Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Si kwamba hallaand nae hapotezi nafasi anapoteza ila ana uhakika wakupata chance zingine za maana na ndio maana confidence yake inakuwa ya juu lakini kwa Chelsea je inaweza ikawa hivi?
Hii mada angejibu vizuri zaidi mlengwa, najua anamis lakini sio kwa kuwafananisha na hawa kenge wetu
 
Hii habari inaweza kuwa kweli Lakini boss wa Freund amesema hakuna kitu cha namna hiyo ]View attachment 2361938
It's just matter of time to get it signed, also with Salzburg.

Hiyo ni statement ya mwisho katika taarifa niliyoleta. Fabrizio huwa hakoseagi hata kipindi cha Cucurella ilitoka taarifa kukanusha lakini kulikua na process tayari zinaendelea
 
Goodmoring The Blues

Barcelona target Jorginho swoop​

Barcelona are considering a move for Chelsea star Jorginho next summer when he could be available on a free transfer, as per The Mirror.

The 30-year-old Italy international has just 10 months to run on his Stamford Bridge contract and, unless he agrees new terms in south-west London, he will be available to talk to overseas clubs from January.

1663655537318.png
 
Goodmoring The Blues

Barcelona target Jorginho swoop​

Barcelona are considering a move for Chelsea star Jorginho next summer when he could be available on a free transfer, as per The Mirror.

The 30-year-old Italy international has just 10 months to run on his Stamford Bridge contract and, unless he agrees new terms in south-west London, he will be available to talk to overseas clubs from January.

View attachment 2362405
Wakati tuna re build timu kumruhusu mchezaji mwenye uzoefu na mbinu kuondoka itakua misitaki kubwa, kocha mzuri yoyote anajua umuhimu wa mchezaji kama johginho, japo mashabiki wengi wana mbeza wanataka kila mchezaji awe anafunga kocha Potter usiruhusu johginho kuondaka utakosa uongozi wa dressing room na pinch
 
Goodmoring The Blues

Barcelona target Jorginho swoop​

Barcelona are considering a move for Chelsea star Jorginho next summer when he could be available on a free transfer, as per The Mirror.

The 30-year-old Italy international has just 10 months to run on his Stamford Bridge contract and, unless he agrees new terms in south-west London, he will be available to talk to overseas clubs from January.

View attachment 2362405
Alafu unamleta Nani? Tofauti na de jong hakuna mwingine mwenye uchezaji wa aina ya huyo mwamba
 
Wakati tuna re build timu kumruhusu mchezaji mwenye uzoefu na mbinu kuondoka itakua misitaki kubwa, kocha mzuri yoyote anajua umuhimu wa mchezaji kama johginho, japo mashabiki wengi wana mbeza wanataka kila mchezaji awe anafunga kocha Potter usiruhusu johginho kuondaka utakosa uongozi wa dressing room na pinch
Jorginho may be a good midfielder BUT absolutely we need a midfileder better than Jorgninho
 
Goodmoring The Blues

Barcelona target Jorginho swoop​

Barcelona are considering a move for Chelsea star Jorginho next summer when he could be available on a free transfer, as per The Mirror.

The 30-year-old Italy international has just 10 months to run on his Stamford Bridge contract and, unless he agrees new terms in south-west London, he will be available to talk to overseas clubs from January.

View attachment 2362405
Jorginho inaonekana alishajilengesha muda mrefu ndio maana hataki mazungumzo ya mkataba. Anataka aende bure.
 
Wakati tuna re build timu kumruhusu mchezaji mwenye uzoefu na mbinu kuondoka itakua misitaki kubwa, kocha mzuri yoyote anajua umuhimu wa mchezaji kama johginho, japo mashabiki wengi wana mbeza wanataka kila mchezaji awe anafunga kocha Potter usiruhusu johginho kuondaka utakosa uongozi wa dressing room na pinch
Huyo kirusi, hivi kuna mechi za kuanzia msimu uliopita ambazo Jorginho hakufanya big error ya makusudi?. Nahisi huyo ndie chanzo cha kumuharibia TT maana zile errors zilizkuwa za makusudi anazifanyia golini kabisa
 
Kumfukuza TT sio kosa ila kosa mimi naliona kwa nini aliwanunua wachezaji wengi wa TT halafu anamtimua na kumuachia kocha mwingine wachezaji wa kocha mwingine???
Kama alijua hamtaki si angemtimua kabla ya usajili ili aanze na kocha mpya na wachezaji anaowataka??
 
Kumfukuza TT sio kosa ila kosa mimi naliona kwa nini aliwanunua wachezaji wengi wa TT halafu anamtimua na kumuachia kocha mwingine wachezaji wa kocha mwingine???
Kama alijua hamtaki si angemtimua kabla ya usajili ili aanze na kocha mpya na wachezaji anaowataka??
Wengi simlikuwq mnataka afukuzwe hata baada ya usajili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom