Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Billy Gilmour kaitwa kwenye mazoezi ya maandalizi dhidi ya Soton na pia kapewa namba ya jexy kwa msimu huu no 35

1661846615744.png
 
Kafungua mlango wa makocha kuchoropokea, watafuata wangapi, msimu uliopita makocha 10 (nusu ya makocha epl walifukuzwa)
Msimu huu sijui watakuwa wangapi na nani atafuata baada ya Scott

1661849647473.png
 
Uwo ni ujana ndo unao kusumbua.... anyway mkuu tujadili megine haya tu ache najua wewe upendagi defeat, ila sie sote ni blues na tuna kutegemea sana kwa your out sourcing information unatupa update kwa wakati, Thanx tunatumbua mchango wako Lembu.
Uniombe msamaha, mimi ni very very senious hapa, 90%+ mnastahili kunipa shikamoo hapa, keyboard inakufanya unione niko sawa na wewe
 
Uniombe msamaha, mimi ni very very senious hapa, 90%+ mnastahili kunipa shikamoo hapa, keyboard inakufanya unione niko sawa na wewe
inawezakana kujua kitabu yaliomo kwa kuangalia jalada lake tu, uongo mkuu?
 
Leo Kai akianza badala ya Broja, tuanzishe thread ya Tuchel OUT

Twende na hii line up

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Cucurella --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Koulibaly ----------------- Silva ------------------ Azpilicueta

----------------------- Mendy -----------------------------

AU

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Chilwell --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Cucurella----------------- Silva ------------------Koulibaly

----------------------- Mendy -----------------------------
Nasikia Kopva bado hana fitness ya kuanza so twende na

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Cucurella --------- Jorginho ----------Cheek ------- James

Koulibaly ----------------- Silva ------------------ Azpilicueta

----------------------- Mendy -----------------------------
 
Leo Kai akianza badala ya Broja, tuanzishe thread ya Tuchel OUT

Twende na hii line up

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Cucurella --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Koulibaly ----------------- Silva ------------------ Azpilicueta

----------------------- Mendy -----------------------------

AU

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Chilwell --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Cucurella----------------- Silva ------------------Koulibaly

----------------------- Mendy -----------------------------
Usitegemee chochote mkuu kai lazima huyu kocha amuanzishe
 
Nasikia Kopva bado hana fitness ya kuanza so twende na

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Cucurella --------- Jorginho ----------Cheek ------- James

Koulibaly ----------------- Silva ------------------ Azpilicueta

----------------------- Mendy -----------------------------
Mtoe mount weka Ziyech au Pulisic
 
Mkuu hapo tofauti ni ipi kwa hao wachezaji watatu tuchambulie kdgo tafadhari
Mount kashuka kiwango ndio maana nimependekeza asianze Pulisic ana kiasi anaweza kusumbua mabeki lakini pia mzuri kufanya movement ndani ya box na akiwa kwenye form ni mfungaji mzuri ingawa sometimes anakosa magoal ya kiboya lakini ni Bora kuliko acheze Mount ambaye hakuna chochote alichofanya kwenye mechi zote alizocheza si kufunga si assist, Ziyech namkubali kwasababu anauwezo wakutengeneza chances na kitu ambacho tunakihitaji na combination yake na Sterling itakuwa poa
 
Mount kashuka kiwango ndio maana nimependekeza asianze Pulisic ana kiasi anaweza kusumbua mabeki lakini pia mzuri kufanya movement ndani ya box na akiwa kwenye form ni mfungaji mzuri ingawa sometimes anakosa magoal ya kiboya lakini ni Bora kuliko acheze Mount ambaye hakuna chochote alichofanya kwenye mechi zote alizocheza si kufunga si assist, Ziyech namkubali kwasababu anauwezo wakutengeneza chances na kitu ambacho tunakihitaji na combination yake na Sterling itakuwa poa
Sasa huyu zienchy wako mwambie awe anarudi nyuma ku-defend hiyo tabia yake yakupoteza mpira na kusimama epl itamshida epl ina intensity labda Ajax......ila ni mchezaji mzuri ila anachelewa kusoma mchezo
 
Mount kashuka kiwango ndio maana nimependekeza asianze Pulisic ana kiasi anaweza kusumbua mabeki lakini pia mzuri kufanya movement ndani ya box na akiwa kwenye form ni mfungaji mzuri ingawa sometimes anakosa magoal ya kiboya lakini ni Bora kuliko acheze Mount ambaye hakuna chochote alichofanya kwenye mechi zote alizocheza si kufunga si assist, Ziyech namkubali kwasababu anauwezo wakutengeneza chances na kitu ambacho tunakihitaji na combination yake na Sterling itakuwa poa
Wazo lako litakuwa na afya ikibase kuwa rotation inaweza kuamsha form ya wachezaji, ila mimi labda Ziyech
 
Cucurella ni mchezaji mzuri ila atulize wenge, ile pasi iliyosababisha Gallagher kutolewa kwa njano ya pili hakutakiwa iwe hivyo. Japo ilisaidia kwani TT liweka 442 formation ambayo inamfanya Jorginho awe isolated na asiweze kufanya passing zake. Baada ya Galagher kutolewa na Azpi kuingia TT akarudi kwenye back 5 ambayo ndio inampaga Jorgninho kucheza vizuri. Na ndio maana nasema kwa sasa tusiachane na back 5 kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom