Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Turudi kwenye uchambuzi wa soka hasa mimi nimuelezee tena Christian Eriksen
Tulipohoji kwa nini Chelsea haikumchukua huyu mheshimiwa na alikuwa bure sokoni, kuna watu hapa hata hawajui mpira wakamponda sana
Ericksen kaibadilisha ile attacking department ya Man U na jana alihusika na magoli yote matatu

Alitoa pasi nzuri kabla hajafanyiwa rafu kwa Bruno ambaye naye alimpasia Rashford aliyempa assist ya kijanja Antony kufunga goli la kwanza
Alianzisha move kupeleka mpira kwa Bruno ambaye naye akamuassist Rashford kufunga goli la pili
Pia Ericksen alichomoka vizuri bila kuotea bila ubinafsi akampa assist Rushaford kwa goli la tatu

For me man of the match ni Eriksen kwa mechi ya jana
Group la chelsea uchambuzi wa Manchester tabu kweli kweli
 
Breaking news

Reece james amesaini mkataba na Chelsea leo wa miaka 6 ambao utamfanya mkataba wake uishe mpaka 2027 ambao utamfanya kuwa beki mwenye kulipwa mshahara mkubwa ndani ya chelsea atakuwa akipokea mshahara wa pounds 250000 ( Pounds laki mbili na nusu) kwa wiki.
293228237_592925572404191_8515501762214660402_n.jpg
 
Breaking news

Reece james amesaini mkataba na Chelsea leo wa miaka 6 ambao utamfanya mkataba wake uishe mpaka 2027 ambao utamfanya kuwa beki mwenye kulipwa mshahara mkubwa ndani ya chelsea atakuwa akipokea mshahara wa pounds 250000 ( Pounds laki mbili na nusu) kwa wiki.View attachment 2346442
Hongera zake, the best deal for the best player. Atakaa hadi 2028 sio 27
 
Kikos cha wachezqj 23 kimesafir kwenda zagreb kwa ajili ya gw1 ya uefa
Mchezo unatarajiwa kupigwa kesho majirq ya saa 19:30hr

Thiago silva hajasafiri na tim huku Aubameyang,zakaria,chukwumeka ni miongini mwa waliosafir na tim
Itachezwa saa mbili kasoro usiku saa za huku kwetu. Zagreb iko lisaa limoja nyuma yetu kwa hiyo huko watacheza saa moja kasoro usiku
 
Jorginho nick name yake sasa ni "lossing possion on his final third"
Lile goli alilokosa Konnect likagonga mwamba ni baada ya Jorginho kizembe kabisa kupoteza possesion kwenye eneo la hatari. Hii imekuwa ni kawaida yake na kocha anaona sawa, kapewa mahela mengi asajili halafu anaacha na kuendelea kumtegemea Jorginho ambaye enzi yake imeisha kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom