Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pale wana kocha bora, tena hiyo timu imeboreshwa dani ya mwaka moja kwa asilimia kubwa Madrid ya mwaka jana sio hi........sisi tumeanza kujuficha kwenye kujenga timu, nani asie jenga timu?
Huyo kocha bora alipokua Everton alifanya nini? Pamoja na ubora wake lakini hakufua dafu kwa wachezaji wa kawaida, muangalie alipokutana na quality

Chelsea haikua inajenga timu ilikua inafanya kitu sawa na msuli zimamoto, mnasajili lakini anakuja kocha mwingine baadhi ya wachezaji wanaanza kuonekana takataka

Unapojenga timu haina maana hautafanya maboresho, hao kina Vinicius, Rodrygo walikua ovyo sana kipindi wamefika lakini angalia saivi wameimarishwa na kuongezewa watu kina Tchoumeni, Alaba, Camavinga na Rudiger(maboresho) hawana expenditure kubwa
 
Mkuu nimecheki mechi yote
Wale simba mbarara wa Real Madrid ni hatari na playing style ndio inawabeba pamoaj na talents
Wakipoteza mpira wameurudisha kwa udi na uvumba, pasi fupi fupi na za kwenda mbele sijawahi ona back passes nyingi au sideways passes. Wanapiaga zile throgh passes katikati yua miguu ya opponent bila kujali watanyang'anywa. Tchouameni ni kiungo copy and paste wa Fab at this young age. Akikaa pale Barnabeu 5 yr sijui atakuwaje

Kwa ufupi ujenzio wa Real Madrid ya safari hii umejengwa katika vijana wadogo wa pale academy wakichanganya na majina makubwa ila bado ni young age

Na sisi Chelsea tutatoboa tu pamoaj na kuna mashabiki wengine wasioamini juu ya hii project. Wamezoeshwa na Abramovich kununua wachezaji waliovia timu nyingine na makocha wa majina makubwa. Bila kusahau kuwa hao makocha kuna sehemu walianzia na mfano halisi ni PEP na sas Xavi
Mkuu yan unaangalia mpira una enjoy madogo wanajituma wanavuja jasho kweli, nilikua na hofu toka alipoumia Benzema nikijua watastruggle kupata ushindi ila kiukweli No Benzema No Problem. Kaondoka Casemiro lakini ukiwaona wanavyocheza utafikiri hakukua na mtu anaitwa Casemiro. Wanafanya sajili kimkakati wale Kroos na Modric wanaelekea mwisho wa soka la ushindani lakini replacement zao zipo tayari. Wanataka kuongeza na Bellingham yule dogo wa Dortmund.
 
Ili timu ifanye vizuri inahitaji kuwa na Mwenyekiti mwenye vision iliyo sahihi kwa timu
Na vision hiyo iwe shared vision kwa watu hawa
  1. Bodi
  2. Sporting director
  3. Head Coach
Namba 1-3 wakiwekwa watu wazuri wenye kujua kuimpliment maono timu itafika mbali

Hii habari ya kuajiri na kufukuza bila plan, bila maono bila kujua tunataka nini in 10, 15, 20 yrs to come ni biashara iliyopitwa na wakati

Naamini Abramovich na Marina walikuwa na vision na ndio maana tukashinda makombe mengi
Sasa Todd Boehly an wenzake hawataweza kuishi kwenye maono ya mtu mwingine
Wametengeneza maono yao na wanajitahidi sasa kuweka watu wanaoendana na hayo maono katika hao nilowataja hapo juu namba 1-3
Sisi mashab iki tusiojua influence ya maono tena maono shirikishi (shared vision) kwenye maendeleo ya timu tunaanza kuponda na kukashifu
 

Fabrizio Romano: Chelsea owner Todd Boehly wanted to sign Erling Haaland​

According to the claims made by transfer market journalist Fabrizio Romano (h/t Sun), Chelsea owner Todd Boehly wanted to sign star striker Erling Haaland from Borussia Dortmund before Manchester City did.

It is revealed that due to the protracted nature of the takeover, Boehly was not in charge of the club when City were finalising a deal with Dortmund to sign the Norwegian international.

The English champions completed the deal by April, at a time when Chelsea were busy dealing with the sanctions imposed on the club because of the previous Russian owner Roman Abramovich and the situation in Russia.
 
Mkuu nimecheki mechi yote
Wale simba mbarara wa Real Madrid ni hatari na playing style ndio inawabeba pamoaj na talents
Wakipoteza mpira wameurudisha kwa udi na uvumba, pasi fupi fupi na za kwenda mbele sijawahi ona back passes nyingi au sideways passes. Wanapiaga zile throgh passes katikati yua miguu ya opponent bila kujali watanyang'anywa. Tchouameni ni kiungo copy and paste wa Fab at this young age. Akikaa pale Barnabeu 5 yr sijui atakuwaje

Kwa ufupi ujenzio wa Real Madrid ya safari hii umejengwa katika vijana wadogo wa pale academy wakichanganya na majina makubwa ila bado ni young age

Na sisi Chelsea tutatoboa tu pamoaj na kuna mashabiki wengine wasioamini juu ya hii project. Wamezoeshwa na Abramovich kununua wachezaji waliovia timu nyingine na makocha wa majina makubwa. Bila kusahau kuwa hao makocha kuna sehemu walianzia na mfano halisi ni PEP na sas Xavi
Watu hawapendi kuchoma nyama kwa moto mdogo mdogo ili iive taratibu evenly. Wanachoma nyama kwa moto mkubwa kwasababu ya tamaa na haraka mwishowe inababuka tu kwa nje nyama haiivi vizuri ndani, wanakula na damu yake. Patience is a key to success. Hata wahenga walisema, ukiona vyaelea, vimeundwa.

Chelsea ikienda vizuri na hii project ya Boehly, itakuja kuwa tishio Ulaya. Kwanza itakuwa hatchery ya talents kama kitalu cha miche hata wengine wanakuja kununua hapo. Pili, vipaji vikubwa vitapandishwa team ya wakubwa na hawatahitaji muda mrefu ku-adapt kwasababu wanaijua falsafa na mfumo wa uchezaji wa team. Tuweni watulivu sasa hivi. Huwezi kupata mafanikio makubwa na ya haraka bila kuwekeza raslimali fedha na muda wa kutosha.

Sisi Chelsea style yetu ya uchezaji hata haijulikani ni ipi. Unachukua wachezaji kutoka ligi tofauti tofauti, wanakocheza style tofauti tofauti unawaleta unawafundisha tofauti na walivyozoea, wakubugi unawawakia unaanza kuwafanyia makasiriko mnaishia kutokuwa na furaha wote. Angalia Timo, Havertz, Lukaku. Timo amerudi Leipzig amekiwasha, Lukaku amekiwasha. Pulisic, Havertz na Ziyech wakirudi walikokuwa lazima watakiwasha tu. Sisi watoto tunawasambaza kama vifaranga vya kanga ligi na evel tofauti tofauti: championship, Eredivise, EPL wakirudi preseason hawaelewi kitu. Wanachanganyikiwa mazima. Wanajaa gesi muda wote.

Project ipewe muda, basi. Tuhuzunike sasa, baadaye tupate furaha ya muda mrefu.
 
Chelsea EPL Standings

2017/18 - 5th
2018/19 - 3rd
2019/20 - 4th
2020/21 - 4th
2021/22 - 3rd
2022/23 - ?

emoji117.png
Aisee hapa angebaki Roman Abramovich, Marina angemsajili labda DECLAN RICE, KOUNDE n.k, na labda Rudger, Lukaku, Werner, Christensen, Alonso wangebaki ila Kwa TT huu ungekuwa ni msimu wake wa mwisho kama asingebeba EPL.
Kounde ni mchezaji wakawaida Sana kama tungemsajili tungekuwa tunao majina tulipigwa

Fabrizio Romano: Chelsea owner Todd Boehly wanted to sign Erling Haaland​

According to the claims made by transfer market journalist Fabrizio Romano (h/t Sun), Chelsea owner Todd Boehly wanted to sign star striker Erling Haaland from Borussia Dortmund before Manchester City did.

It is revealed that due to the protracted nature of the takeover, Boehly was not in charge of the club when City were finalising a deal with Dortmund to sign the Norwegian international.

The English champions completed the deal by April, at a time when Chelsea were busy dealing with the sanctions imposed on the club because of the previous Russian owner Roman Abramovich and the situation in Russia.
Hata tungemsajili asingefanya chochote huko man city anatengenezewa sana nafasi
 
Kounde ni mchezaji wakawaida Sana kama tungemsajili tungekuwa tunao majina tulipigwa

Hata tungemsajili asingefanya chochote huko man city anatengenezewa sana nafasi
Zile goli zake zinaitwa "tap in goal" yeye hashiriki kwenye build-up au move anasubilia tu ku tapin, anafaa tu kwa barca na mancity tu, kwenye Liverpool na Chelsea anakua mzigo
 
Unaweza kuhuzunika sasa na baadae ukahuzunika pia.

Kwanza project yenyewe tumeianza na mguu sio.

Kuna mastaa tumewasajili dirisha hili ni sajili za papara, tumeleta mastaa wenye quality za kawaida sana.

Tungetulia hiyo £276 milioni, ingetumika kuwasajili mastaa wenye quality kubwa zaidi, timu ikafanya vizuri kipindi hiki cha mpito na vijana wenye vipaji wakaendelea kukuwa kwa malengo ya kutake over baadae.

Kwa kuwa anakuja Mkurugenzi wa michezo hope ataanza upya hii mnayoita project.
1. Kama hatuna hakika na furaha ya baadaye kupitia project kwanini sasa tunasema haya na yale? Tuikubali hali tuliyonayo sasa na tuendelee nayo.
2. Usajili ulikuwa lazima ufanyike maana kuna wachezaji waliondoka klabuni nafasi zao lazima zizibwe hata kama siyo zote.
3. Hatukuwa na Mkurugenzi wa Michezo wa kushughulikia usajili. Negotiations zikachukua muda mrefu hadi wachezaji kama de Ligt akaenda Bayern. Ended up chasing wrong targets in Raphinha, Kounde and Gordon hadi dirisha likafungwa. Wiki ya mwisho wa dirisha nani atakubali kukuuzia mchezaji wake wakati yeye hawezi kusajili tena.
4. Kuwanunua wachezaji ambao huna ushawishi nao na unashindana na wengine ni lazima uchezewe keusi na kekundu, unalamba Denis Zakaria. Kuliko kufa njaa, unachukua mchembe (viazi vitamu vya kukausha) kama alivyosajiliwa kwa mkopo Denis Zakaria ambaye wengi wetu humu hatukuwahi hata kumsikia
5. Christoph Freund aje sasa ili Msimu ujao tufanye usajili wa maana. Msimu huu turidhike na tulichonacho. Hata tumalize wa 9, sawa tu.
 
Kounde ni mchezaji wakawaida Sana kama tungemsajili tungekuwa tunao majina tulipigwa

Hata tungemsajili asingefanya chochote huko man city anatengenezewa sana nafasi
Missed chances zetu nazo angepoteza
 
1. Kama hatuna hakika na furaha ya baadaye kupitia project kwanini sasa tunasema haya na yale? Tuikubali hali tuliyonayo sasa na tuendelee nayo.
2. Usajili ulikuwa lazima ufanyike maana kuna wachezaji waliondoka klabuni nafasi zao lazima zizibwe hata kama siyo zote.
3. Hatukuwa na Mkurugenzi wa Michezo wa kushughulikia usajili. Negotiations zikachukua muda mrefu hadi wachezaji kama de Ligt akaenda Bayern. Ended up chasing wrong targets in Raphinha, Kounde and Gordon hadi dirisha likafungwa. Wiki ya mwisho wa dirisha nani atakubali kukuuzia mchezaji wake wakati yeye hawezi kusajili tena.
4. Kuwanunua wachezaji ambao huna ushawishi nao na unashindana na wengine ni lazima uchezewe keusi na kekundu, unalamba Denis Zakaria. Kuliko kufa njaa, unachukua mchembe (viazi vitamu vya kukausha) kama alivyosajiliwa kwa mkopo Denis Zakaria ambaye wengi wetu humu hatukuwahi hata kumsikia
5. Christoph Freund aje sasa ili Msimu ujao tufanye usajili wa maana. Msimu huu turidhike na tulichonacho. Hata tumalize wa 9, sawa tu.
Sio tu kuziba, wachezaji muhimu wakiondoka wanaharibu na mfumo wa uchezaji so itabidi kuziba na kujenga upya hiyo ndio inaitwa rebuilding. Kipindi cha rebuilding unaweza kuwa fupi au ndefu depending on designer and contractor. Kipindi hiki Cha rebuilding ni ngumu sana, wengine wataumia na kuondoa Imani na uongozi, kocha na Kwa baadhi ya wachezaji
Mashabiki wengine watahama hata timu. Mfano humu ndani tutabaki Wachache sana. Ila mambo yakirudi mahali pake watakurudi tena hadi mashabiki bandia na fuata upepo. Mimi baada ya kufuhamu maono ya wamiliki na utekelezaji wake nimeiamini hii project 100% na nimeniandaa kisaikolojia kwa miaka 2 hadi 3. Nawasihi wenzangu mjiandae kama Mimi hivyo hivyo maana kikombe hiki hakiepukiki
 
Kounde ni mchezaji wakawaida Sana kama tungemsajili tungekuwa tunao majina tulipigwa

Hata tungemsajili asingefanya chochote huko man city anatengenezewa sana nafasi
Kiongozi acha kutuangusha Sasa, Imani imeporomoka ghafla hata msimu haujasogea. Haaland angeletwa pia na wapikaji wangeletwa kama sio msimu huu ni unaofuata. Kwa ninsi ninavyomuona Boehly viungo wote baada ya misimu miwili watakuwa wapya. Na ndio maana Kante anapewa mkataba miaka 2, Jorginho sidhani kama ataongezewa mkataba. Wewe subiri uone
 
Missed chances zetu nazo angepoteza
Si kwamba hallaand nae hapotezi nafasi anapoteza ila ana uhakika wakupata chance zingine za maana na ndio maana confidence yake inakuwa ya juu lakini kwa Chelsea je inaweza ikawa hivi?
 
Kiongozi acha kutuangusha Sasa, Imani imeporomoka ghafla hata msimu haujasogea. Haaland angeletwa pia na wapikaji wangeletwa kama sio msimu huu ni unaofuata. Kwa ninsi ninavyomuona Boehly viungo wote baada ya misimu miwili watakuwa wapya. Na ndio maana Kante anapewa mkataba miaka 2, Jorginho sidhani kama ataongezewa mkataba. Wewe subiri uone
Hao wote uliotaja sijaona kiungo mbunifu umegusia ndio shida unapoanzia hapo
 
Christoph Freund will be sign documents to be unveiled as new Chelsea director in the next days. He's also been "approved" by Graham Potter as perfect profile to work together on present and future project.

It's just matter of time to get it signed, also with Salzburg.

[Via Fabrizio Romano]
 
Christoph Freund will be sign documents to be unveiled as new Chelsea director in the next days. He's also been "approved" by Graham Potter as perfect profile to work together on present and future project.

It's just matter of time to get it signed, also with Salzburg.

[Via Fabrizio Romano]
Hii habari inaweza kuwa kweli Lakini boss wa Freund amesema hakuna kitu cha namna hiyo ]
Screenshot_20220919-201937_OneFootball.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom