Akili yako iko wapi matakoni, unapocoment mada za wengine usitukane wewe mkurupukjaji mkubwa. majeruhi sio changamoto kubwa, kila timu ina changamoto hiyo. na Changamoto tunayozungumzia ni ya mwanzo wa msimu alipokuwa anapewa timu na kusaini mkataba. Lampard kasaini mkataba wakati timu imeondokewa na Hazard na ikiwa kwenye ban ya kutosajili, TT kapata changamoto ipi wakati anakabidhiwa timu, usajili wa wachezaji kakuta kila kitu supa (Acha basi ukenge unapokoment hoja za wengine) kapata changamoto ya timu kuuzwa mwishoni mwa msimu haikuleta any great impact kwenye msimu. Wewe kama ni msukule wa TT mfuate huko alikokwenda tuachie Chelsea yetu au hamia huko kwa Arsernali ndiosize yako. Halafu hoja ya Lampard na TT nimekoment positively wewe kwa ukenge wako unataka kuijulisha uma kuwa nimemkandia TT wakati mimi nimesema tena katupa advantage kubwa ya vikombe UEFA, nk.... so nani stupid between me and you