Umelewa au?Goaaal 1-1
TT atupishe hajui kufundisha mpira, anaishi kwa ujanja ujanja na mbinu feki feki.






Nilivoona tu kikosi sijataka hata kwenda kuangalia match, nilijua tu tutakuwa tunacheza utoto.




machozi yananitokaTimu inacheza kama vile bado iko pre season









hata Dinamo?sasa mtafunga nani kwenye group hili?moto wa Salzburg na Ac Milan mnaujuaChelsea na kubounce back ilikuwa zama za akija Drogba hapa kuna mgomo baridi mpaka TT atimuliweMimi naenda kulala, hata hamu ya kuangalia mechi zingine sina
Natumaini hii ni group stage, na natumaini kuwa tutabounce back kwa mechi za Salzburg na AC Milan pamoaj na marudio yote
Pengine tumefungwa leo ili tujitambue kuwa tuko kwenye European Champion League