Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Infact tumechelewa, wakati Hazard anaondoka ndio ilitakiwa tufanye overhauling ya timu lakini, akina Willian, Luiz, gary carhil walitakiwa kufanyiwa replacement na matakataka mengine mengi, sasa hiyo delay ndio inatugharimu
Hata gepu la Ng'olo Kante linatugharimu na bado litatugharimu sana na saaana kama hatuko "pro-active" kwa timu zenye mtizamo wa future more than 3/4 years later kiubora.
 
Msimu huu haitawezekana, msimu ujao ukiwezekana ni miracle, ligi hatuchezi wenyewe, wakati sisi tunarangaranag na midiocre players wao walikuwa wanajenga timu (Man City na Liverpool) sasa tumeshtuka wamejiimarisha. Tukubali na sisi tupitie phase ya rebuilding na kutofanya makosa tena, Rebuilding haifanyiki overnight. Inahitaji muda nimeeleza 3 aspects to consider
  1. Kuzoeana kwa wachezaji wapya
  2. Kocha kujua wachezaji na awatumiaje
  3. Kuziba viraka na kuwaondo takata na kuwaleta capable players
Tuspoheshimu hii phase tutabakia kuwa midtable team na tutaumia sana na mashabiki wasio wavumilivu kuhama
Kwa ubahili wa huyu Boehly tumeshakaa mkao wa kuhama wale tusiopenda presha.

Maana si kwa kumnyang'anywa wachezaji wengi kiasi kile dhidi ya Barcelona kiboya sana.
 
Kwa ubahili wa huyu Boehly tumeshakaa mkao wa kuhama wale tusiopenda presha.

Maana si kwa kumnyang'anywa wachezaji wengi kiasi kile dhidi ya Barcelona kiboya sana.
Mkuu ubahili wa Boehly ni upi? Maana kaspending karibia paund 270M kwa dirisha Moja tu la usajili na bado anataka kuspending dirisha dogo la usajili
 
Mzee nahisi unapersonal problem na GP kwa mechi ya leo na muda aliokaa na timu ulitegema miracle gani, at least hata timu inajaribu kutake risk pass, Loftus kuingia kulikuwa hakuna namna Jorginho alikuwa uchochoro wa kufanyia mashambulizi. sio kwamba naiman kubwa na Potter ila kwa mazingira ya leo inaonyesha tatizo kubwa ni wachezaji kuliko hata kocha.
Bora wewe useme. I hope match ya AC milan Kante atakuwepo uwanjani.
 
Mara nyingi hizi lineups wanazikosea hata kwenye TV live wale warushaji wanataja lineup tofauti kabisa na inayochezwa uwanjani. Huwa wanaguess kulingana na kocha.

Naona leo Potter kaja na 4-2-2-2

Sterling na Mount viungo washambuliaji
Auba na Havertz 2 strikers
Ila Chilwell bado ni mzito kwenye kupasi na hii ni hatari golini. Hapo angemuweka Koulibally
Potter naona hapatani na Kou sijui kamtendea nini
Chilly jana hakutumika ipasavyo. Akipata mpira anarudisha kwa Silva. Hakuweza kupanda na kupiga cross. James naye alibanwa mbaya.

Jana Silva ile ilikuwa red, isipokuwa tu refa alijiongeza. Taratibu, tutafika tu.
 
Mzee nahisi unapersonal problem na GP kwa mechi ya leo na muda aliokaa na timu ulitegema miracle gani, at least hata timu inajaribu kutake risk pass, Loftus kuingia kulikuwa hakuna namna Jorginho alikuwa uchochoro wa kufanyia mashambulizi. sio kwamba naiman kubwa na Potter ila kwa mazingira ya leo inaonyesha tatizo kubwa ni wachezaji kuliko hata kocha.
Good argument
 
Be stight forward mkuu uongelee pia kwenye formant yake ya leo 4-2-2-2 alikua analenga kupata matokeo gani? Wakati huo sterling ambae ni top scorer wetu kamficha kati kati wakati yule ni winger naturally... potter ni mzuri ila sio kwa Chelsea
Alicheza kama atacking midfielder ambayo haina tofauti na winga, kocha anachagua formation kulingana na wachezaji anaotaka kuwatumia, kwenye back 4 nadhani alitaka DM wawili, jana Jorginho na Kova walicheza kama DM
Mount na Sterling pamoja na Auba na Havertz kwente attack. Sasa hapo kuna kasoro gani?
 
Kwa ubahili wa huyu Boehly tumeshakaa mkao wa kuhama wale tusiopenda presha.

Maana si kwa kumnyang'anywa wachezaji wengi kiasi kile dhidi ya Barcelona kiboya sana.
Acheni kukariri aisee, wachezaji wote walioenda Barcelona Boehly alitoa ofa bora kuliko Barca. Wachezaji wenyewe ndio wafia Barcelona
  1. Lewandosky
  2. Dembele
  3. Kounde
  4. Raphinha
  5. De Jong
Wote hao ukimuondoa Lewa dau la nguvu ilitolewa tena kabla lakini wachezaji wenyewe hawakutaka timu nyingine zaidi ya Barcelona

Nasikitika mnamuonea sana jamaa, angesikia hizi coments angekata tamaa sana
 
Lukaku angeanguka kabla hata ya kugeuka kupiga ule mpira.
Au angetuliza mpira kwanza, apeleke kulia, amuangalie kipa yuko wapi ndipo ashuti, kule Serie A ndio anafanya hivyo na anakuwa supa star, huku EPL unabanwa mbavu ndani ya sekunde 5 za kufukiria ufanyeje na mpira langoni mwa adui
 
Hivi Silva alikuwa anatafuta nini Golini wakati hata mashambulizi hayakuwepo. Kwa maana James wakati anafikria apige mbele au arudishe pasi nyuma tayari Silva alishajaa kule mbele kabisa
 
1664706842946.png
 
Kumbe vipimo vilifanyika wiki mbili zilizopita!
Sasa nasikia Chelsea wako front kwenye mjadala na Leipzig kuhusu ada ya usajili, ikishindikana plan B ni kutriger release clause ambayo itakuwa active kiangazi cha 2023 kwa paundi 52.8M
Nkunku karidhia proposal ya Boehly
Pia nasikia hiyo release clause Leipzig hawatakubali kujadili
So kama mchezaji karidhia proposal ni kuingi pre agreement na timu halafu June 2023 ni kuchukua tu
Factor kubwa hapa sio Leipzig ila ni mchezaji mwenyewe
 
Huyu mduanzi wa nini? dirisha lililopita si tulikua tunamtaka na alijua kbs tunamtaka ila akasain mkataba mpya.

Chelsea set to hit a roadblock in the pursuit of RB Leipzig forward Christopher Nkunku​

June 12, 2022
According to the Leipziger Volkszeitung (h/t Metro), RB Leipzig player Christopher Nkunku will sign a contract extension with RB Leipzig despite Chelsea interest.

The offensive midfielder had a terrific season with the Bundesliga club, scoring 35 goals and assisting 19 times in 51 games, and he is a significant figure that the new Todd Bohely ownership has tried to pursue to improve the attacking department.

However, it is now expected that the highly regarded French international’s contract, which runs through 2024, will be extended. Nkunku will receive a hefty pay raise, and his new contract will include a €60million release clause that will kick in during the summer of 2023.

Mshahara wa mkataba mpya ni Euro 7m kwa mwaka sawa na 134K/week
Mshahara wa zamani ni mil 3 sawa na Euro 57K/week
Chelsea akija anaweza lipwa kati ya euro 150-180/week
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom