Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,199
Kama nani anaweza kutufaaTODDY BOEHLY atafute kocha mwingine, masikio makubwa atupishe
Hivi unaweza kuwa mwanaume kamili ukasimama mbele ya watu ukakaza na msuli wa matako ukawatamkia mpira ni bahati? Mpaka sasa bado mnaamini kwenye mpira ni bahati? Kweli???Tuchel Ni kocha wakawaida Sana , alibahatika kubeba UCL kwa kikos alichoandaliwa na Lampard,
Kwenye michuano ya Tournament hata Julio Jamhuri kiwelo anaweza kubeba UCL ,
Michuano ya Tournaments mara nyingi huwa ya ubahatishaji Sana, ndio maana Ni rahisi timu iliyokuwa mbovu kubeba kombe , Ulishawahi jiuliza Ferguson miaka 26 aliyokaaa man u amebeba UCL mara 2 tu Tena chupu chupu yote mawili
Ndio maana Tuchel amefanikiwa kufanya vzr kwenye michuano ya Tournaments Kama FA,CARABAO akifika fainal NA UCL akabeba, wapo makocha wa hivi wengi
Ndio maana leo unaweza kujiuliza yupo wapi Dimateo, yupo wapi Avram Grant aliyefika fainal UCL? muangalie Unai emery mpira atakaokupigia kwenye tournaments, mlete kwenye mbio ndefu anavyopoteana
Hivi unaweza kuamini unai emery aliyefanya vzr kwenye Europa League mara kibao ,na UCL kufika nusu Fainal msimu huu anacheza conference league? Na miaka yote kwenye Ligi ya Spain ameingia top 4 mara 1 tu 2010.
Makocha wa hivi ndio kina Tuchel, mpira wa Knockout stages anauleta kwenye league mbio ndefu ,
Mashabiki wa Arsenal mnaumia sana Auba kuja Chelsea kwa sababu mnaamini story ya Auba haitakua tofauti na ya Giroud, atabeba makombe ambayo huko kwenu mnayaota kila uchwao.
Alicheza ovyo lakini hakuwa pekee yake waliyecheza ovyo walikuwa karibia team nzima lakini chakushangaza jumba anaangushiwa yeye pekee.Waliocheza vizuri pekee ni Kepa, Auba na kidogo koulibalyAlichezaje ziyech,
Chance ipi ya wazi aliyotengenezewa mpaka umjudge hivyo ukuona kuna chance alitengeneza kwa sterling akakosa uoni link up alizokuwa anafanya au ndugu unaangalia mpira upi? Hivi unadhani kama halaand apewi huduma anafungaje magoal?Mzee wa NSSF akila mafao ya uzeeni.😁
View attachment 2348264
Yaani kwa staili ile, TT kaweka strong team na bado wachezaji hawajitumi lazima wachezaji wanampa ujumbe Todd BoehlyChelsea na kubounce back ilikuwa zama za akija Drogba hapa kuna mgomo baridi mpaka TT atimuliwe
Always the sky is blue and the sea is blue, top and bottom are blueMkuu kumbe hapa ndo maskani yako![]()
Hajabahatisha ila kwa sasa wachezaji ni dhahiri hawamtaki kabisaKamanda nakupinga ulivyosema TT kabahatisha kuchukua Uefa kwasababu ukiangalia team zote tulikutana nazo tuliwadominate mfano A.Madrid tulimpiga nje ndani na si kufunga tu natulipa mpira mwingi, Angalia game na Real Madrid kama unakumbukumbu nzuri tulimpiga kwa kudominate tulitoka sare ya 1 kwa 1 lakini tulipiga mpira mwingi hata walivyokuja darajani kama tungetumia nafasi vizuri ile game Madrid angefungwa si chini ya goal 4 hata final na Man city tulicheza vizuri na ndio msimu tulimfunga city game zote tatu tulizokutana nae.Shida ya TT kinachomcost nikuacha aina ya mpira uliyotupa mataji sasa hivi hatuchezi lile soka Tena tumekuwa slow, back pass na side pass nyingi.
TT kocha mzuri kwa mbinumbinu za mjini, na kombe la UCL hakubahatisha ila wachezaji wamemchoka ana tabia mbovuTuchel Ni kocha wakawaida Sana , alibahatika kubeba UCL kwa kikos alichoandaliwa na Lampard,
Kwenye michuano ya Tournament hata Julio Jamhuri kiwelo anaweza kubeba UCL ,
Michuano ya Tournaments mara nyingi huwa ya ubahatishaji Sana, ndio maana Ni rahisi timu iliyokuwa mbovu kubeba kombe , Ulishawahi jiuliza Ferguson miaka 26 aliyokaaa man u amebeba UCL mara 2 tu Tena chupu chupu yote mawili
Ndio maana Tuchel amefanikiwa kufanya vzr kwenye michuano ya Tournaments Kama FA,CARABAO akifika fainal NA UCL akabeba, wapo makocha wa hivi wengi
Ndio maana leo unaweza kujiuliza yupo wapi Dimateo, yupo wapi Avram Grant aliyefika fainal UCL? muangalie Unai emery mpira atakaokupigia kwenye tournaments, mlete kwenye mbio ndefu anavyopoteana
Hivi unaweza kuamini unai emery aliyefanya vzr kwenye Europa League mara kibao ,na UCL kufika nusu Fainal msimu huu anacheza conference league? Na miaka yote kwenye Ligi ya Spain ameingia top 4 mara 1 tu 2010.
Makocha wa hivi ndio kina Tuchel, mpira wa Knockout stages anauleta kwenye league mbio ndefu ,
Ziyech hana confidence kabisa alicheza utopolo original, kang'ang'amia kupiga free kick mbili nzuri sana akaharibu kizembe zote na nafasi chache alizopata utadhani sijui kalogwaNilichek 1st half tu,
2nd half sikuangalia
Nimejaribu kupitia mitandaon naona watu wengi wanamlalamikia Ziyech,
Wengine wakienda mbal wakisemq ziyech ni km anafanya maksudi kwa kumkatalia kuondoka
Ivan Toney - uchezaji wake ni wa staili ya Chelsea - yuko too physical and clinicalTulifanya makosa makubwa kushindwa kumchukua Rafael Leao, dogo anaujua mpira sana.
Ndg uko wapi ktk hii sayari, kwa uwekezaji wa kununua timu na usajili, HAKUNA MPUMBAVU DUNIANI atakayemvumilia kocha asiye na matokeo mazuri. Nakuhakikishia huyu ameshaanza kuhesabiwa kabisa. Matokeo haya ambayo yanakuwa afadhali asubuhi jioni kilio hatamaliza miezi miwili. It is Sept now, Oct au November atafungashiwa viragoHii tim haiwezi kaa na kocha 2yrs inavyoonekana, hata leo hii tuchel akiomdoka stil hii tatizo halitoisha..
Bahat aliyonayo Tuchel mmiliki sio Roman, if angekuwa Roman sahiv tungekuwa tunaanza kumuhesabia mechi,
Uchezaj wetu badala ya kuimprove kutoka pale tulipoishia msim uliopita ni kama tumerudi nyuma kama wakat ule wa lampard.
Either kuna wachezaj(ziyech+pulisic) wanasambaza sumu kwa wenzao, since walihitaj kuondoka na kubakia kwao ni kama kosa
Mechi 5 zijazo zitatoa picha kamili
Kocha taka taka hafai hata kufundisha academy kwanza ni kichaaa










PEP anachofanya kwa sasa, mchezaji akishagundua hayuko happy anamruhusu kutoka mapema au kufagiaHii inaweza kuwa ni kosa ama wachezaj washamchokaa na kuingia kwenye kundi lile lile la makocha waliopita. Kama nikweli hata aje nani hii cycle itajirudia na hatutoweza win premier league, kuwin premier league sasa inahitaj uwe bora na uwezo kukusanya 90+pts, liverpool tunayoiona bora imewin 1epl, tunahiyaj tutatue hiyo shida otherwise tusahau kushinda premier league hii aliyepo pep. Tutaendelea win fa,carabao hata uefa, ila kwa ligi tusahau kama ndio shida ni ileile iliyowaondoka makocha waliopita.
Tabia zake mbovu ni zipi?TT kocha mzuri kwa mbinumbinu za mjini, na kombe la UCL hakubahatisha ila wachezaji wamemchoka ana tabia mbovu
Hata wakimchukua Jamhuri Kiwelu atakuwa kocha bora kuliko TTKama nani anaweza kutufaa
Tabia za kike