1. Kama hatuna hakika na furaha ya baadaye kupitia project kwanini sasa tunasema haya na yale? Tuikubali hali tuliyonayo sasa na tuendelee nayo.
2. Usajili ulikuwa lazima ufanyike maana kuna wachezaji waliondoka klabuni nafasi zao lazima zizibwe hata kama siyo zote.
3. Hatukuwa na Mkurugenzi wa Michezo wa kushughulikia usajili. Negotiations zikachukua muda mrefu hadi wachezaji kama de Ligt akaenda Bayern. Ended up chasing wrong targets in Raphinha, Kounde and Gordon hadi dirisha likafungwa. Wiki ya mwisho wa dirisha nani atakubali kukuuzia mchezaji wake wakati yeye hawezi kusajili tena.
4. Kuwanunua wachezaji ambao huna ushawishi nao na unashindana na wengine ni lazima uchezewe keusi na kekundu, unalamba Denis Zakaria. Kuliko kufa njaa, unachukua mchembe (viazi vitamu vya kukausha) kama alivyosajiliwa kwa mkopo Denis Zakaria ambaye wengi wetu humu hatukuwahi hata kumsikia

5. Christoph Freund aje sasa ili Msimu ujao tufanye usajili wa maana. Msimu huu turidhike na tulichonacho. Hata tumalize wa 9, sawa tu.