juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Sidhan kama lengo ni kutumia wachezaj wa academy tu,Kwa maono ya huyu mmiliki sidhani kama iko pale kuleta vikombe au trophies ila kupata maslahi ya haraka haraka hapo kutumia wachezaji wa academy tutabaki kua middle table timu, epl inahitaji wa chezaji wenye uzoefu sio hao wa academy
Ukweli ni kwamba huyu mmiliki alipenda ampate Ronaldo ili auze jezi na atangaze biashara zake kule US, kitu ambacho TT ali mgomea ndo hizo hasira za kumtimua.....
Kumbuka unaweza kuuza wachezaj wa academy ukawatumia kama njia ya kupata fedha huku wale best n talented ukabak nao,
@Chelsea_fc_worldwide