Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Eeh! Kaanza, Cucurella leo anacheza katikati.
Halafu kuna watu hapa wanafagilia sana huyu kichaa, mimi nathani atakayemuondoa TT Chelsea kabla ya World cup ni Havertz. Badala ya mechi kama hizi angempa Broja acheze tena anwafahamu vizuri hawa Soton, unakuja kumpa kichwa cha mwenda wazimu. Ndio maana Havertz hachezi vizuri, anajua hata akicheza vibaya atapangwa tu
 
Chukwemeka siyo DM
CM na DM zinaingiliana, CM mzuri ni lazima ajue kudifend
Kova anacheza CM na Kante CM (japo yeye ni DM)
na pia nadhan i formation ya 343 haina DM ina CM tu
Tangu enzi za Sarii Kante anacheza kama CM, akaja Lampard akamchezesha kama Attacking Midfielder
So Chukwemeka anatakiwa kucheza zama hizi za majeruhbi ili kuinua kiwango chake, Mbona Gavi amekuwa regular starter kwenye timu kubwa kama Barcelona na ana miaka 18 tu
Kwa nini sisi tusiwaanzishe hawa wadogo tuliowasajili ili wazoee, ni lini tutawarizisha mikoba?
 
Hili dili sidhani kama litatimia. Nadhani nguvu kubwa imewekwa kwa Auba
Kuna maajabu yatatokea tarehe 1 September 2022, tusubiri tuone. Usishangae CR7 au Neymar pu akatua darajani ila mimi ningependa Neymar zaidi ya CR7
 
Tatizo liko kwa Kocha, Tuchel ni muoga sana. Yule ndezi anazingua sana, linaogopa ogopa tu kazi kutujazia mabeki kwenye kikosi.
CM na DM zinaingiliana, CM mzuri ni lazima ajue kudifend
Kova anacheza CM na Kante CM (japo yeye ni DM)
na pia nadhan i formation ya 343 haina DM ina CM tu
Tangu enzi za Sarii Kante anacheza kama CM, akaja Lampard akamchezesha kama Attacking Midfielder
So Chukwemeka anatakiwa kucheza zama hizi za majeruhbi ili kuinua kiwango chake, Mbona Gavi amekuwa regular starter kwenye timu kubwa kama Barcelona na ana miaka 18 tu
Kwa nini sisi tusiwaanzishe hawa wadogo tuliowasajili ili wazoee, ni lini tutawarizisha mikoba?
 
Willian anaipenda London jamani, kafanya juhudi karudi tena, leo kapimwa mkojo ili kuichezea Fulam, jirani kabisa na Daraja letu
 
Leo ni 433

Sterling -------- Havertz ------- Ziyech

Mount ----------- Jorginho ---------- RLC

Cucurela -- Koulibally --- Silva -- Azpilicueta

---------------- Mendy ------------------
 
Madhara ya Sterling kucheza kulia hawezi kutumia mguu wa kushoto. Sijui TT ana mpango Gani kumchezesha Ziyech kushoto na Sterling kulia?
Mfano wote wamekosa magoli ya wazi Kwa sababu ya kutumia wrong foot
 
Raheem kaanza kuidhi, pasi mbili kapoteza ila karekebisha Kwa kufunga goli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom