Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Naona kwenye huu uzi karibu kila mchezaji ni takataka...!Lukaku ni Taka taka
Naona kwenye huu uzi karibu kila mchezaji ni takataka...!Lukaku ni Taka taka
Kuna mtu kule kwenye uchambuzi wa epl kaandika hivi:Naona kwenye huu uzi karibu kila mchezaji ni takataka...!



.Timu bado inajengwa, mbona lugha zenu ni zile zile. Hata city ilijengwa Kwa miaka 7THE BLUES wachezaji wetu hawana QUALITY ya kubeba EPL mbele ya CITY
Hivi aligusa mpira kweli, naona Arteta akitaka tu kuvunja hiyo rekodiSisi wa kwetu wa miaka 19 hadi 23 tunawaona bado, waende mkopo au wauzwe kabisa, hawajatosha kuchezea timu kubwa kama yetu. Halafu tukikutana nao hao wa miaka 15 wakiwa kwa wenzetu wanatutesa hadi raha. Mkumbukeni Lamptey, Musiala n.k. Tuwape watoto confidence, watakuwa kama simba mbarara. Throw them on the pitch and let them have fun.View attachment 2360756
Tuna msiba arifuHivi leo hatujacheza game?

. Kwini amefariki anazikwa kesho.Muwe na subira, hata hiyo city ilijengwa Kwa miaka 7 wakati wao wanajenga sisi tulikuwa tunalewaKuna mtu kule kwenye uchambuzi wa epl kaandika hivi:
Haaland has scored 11 goals (tapins) in 7 games while having De Bruyne, Cancelo and Silva behind him. If he thinks that's a record, he should come to Chelsea, take the number 9 jersey while Having Jorginho, Havertz, Loftus cheek behind him and Koulibanus at the back, and then prove himself.
Kumbe watu wengi wanaona tuna wachezaji taka taka. Loh inauma sanaa blues yetu
Nadhani kashazikwa leo na ndio maana polisi walikuwa hawatoshi na ndio sababu ya mechi kuahirishwaTuna msiba arifu. Kwini amefariki anazikwa kesho.
Anazikwa kesho JumatatuNadhani kashazikwa leo na ndio maana polisi walikuwa hawatoshi na ndio sababu ya mechi kuahirishwa
Pale wana kocha bora, tena hiyo timu imeboreshwa dani ya mwaka moja kwa asilimia kubwa Madrid ya mwaka jana sio hi........sisi tumeanza kujuficha kwenye kujenga timu, nani asie jenga timu?Wakuu angalieni mechi ya Atletico Madrid na Real Madrid muone nini maana ya project
Hata Arsenal wana koicha bora na alianzia ukocha hapo ArsenalPale wana kocha bora, tena hiyo timu imeboreshwa dani ya mwaka moja kwa asilimia kubwa Madrid ya mwaka jana sio hi........sisi tumeanza kujuficha kwenye kujenga timu, nani asie jenga timu?
Mkuu nimecheki mechi yoteWakuu angalieni mechi ya Atletico Madrid na Real Madrid muone nini maana ya project
Nafikiri ni kuaga mwili ndio iliyosababisha polisi wasitoshelezeAnazikwa kesho Jumatatu View attachment 2361113