Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Broja asipofunga magoli itakuwa useless kwa kocha mpya, na kwake mwenyewe. Anatakiwa afunge ili apate confidence
 
Bado mechi 4,
gp bado liko wazi
Potter abadili mfumo wa ushambuliaji, style ya uchezaji kule mbele bado hauleti matumaini ya kufunga magoli
 
Sasa ndugu zangu cheltako kama na kakundi mpeche mpeche nako mnasuasua mtatoboa kweli nyie msije kuja kututinga tu kwenye kikombe chetu cha kibabe
Screenshot_20220907-161301.jpg
 
Ukweli tukubali hatuwezi kushindania kikombe chochote kwa hii timu sioni tukivuka hatua ya 16 labda iwe bahati na hata tukivuka itakuwa ni aibu uko mbeleni

Tumuache Potter aitengeneze timu ya ushindani ila leo lineup ndo imeamua matokeo haya kuna wachezaji hawapaswi kuanza kabisa haya ni makosa aliyofanya TT mpaka akatimuliwa

Inabidi angalie wachezaji wanaoweza kumpa matokeo sio majina makubwa inasikitisha sana
 
TT hajatimuliwa sababu ya kupanga kikosi kibaya ama matokeo mabovu uwanjani. Mbona hilo mmiliki Boehly kaelezea kwa mapana zaidi.
Ukweli tukubali hatuwezi kushindania kikombe chochote kwa hii timu sioni tukivuka hatua ya 16 labda iwe bahati na hata tukivuka itakuwa ni aibu uko mbeleni

Tumuache Potter aitengeneze timu ya ushindani ila leo lineup ndo imeamua matokeo haya kuna wachezaji hawapaswi kuanza kabisa haya ni makosa aliyofanya TT mpaka akatimuliwa

Inabidi angalie wachezaji wanaoweza kumpa matokeo sio majina makubwa inasikitisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom