Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilichek 1st half tu,

2nd half sikuangalia
Nimejaribu kupitia mitandaon naona watu wengi wanamlalamikia Ziyech,

Wengine wakienda mbal wakisemq ziyech ni km anafanya maksudi kwa kumkatalia kuondoka
Ziyech ameangushiwa tu jumba bovu wachezaji karibia wote walikuwa underperform mfano mount kuna wakati unamuona kabisa hayupo mchezo anacheza huku anamawazo, kai alikuwa anafanya poor decision making, fofana pia hakuna chochote alichofanya angalau koulibaly kidogo ndio alionesha uhai na Auba kamtengenezea nafasi nzuri sterling, sterling akafanya utumbo
 
Hii tim haiwezi kaa na kocha 2yrs inavyoonekana, hata leo hii tuchel akiomdoka stil hii tatizo halitoisha..

Bahat aliyonayo Tuchel mmiliki sio Roman, if angekuwa Roman sahiv tungekuwa tunaanza kumuhesabia mechi,


Uchezaj wetu badala ya kuimprove kutoka pale tulipoishia msim uliopita ni kama tumerudi nyuma kama wakat ule wa lampard.

Either kuna wachezaj(ziyech+pulisic) wanasambaza sumu kwa wenzao, since walihitaj kuondoka na kubakia kwao ni kama kosa

Mechi 5 zijazo zitatoa picha kamili
 
Ziyech ameangushiwa tu jumba bovu wachezaji karibia wote walikuwa underperform mfano mount kuna wakati unamuona kabisa hayupo mchezo anacheza huku anamawazo, kai alikuwa anafanya poor decision making, fofana pia hakuna chochote alichofanya angalau koulibaly kidogo ndio alionesha uhai na Auba kamtengenezea nafasi nzuri sterling, sterling akafanya utumbo
Alichezaje ziyech,
 
Mimi naenda kulala, hata hamu ya kuangalia mechi zingine sina
Natumaini hii ni group stage, na natumaini kuwa tutabounce back kwa mechi za Salzburg na AC Milan pamoaj na marudio yote
Pengine tumefungwa leo ili tujitambue kuwa tuko kwenye European Champion League

Chelshit

Mkuu achana na timu la mchongo hili

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Auba ni mbaya?
Mzee wa NSSF akila mafao ya uzeeni.😁
20220907_000159.png
 
Binafsi sikumuelewa TT kwanini alibadilisha aina ya soka lililotupa mataji
Hii inaweza kuwa ni kosa ama wachezaj washamchokaa na kuingia kwenye kundi lile lile la makocha waliopita. Kama nikweli hata aje nani hii cycle itajirudia na hatutoweza win premier league, kuwin premier league sasa inahitaj uwe bora na uwezo kukusanya 90+pts, liverpool tunayoiona bora imewin 1epl, tunahiyaj tutatue hiyo shida otherwise tusahau kushinda premier league hii aliyepo pep. Tutaendelea win fa,carabao hata uefa, ila kwa ligi tusahau kama ndio shida ni ileile iliyowaondoka makocha waliopita.
 
Salzburg n Ac Milan wamedraw (1-1)

So group liko hiv mpk sasa katika gw1
Zagreb 3pts
Ac milan 1ptd
Salzburg 1pts
Chelsea 0pts

Game zijazo ni j5(14th sept 2022)
Chelsea vs salzburg
Ac milan vs Zagreb
 
Hii tim haiwezi kaa na kocha 2yrs inavyoonekana, hata leo hii tuchel akiomdoka stil hii tatizo halitoisha..

Bahat aliyonayo Tuchel mmiliki sio Roman, if angekuwa Roman sahiv tungekuwa tunaanza kumuhesabia mechi,


Uchezaj wetu badala ya kuimprove kutoka pale tulipoishia msim uliopita ni kama tumerudi nyuma kama wakat ule wa lampard.

Either kuna wachezaj(ziyech+pulisic) wanasambaza sumu kwa wenzao, since walihitaj kuondoka na kubakia kwao ni kama kosa

Mechi 5 zijazo zitatoa picha kamili
Kuna tatizo kubwa sana na ili kulitatua inabidi TT aondoke maana tayari hawa wachezaji washapeana sumu tofauti na hapo msimu huu tutegemee matokeo mabaya kila mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom