoni yangu vizuri, Kocha kama PEP hata akipewa mshahara mara 2 ya pale City hatakubali kufanya kazi na Boehly.

So huko tunakokwenda tutaishia kuwapata watendaji na makocha wa kawaida tu ambao wao lengo lao ni mshara na wala sio kutenda kazi yao professionally

Wengine humu tulishangilia kwa TT kuondolewa lakini nimefikiri nikawaza nikagundua hili nililolisema
Na staili ya wamarekani wengi wanajiona wao wanajua kuliko wengine na ndio maana katika soka la Uingereza wamarekani wengi wanafeli kwa sababu wanajifanya wanajua biashara hii ya soka kumbe hawajui
Punguza hofu na nadharia Mzee,
 
Pep alishaletewa mchezaji pale CITY ambaye ni chaguo la tajiri sio chaguo la Pep?

Chelsea tuna matatizo sana kwenye swala la usajili na sio limeanza tuu kwa BOEHLY bali tangu enzi za Roman.

CONTE alimtaka Lukaku akaletewa Morata.

Ni wachezaji wachache sana THE BLUES walisajiliwa kwa matakwa ya kocha.

This time tumepata wamarekani masifa ndio hobby yao.

Juzi niliuliza huu usajili wa Nkunku ulikuwa usajili wa TT alioupendekeza au ni wa Potter au BOEHLY

NB:-
1. Hatuna Sporting Director
2. Hatuna Technical Director
3. Head of Scouting team alitimuliwa
Mkuu tangu Ameondoka Emiliano hatujawai kuwa na DOF, wala Technical Director.

Anyway, According to David Ornstein anasema wiki round ya 2 ya mazungumzo ya kumpata DOF itaendelea
 
Potter anafikiria kumfanya Kepa kuwa first choice GK wa Chelsea. Hii ni baada ya kumsifia Kepa has akwenye mechi na Palace kwa kusema kuwa amecheza vizuri, amefanya big saves na pia distribution yake ya mipira ni nzuri.

Potter heaped praise on the Spaniard for his performance in Chelsea's 2-1 win over Crystal Palace on Saturday, saying: “I thought he did really well. He made a couple of big saves but also, his distribution in terms of his decision-making was really strong."
1664833737828.png
 
Chelsea imeingia mkataba wa miaka mitano na mfumo wa AiScout wenye uwezo wa kutambua vipaji na kutoa taarifa sahihi juu ya mchezaji mwenye kipaji kokote alipo. Ni mfumo ambao unakusudiwa kusaidia scouting team kupata taarifa sahihi na hivyo kufanya maamuzi sahihi juu ya mchezaji na kipaji chake na kama hiyo kipaji itahitajika Chelsea

Chelsea have agreed a five-year deal with AiScout, a fully automated talent analysis and development platform.

NB: AiSCOUT is an Artificial Intelligence Platform
 

REVEALED: Christopher Nkunku has signed a pre-contract agreement with Chelsea after the Leipzig star had a medical with the Blues last month... and Todd Boehly is committed to paying his £53m release clause​

  • Chelsea have reportedly struck a pre-contract deal to sign Christopher Nkunku
  • The Leipzig midfielder underwent a secret medical last month ahead of a move
  • The Blues are stealing a march on their rivals by paying his £53m release clause
 
Conor Galagher atachukua namba ya Mount au Havertz kwenye baadhi ya formation kama wasipokaa vizuri
Kocha hawezi kumsifia mchezaji bure, lazima ana pa kumuweka

'I really like him': Potter says 22-year-old who Tuchel rarely started for Chelsea has really impressed him​

“I really like Conor. He’s a fantastic kid, first of all, who trains well every day and he’s desperate to do well, he’s desperate to play for Chelsea and he’s desperate to be successful here. So that’s a great starting point.

“Now it’s about finding the right balance for him to be in the team and for the players on the pitch to play to their optimal level on a regular basis. Regarding Conor as a person though, he’s absolutely top.”

3-1-4-2
-----Auba ------------------------------ Havertz-----

Sterling ------- Galagher --------Mount ----------James

--------------------- Kovacic -------------------------

-----Cucurella ------------Silva-------------Fofana -----


4-2-2-2
-----Auba ------------------------------ Havertz----

Sterling --------------------------------- Galagher

------- Kovacic ------------------------Kante -------

Cucurella ---------Silva----------Fofana ----- James


3-4-3
Sterling --------------Auba --------------- Galagher

Chilwell ------- Kovacic -------Kante --------James

---Cucurella ------------Silva-------------Fofana ---

1664835033448.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom