Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpira haupimi kwa style hiyo sijui asipokuwa nani au akiwa nani itakuwa au haituwa hivi ile game Man city mpira ulikuwa kwenye mahakama yao wala hata asingekuwa hallaand still wangeshinda mbona msimu uliopita man u walipigwa 4 city ikiwa haina hallaand. Man u alipata goal zile 3 ni kwasababu ya Man city kuwatoa KDB na wengine baada ya kuona game wameimaliza Pep akaingiza makinda hata ile intensity walionayo tangu mwanzo wa game wakaipunguza Herzog
That is an hyphothesis inaweza ikawa hivyo provided some factors occurs
Wewe ukija na hyphosesis yako nayo inaweza kuwa valid
Points za kuilinda hiyo dhana yangu nimeweka hapo
  1. Clinicality ya Haaland kule mbele hakuna mwingine kwenye squad anayo. Na hiyo clinicality imeonyeshwa kwenye involvment ya Haaland kwenye hiyo mechi
  2. Tukumbuke kuwa point yangu imebase kwenye mechi hiyo ya Man U tu ambayo ilikuwa ikinyanyasa Man City 2019 na 2020 (2 years) ni 2022 tu City imejenga utamaduni wa kumfunga city
  3. Narudia City without Haaland angelala ile mechi au droo kama angekaza sana
 
Yeah ndicho nlichokua namwambia mkuu lembu kuwa ile game tuliikamata kwa kila idara na sub alizofanya pep ndizo ziliwapa uhai man u mpaka kufunga zile goli 2 za mwisho lakini sio kwamba bila haaland tungepoteza
Involment ya Haaland 5 goals out of 6
Je dhana yenu imebase wapi?
Mimi ni m tu wa hesabu na hesabu inabase kwenye hyphosesi na assumptions
 
Yani Ac Milan wakatae 100M wamchukue pulisic watakua Hawana akili
Christian Pulisic and Callum Hudson-Odoi would be part of the deal, although the Italian champions would still demand a £90million fee for the Portuguese.

According to the report, Milan will use their Champions League game on Wednesday against the Blues at Stamford Bridge to talk with Pulisic, along with Trevoh Chalobah.
 
Involment ya Haaland 5 goals out of 6
Je dhana yenu imebase wapi?
Mimi ni m tu wa hesabu na hesabu inabase kwenye hyphosesi na assumptions
Sote tumekubaliana kwamba defence ya city ni dhaifu na kwamba possession inasaidia kuZuia defence isiwe exposed si ndio.......



Sasa bas katika ile game je man u waliweza kuwa out posses city?


Timu gani iliyocontrol mchezo?


Je city ilisubiri uwezo binafsi wa haaland kuamua mchezo?


Je chance hazikutengezwa za kutosha?

Na mwisho kabisa je city isingeweza kuziona nyavu za man u kama haaland asingekuwepo?


Point yangu ni kwamba haaland hakuwa mchezaji pekee aliyeamua matokeo ya city labda tukubaliane kwamba kwakuwa yeye ni clinical finisher bas kukosekana kwake kungeathiri idadi ya mabao lakini so ushindi kaka...

Pia baada ya zile sub ndio unaona man u wakapata uhai pale kati na kupata Zile bao 2 za mwisho...je unafikiri ingekua 1:0 ,pep angefanya hizo sub?

Hapo mkuu tusi base kwamba kisa haaland kahusika na goli 5 basi asingekuwepo magoli yasingefungwa kabisa...wewe mwenyewe unaelewa man city imekuwa ikicheza na force no.9 kwa muda sasa kwaiyo kwa gemu ile tulivyokua tumeikamata ni dhahiri kabisa hata bila ya haaland ushindi ulikuwepo tu kaka
 
Sote tumekubaliana kwamba defence ya city ni dhaifu na kwamba possession inasaidia kuZuia defence isiwe exposed si ndio.......



Sasa bas katika ile game je man u waliweza kuwa out posses city?


Timu gani iliyocontrol mchezo?


Je city ilisubiri uwezo binafsi wa haaland kuamua mchezo?


Je chance hazikutengezwa za kutosha?

Na mwisho kabisa je city isingeweza kuziona nyavu za man u kama haaland asingekuwepo?


Point yangu ni kwamba haaland hakuwa mchezaji pekee aliyeamua matokeo ya city labda tukubaliane kwamba kwakuwa yeye ni clinical finisher bas kukosekana kwake kungeathiri idadi ya mabao lakini so ushindi kaka...

Pia baada ya zile sub ndio unaona man u wakapata uhai pale kati na kupata Zile bao 2 za mwisho...je unafikiri ingekua 1:0 ,pep angefanya hizo sub?

Hapo mkuu tusi base kwamba kisa haaland kahusika na goli 5 basi asingekuwepo magoli yasingefungwa kabisa...wewe mwenyewe unaelewa man city imekuwa ikicheza na force no.9 kwa muda sasa kwaiyo kwa gemu ile tulivyokua tumeikamata ni dhahiri kabisa hata bila ya haaland ushindi ulikuwepo tu kaka
Kwani kuwa na possesion kubwa ndio kucontrol mchezo au kushinda? kUna timu zinakuwa na possesion hadi 70+ na bado zinafungwa. Uwezo wa kubreak defenmse line na kuwa na clinical finishers ndio argument pekee. Sasa City bila Haaland wangeweza kufunga yale mabao?
Wachezaji city ilikuwa inawategemea kabla ya ujio wa Haaland ni Mahress, Foden na Sterling
Sasa Sterling hayupo, Mahress anapambana kurudi kwenye form na Foden yuko pekee yake
Hata city wangecheza vizuri namna gani, bila clinical finisher kazi yao yote ingekuwa bure.
Bado hyphosesis yangu imebase hapo, kama hukubaliani nami agree to disagree mada ifungwe
 
Kwani kuwa na possesion kubwa ndio kucontrol mchezo au kushinda? kUna timu zinakuwa na possesion hadi 70+ na bado zinafungwa. Uwezo wa kubreak defenmse line na kuwa na clinical finishers ndio argument pekee. Sasa City bila Haaland wangeweza kufunga yale mabao?
Wachezaji city ilikuwa inawategemea kabla ya ujio wa Haaland ni Mahress, Foden na Sterling
Sasa Sterling hayupo, Mahress anapambana kurudi kwenye form na Foden yuko pekee yake
Hata city wangecheza vizuri namna gani, bila clinical finisher kazi yao yote ingekuwa bure.
Bado hyphosesis yangu imebase hapo, kama hukubaliani nami agree to disagree mada ifungwe
Vipi kuhusu kdb...alikua hafungi? Vipi Bernardo Silva?

Ndio maana nikakuuliza je kwenye ile game chance hazikutengenzwa za kutosha? Je ni haaland tu au foden ndio wangeweza kuzi utilize?.
 
Baada ya Koulibally kuzwa ndio Napoli wameimarika zaidi, kuna replacement wake aliyeletwa ni moto wa kuotea mbali. Kuna huyo Kim Min-jae mkorea anakipiga kuliko Koulibaly wa Napoli
 
Inter jana walimdindishia Lewandowski na barcelona kulala kadozi kamoja pamoja na possesion ya 72%
 
Nini maoni kuhusu Kikosi hichi?
Screenshot_20221005-212155_All%20Football.jpg
 
CHELSEA v MILAN

This is the first time Chelsea and AC Milan have met in the Uefa Champions League since the 1999-2000 first group stage, with both games ending in draws, including a goalless draw at Stamford Bridge.

AC Milan’s only win over Chelsea was in February 1966 in the Inter-Cities Fairs Cup, winning 2-1 at the San Siro. That third round tie then went to a deciding game – a 1-1 draw – and Chelsea progressed via a coin toss.

Chelsea have only lost two of their 13 home European matches against Italian opponents (W8 D3), with both defeats coming in the Uefa Champions League: 1-2 v Lazio in March 2000 and 0-1 v Internazionale in March 2010.
 
That is an hyphothesis inaweza ikawa hivyo provided some factors occurs
Wewe ukija na hyphosesis yako nayo inaweza kuwa valid
Points za kuilinda hiyo dhana yangu nimeweka hapo
  1. Clinicality ya Haaland kule mbele hakuna mwingine kwenye squad anayo. Na hiyo clinicality imeonyeshwa kwenye involvment ya Haaland kwenye hiyo mechi
  2. Tukumbuke kuwa point yangu imebase kwenye mechi hiyo ya Man U tu ambayo ilikuwa ikinyanyasa Man City 2019 na 2020 (2 years) ni 2022 tu City imejenga utamaduni wa kumfunga city
  3. Narudia City without Haaland angelala ile mechi au droo kama angekaza sana
Lembu man u mpira wake wa ujanja ujanja bila hata halland angepigwa vzr tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom