Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sterling ---------- Auba ------------- Nkunku

Gallagher ------ Neves ------------ Madison

Chilwell-- Koulibaly ---Fofana --- James
Nina wasiwasi kama tutampata huyo Neves
Alikataa Manure na Liverpool kwa ajili ya Barcelona
Gorge Mendes anashughulikia kwenda Barca
Madison no no, sidhani kama anamzidi Mount, kama tunamweka benchi Mount awe ni mchezaji mwenye mashiko
Nkunku sio winga, anacheza kutokea katikati ya uwanja
Mainly anacheza kama CAM

------------------Auba ---------------------

Galagher ----------Nkunku ----------- Sterling

--------- Kovacic ------------- Kante ---------

Cucurella -----Gvardiol----- Fofana ------- James

Kumbuka pia Chelsea inaongoza mbio za kumsajili Raphael Leao na Gvardiol
Raphael Leao anacheza kama wide winger wa kushoto
 
If hizi tetes ni za kwel,naona ndani ya msim ijayo huenda tukawa na front 3 mpya pamoja na kiungo kipya.
 
Juzi CITY walicheza bila kiungo mkabaji.

THE BLUES tunafeli wapi?

Hatuna viungo wa kutawala eneo la kiungo kwa pasi na kazi ya kukaba ifanywe na timu nzima. View attachment 2377100
wanajiamini kufunga magoli mengi
hata hivyo city wana shida kwenye defending, mabeki sio wazuri na DM na ndio mana nao juzi walifungwa 3, isingekuwa Haaland ile mechi city wangefungwa
 
Potter nadhani ameshagundua udhaifu wa Jorginho na umuhimu wa back3 badala ya nne
Jamaa kachambua vizuri kwa nini Tuchel alibaki kwenye backline ya 3 badala ya nne

Amesema Back 3 inamlinda Silva aijevutwa kwenye mtego wa kuingia kwenye wide areas za kulinda goli na hivyo kuruhusu kufungwa kirahisi. Pia anasema back 3 ilikuwa inamlinda Jorginho asionekane hawezi kuwa mobile kama Kante. Jorginho anatoa nafasi kubwa katikati na kuruhusu mashambulizi na hivyo mabeki kulemewa

Soma anavyosema

The former Chelsea head coach favoured a back three for important tactical reasons. The first was it ensured Thiago Silva – now 38 years old – wasn't pulled out into wide defensive areas where he is less comfortable. And the second was that the 3-4-3 shape protected Jorginho's inability to cover space in midfield.

Jorginho's lack of mobility is nothing new; he has enjoyed huge success at Chelsea and with Italy in spite of it. But Palace were able to cause Chelsea several problems in the opening 45 minutes because of the space Eberechi Eze, in particular, was able to exploit against the Blues' No.5.

It was no great surprise that just eleven minutes into the second period, Potter opted to replace Jorginho with the more physically domineering presence of Ruben Loftus-Cheek. That enabled Chelsea to gain a greater foothold of the contest and the controlled possession, although admittedly did not fashion much until Conor Gallagher curled home a stunning late winner.
 
Koulibaly amekiri maisha yake hayakwenda kama alivyotarajia pale darajani
Ameahidi atapigania hadi arudi tena kwenye nafasi yake
Koulibally kwa sasa form yake ya Napoli imeshuka sana, amekuwa akistrugle kucheza kwenye kiwango chake bila mafanikio. Mfano mechi tuliofungwa na Leeds, Koulibally hakucheza vizuri, alistrugle sana hadi akapewa red card
Potter naye amekiri Koilibally ni Mchezaji mzuri na mtu mzuri na muwazi kwa kuweza kitambua hali yake. Amekiri kutoka ligi nyingine kuja kucheza EPL ni ngumu na inahitaji muda kujiadjust. Ameahidi kumtumia kwenye mechi zijazo kwa sababu anajituma na ni hardworker
1664909951385.png
 
Kante inawezekana msimu huu ndio wa mwisho kwake kuendelea kuwepo THE BLUES.

Kovacic misuli inamsumbua sana, mechi hizi chache alizocheza tangu arudi majeruhi, misuli yake imeanza kuwaka moto tena, hii october hatoboi.

Kovacic ni mchezaji wa mechi chache chache.
Akiondoka Kante inaweza kuwa goodnews kwa Chelsea ili uongozi utambue kuwa hatuna viungo wazuri kwa amaana hadi sasa tunang'ang'a na mabeki na washambuliaji.
Usajili wa Declan rice au calibre yake ya juu ni muhimu kwa kipindi hiki na sio declan rice mmoja tu, tunawahitaji sio chini ya wawili
 
wanajiamini kufunga magoli mengi
hata hivyo city wana shida kwenye defending, mabeki sio wazuri na DM na ndio mana nao juzi walifungwa 3, isingekuwa Haaland ile mechi city wangefungwa
Umeongea ukiwa serious mkuu?

Umetumia fact zipi Ku judge hivyo?
 
And alway defensive aproach ya city ni Possesion
City wanalinda defence yao kupitia possession na pressing Ndio maana defence yao haifikiwi lakini naungana na wewe City hawana defence Nzuri
Yeah falsafa anayoiamini pep ni kwamba kama mpinzani hatokua na mpira basi hatofunga ndio maana timu inakaa na mpira muda mwingi...

Kwenye swala LA defence ukweli ni kwamba defence ya city inavuja ndio lakini ni ngumu kusema kuwa bila haaland city angepoteza.....ni kwa sababu mchezo tuliutawala katika kila angle....haaland kazi yake ilikua ni Ku tap in.... Japo pia alitoa assist kadhaa ....na ndio maana mkuu lembu nkaomba ufafanuzi wako ni kwanini unasema pasipo haaland tungepoteza
 
Yeah falsafa anayoiamini pep ni kwamba kama mpinzani hatokua na mpira basi hatofunga ndio maana timu inakaa na mpira muda mwingi...

Kwenye swala LA defence ukweli ni kwamba defence ya city inavuja ndio lakini ni ngumu kusema kuwa bila haaland city angepoteza.....ni kwa sababu mchezo tuliutawala katika kila angle....haaland kazi yake ilikua ni Ku tap in.... Japo pia alitoa assist kadhaa ....na ndio maana mkuu lembu nkaomba ufafanuzi wako ni kwanini unasema pasipo haaland tungepoteza
Kumbe umeona, Halaand tofauti na wachezaji wengine yuko 90% clinical. Asingekuwepo haaland kule mbele ile mipira 90% ingepotea

Foden angeishia kufunga foli moja tu au mbili akijitahidi sana

Kumbuka Haaland kahusika na magoli matano kati ya sita City iliyofunga. Na msingi wangu ulikuwa hapo + defense inayovuja hata Diaz aliyekuwa anategemewa kwa sasa PEP hamuamini 100%
 
Kumbe umeona, Halaand tofauti na wachezaji wengine yuko 90% clinical. Asingekuwepo haaland kule mbele ile mipira 90% ingepotea

Foden angeishia kufunga foli moja tu au mbili akijitahidi sana

Kumbuka Haaland kahusika na magoli matano kati ya sita City iliyofunga. Na msingi wangu ulikuwa hapo + defense inayovuja hata Diaz aliyekuwa anategemewa kwa sasa PEP hamuamini 100%
Mpira haupimi kwa style hiyo sijui asipokuwa nani au akiwa nani itakuwa au haituwa hivi ile game Man city mpira ulikuwa kwenye mahakama yao wala hata asingekuwa hallaand still wangeshinda mbona msimu uliopita man u walipigwa 4 city ikiwa haina hallaand. Man u alipata goal zile 3 ni kwasababu ya Man city kuwatoa KDB na wengine baada ya kuona game wameimaliza Pep akaingiza makinda hata ile intensity walionayo tangu mwanzo wa game wakaipunguza Herzog
 
Mpira haupimi kwa style hiyo sijui asipokuwa nani au akiwa nani itakuwa au haituwa hivi ile game Man city mpira ulikuwa kwenye mahakama yao wala hata asingekuwa hallaand still wangeshinda mbona msimu uliopita man u walipigwa 4 city ikiwa haina hallaand. Man u alipata goal zile 3 ni kwasababu ya Man city kuwatoa KDB na wengine baada ya kuona game wameimaliza Pep akaingiza makinda hata ile intensity walionayo tangu mwanzo wa game wakaipunguza Herzog
Yeah ndicho nlichokua namwambia mkuu lembu kuwa ile game tuliikamata kwa kila idara na sub alizofanya pep ndizo ziliwapa uhai man u mpaka kufunga zile goli 2 za mwisho lakini sio kwamba bila haaland tungepoteza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom