Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie kenge msijisahaulishe leo timu lenu la watovu wa nidhamu lipo uwanjani likijiandaa kupokea kipigo toka kwa Soton, beki nguli ya dunia Koloboi Kalabai pamoja na kocha mahiri wa Judo Thomas Tuchelewe zitakuwepo uwanjani baada ya kumalizia adhabu zao za utovu wa nidhamu.
Leo sijui kenge gani nyingine itakula umemeView attachment 2339663
Bila shaka umeandika ili tufurahi, anyway Nmecheka.
Katika hii list ya competitors wa Masaon Mount
  1. Bukayo Saka
  2. Phil Foden
  3. Jadon Sancho
  4. Marcus Rashford
  5. Martin Ødegaard
  6. Gabriel Martinelli
  7. Emile Smith Rowe
ni Bukayo Saka na Jadon Sancho tu ndio wanaweza kulingana au kumpita kidogo Mount kwenye general performance tena Sanchos mpaka uchukue takwimu za Bundelsiga, EPL bado hajamfikia Mount
Mm namkubali Foden kinoma
 
Leo James hakufanya mazoezi, inasemekana alipata nock, Kova hayupo fit kiasi. TT amemuita Billy Gilmour akae kati na Jorginho ili RLC acheze kama wingback badala ya James. Tighten your belts, rough ride ahead....
 
. Mendy

Travor Monstro Double K


Dave Da cunha Rubey Cucu


Money Mase Alleskonner Raz




Naona tutaanza hivi leoo
 
TAYARI HUKO NEW YORK

Screenshot_20220830-200320.jpg
 
Exclusive.
Chelsea wako katika mazungumzo ya kumsajil Josko Gvardiol kwa ada ya £77M, ila atabaki Rb Liepzig mpk 2023 ndipo atakapojiunga

Source-Fabrizio Romano
Tulikuwa na mtizamo mbovu juu ya wamarekani, Boehly amekuja Chelsea kwa wakati muafaka, sajili anazofanya unaona maono aliyonayo ya muda mfupi na muda mrefu. Chelsea itakuja kutawala epl na UCL miaka michache ijayo. Yajayo yanafurahisha zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom