Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sababu ya kutemwa TT. Na ni sababu ya msingi mno ukizingatia kwamba hii ni biashara. Mtu hawezi kuwekeza £4.25bn halafu atulie wakati haoni mbele.
Screenshot_20220913-205439_OneFootball.jpg
 
Jorginho on Thomas Tuchel's 'weak mentality' comments:

"It was his feeling in that moment, he said that to us as well. We tried what we could to try and do our best. Unfortunately, it wasn't working anymore. The challenge now is to rebuild that confidence."


Hii comment ya Jorginho,,Sio tuchel ashawah lalamika tu bali makocha wengi wanalalamikaga juu hili,Lampard aliwah gusia hili swala. Tusipolitatua litawagharim makocha wengi
 
chairman Todd Boehly on disconnect with ex-manager Thomas Tuchel:

"Our vision for the club was finding a manager who really wanted to collaborate with us... to bring a team together with the academy, first team and incremental clubs we want to acquire."

Hii ni interview yaleo wakat akihojiwa na katika mkutano wa Salt 2022
Kwa wale watakao taka kumskia waanzie hapa 1:40:00
Link[emoji116][emoji116]

Asante mkuu
 
Spurs wamekuwa exposed na Sporting dk ya 90 na 92 wanafungwa kijinga poor defending
Sporting 2 Spurs 0
Ila hao jamaa wapo vizuri sana kuna dogo hapo ainaitwa "Edwards" anavaa jezi no 10 amewasambua sana defenders wa spurs anapiga mpira kweli kweli sijui kwanini si Chelsea tunashindwa kuona wachezaji wenye talent kubwa kama hawa
 
Jorginho on Thomas Tuchel's 'weak mentality' comments:

"It was his feeling in that moment, he said that to us as well. We tried what we could to try and do our best. Unfortunately, it wasn't working anymore. The challenge now is to rebuild that confidence."


Hii comment ya Jorginho,,Sio tuchel ashawah lalamika tu bali makocha wengi wanalalamikaga juu hili,Lampard aliwah gusia hili swala. Tusipolitatua litawagharim makocha wengi
Nafikiri Graham anayo akili sio ya kuambiwa, huyu anatakiwa tu apewe sms kuwa hayupo kwenye plans za Graham na asepe january, Juve wanamtaka kule kwa wazee
 
Jorginho on Thomas Tuchel's 'weak mentality' comments:

"It was his feeling in that moment, he said that to us as well. We tried what we could to try and do our best. Unfortunately, it wasn't working anymore. The challenge now is to rebuild that confidence."


Hii comment ya Jorginho,,Sio tuchel ashawah lalamika tu bali makocha wengi wanalalamikaga juu hili,Lampard aliwah gusia hili swala. Tusipolitatua litawagharim makocha wengi
Mashabiki waanze kumzomea hadi bosi amteme mbali huyo kirusi
 
Ila hao jamaa wapo vizuri sana kuna dogo hapo ainaitwa "Edwards" anavaa jezi no 10 amewasambua sana defenders wa spurs anapiga mpira kweli kweli sijui kwanini si Chelsea tunashindwa kuona wachezaji wenye talent kubwa kama hawa
Ligi ya ureno inawachezaj wazuri sana ni vile watu hawatak kuangalia huko.

Mfumo wako mzima wa kurecruit ukiwa vizuri wachezaj wazur wengi utawapata bei chee.
 
Potter was handed a five-year contract by Chelsea's new owners which, if he sees it out, will make him the club's longest-serving manager since Dave Sexton's seven-year tenure came to an end in 1974.

Fourteen different coaches were appointed during Roman Abramovich's 19-year ownership but Potter sees no reason to compare the Todd Boehly-led consortium with their predecessor.

"I don't like answering ifs," said Potter. "It's not fair to compare.

"The history of Chelsea and the previous ownership is fantastic. Our job is to create our own history, our own path."
 
Natamani sana THE BLUES kwa sasa tupate tena mshambuliaji star wa kuogopwa kama ilivyokuwa kwa Drogba, Hazard na wengineo.

Mchezaji ambaye wapinzani wetu, wanatenga muda wa kukaa na kumuandalia mbinu za kumkabiliana naye kwenye mechi.
Na kumpata pia kiungo mbunifu wa kutoa assists hadi 20 kama enzi ya Fabregas
 
Japo imeshasemwa huko nyuma nimeamua kuweka toleo la kiswahili la alishokisema Boehly kuhusu Tuchel kuondoka. Nimebold kilichonisukuma kuileta hii hapa kwa kiswahili.
--------------------------------------------------

Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly amefunguka kuhusu kumuachisha kazi Thomas Tuchel na kudai kuwa kukosekana kwa maono ya pamoja ndio chanzo cha Tuchel kuondoka Chelsea wiki iliyopita na wala matokeo ya Dinamo hayana uhusiano na maamuzi ya kuachana.

Akiongea kwenye kongamano la SALT New York siku ya Jumanne, Boehly alisema:

“Ukichukua biashara yeyote, ni lazima uhakikishe kuwa uko pamoja na watu wanaoendesha hiyo biashara

“Tuchel kwa uhakika ni kocha mwenye kipaji sana na mtu aliyeiletea mafanikio makubwa Chelsea

“Maono yetu kwenye klabu ni kumtafuta kocha ambaye kwa ukweli yuko tayari kushirikiana nasi. Kuna kuta nyingi sana za kuvunja hapo Chelsea kabla, Timu kuu na academy hazikutoa taarifa za wapi wachezaji wazuri wanapotoka.

“Lengo letu kiukweli kuileta timu pamoja, Academy na timu kuu, na vilabu ambavyo tunataka kuvimiliki na kuviendeleza. Vyote hivyo vitahitaji kuwa mashine iliyolainishwa vizuri sana.

Ukweli wa maamuzi yetu ni kwamba hatukuwa tuna uhakika kwamba Tuchela anaona kama sisi tunavyoona. Hakuna ambaye yuko sahihi au kakosea kwenye hili sakata la Tuchel kuondoka. Ni kwamba tu hatukuwa na maono ya pamoja ya mbeleni kuhusu Chelsea.

“Haikuwa kwa sababu ya Dinamo, ilikuwa ni maono ya pamoja ya tulichotaka Chelsea iweje kule mbeleni. Haikuwa uamuzi uliofanywa kwa kuzingatia ushindi au kufungwa kwa mechi moja. Ni uamuzi uliofanywa kwa kuzingatia maono sahihi kwa klabu”
 
Japo imeshasemwa huko nyuma nimeamua kuweka toleo la kiswahili la alishokisema Boehly kuhusu Tuchel kuondoka. Nimebold kilichonisukuma kuileta hii hapa kwa kiswahili.
--------------------------------------------------

Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly amefunguka kuhusu kumuachisha kazi Thomas Tuchel na kudai kuwa kukosekana kwa maono ya pamoja ndio chanzo cha Tuchel kuondoka Chelsea wiki iliyopita na wala matokeo ya Dinamo hayana uhusiano na maamuzi ya kuachana.

Akiongea kwenye kongamano la SALT New York siku ya Jumanne, Boehly alisema:

“Ukichukua biashara yeyote, ni lazima uhakikishe kuwa uko pamoja na watu wanaoendesha hiyo biashara

“Tuchel kwa uhakika ni kocha mwenye kipaji sana na mtu aliyeiletea mafanikio makubwa Chelsea

“Maono yetu kwenye klabu ni kumtafuta kocha ambaye kwa ukweli yuko tayari kushirikiana nasi. Kuna kuta nyingi sana za kuvunja hapo Chelsea kabla, Timu kuu na academy hazikutoa taarifa za wapi wachezaji wazuri wanapotoka.

“Lengo letu kiukweli kuileta timu pamoja, Academy na timu kuu, na vilabu ambavyo tunataka kuvimiliki na kuviendeleza. Vyote hivyo vitahitaji kuwa mashine iliyolainishwa vizuri sana.

Ukweli wa maamuzi yetu ni kwamba hatukuwa tuna uhakika kwamba Tuchela anaona kama sisi tunavyoona. Hakuna ambaye yuko sahihi au kakosea kwenye hili sakata la Tuchel kuondoka. Ni kwamba tu hatukuwa na maono ya pamoja ya mbeleni kuhusu Chelsea.

“Haikuwa kwa sababu ya Dinamo, ilikuwa ni maono ya pamoja ya tulichotaka Chelsea iweje kule mbeleni. Haikuwa uamuzi uliofanywa kwa kuzingatia ushindi au kufungwa kwa mechi moja. Ni uamuzi uliofanywa kwa kuzingatia maono sahihi kwa klabu”
Kwa maono ya huyu mmiliki sidhani kama iko pale kuleta vikombe au trophies ila kupata maslahi ya haraka haraka hapo kutumia wachezaji wa academy tutabaki kua middle table timu, epl inahitaji wa chezaji wenye uzoefu sio hao wa academy

Ukweli ni kwamba huyu mmiliki alipenda ampate Ronaldo ili auze jezi na atangaze biashara zake kule US, kitu ambacho TT ali mgomea ndo hizo hasira za kumtimua.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom