Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumuweka mtu benchi hii ni comparizon ya kizamani mno. Kila mchezaji an uwezo na udhaifu wake, peculiar talents zinazomfanya ushindwe kumlinganisha na mwingine. Mason Mount kwenye attacking phase ni mchezaji wa caliber ya juu sana ndie atakayemfanya sub - yaani aanzie bench
Mkuu be realistic huwezi kuweka mchezaji mzuri bench wakati unatafuta ushindi, hamna kocha wa namna hiyo duniani..........chambua uzuri wake hapa kama stiker, ni accurate passing? Sharp shorts? good Header? Quck positioning? Kupiga chenga? Free kick taker? Au tuambie talent yake iko wapi kama sio average player tu. Huwezi kumlinganisha na haaland nunezi, sala, kdb mane au Kane au ndo first class strikers
 
Nimempenda uchambuzi wako na subilia unitajie hizo heshima za manson Mount alizo leta Chelsea anazo sitahili, kumzidi James, covici au Kante, tusifuate ushabiki wa media za uingereza, huyu Mount kwa umri wake anapaswa awe kwenye peak kwa kupanda sio kwa kushuka. Naomba ufanye uchambuzi mdogo huyu best player Mount ukimpeleka Liverpool atamkosesha nani number kwenye 1st eleven yao.
Kwahiyo hukuona lolote alilofanya Mount msimu uliopita? Nani alikuwa top scorer Chelsea? Bila magoli ya Mount Chelsea ingeingia top 4? Tuwe na shukurani jamani.
 
Kwahiyo hukuona lolote alilofanya Mount msimu uliopita? Nani alikuwa top scorer Chelsea? Bila magoli ya Mount Chelsea ingeingia top 4? Tuwe na shukurani jamani.
Hakuna mchezaji pale kwa Mount, ni average player, Mount alipata magoli manne kwa mechi moja. Mount akiwa na mpira wa one against one golini ana kosa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu be realistic huwezi kuweka mchezaji mzuri bench wakati unatafuta ushindi, hamna kocha wa namna hiyo duniani..........chambua uzuri wake hapa kama stiker, ni accurate passing? Sharp shorts? good Header? Quck positioning? Kupiga chenga? Free kick taker? Au tuambie talent yake iko wapi kama sio average player tu. Huwezi kumlinganisha na haaland nunezi, sala, kdb mane au Kane au ndo first class strikers
Leta majina ya kumfanyia comparizon kwenye hizo stats na hayo majina yawe na vigezo hivi, same age range and same position. Mason Mount ana miaka 23 comparizon iwe between 22-24 hapo ndio itakuwa fair kwake. Na wawe wanacheza attacking mieldfield au wingers. Duration iwe at least msimu uliopita kwa sababu msimu huu ndio tu umeanza. Nje na hapo ni kumuonea tena sana na nitahisi una chuki binafsi kwake.
 
Mambo bado, Leo jumanne itajulikana mbivu na mbichi
Screenshot_20220830-052426.jpg
 
Mkuu hamna alie sema kwamba ni mbaya hapana, Chelsea ndo kubwa kwake, hawezi kua key striker wa team kubwa kama Chelsea, linganisha na top 4 epl team wenye strker kama huyu ..... Mount anapaswa kua key striker wa middle table team kwa Chelsea is over rated, kocha kama Jose morinuo hawezi kumpanga first eleven yake, huyu ni media player
Mason Mount sio striker na kama ulikuwa unamaanisha hivyo I am sorry. Yeye ni attacking mieldfielder especially CAM na mara chache kama wide winger.
 
Mason Mount sio striker na kama ulikuwa unamaanisha hivyo I am sorry. Yeye ni attacking mieldfielder especially CAM na mara chache kama wide winger.
Kwani KDB ni striker jitahidi tu jadili issues za mpira sio kubishana na kuamini unafuatilia masuala ya mpira naona kama unatafuta scaperoute........
 
Mkuu hamna alie sema kwamba ni mbaya hapana, Chelsea ndo kubwa kwake, hawezi kua key striker wa team kubwa kama Chelsea, linganisha na top 4 epl team wenye strker kama huyu ..... Mount anapaswa kua key striker wa middle table team kwa Chelsea is over rated, kocha kama Jose morinuo hawezi kumpanga first eleven yake, huyu ni media player
Kwani KDB ni striker jitahidi tu jadili issues za mpira sio kubishana na kuamini unafuatilia masuala ya mpira naona kama unatafuta scaperoute........
Leta majina ya kumfanyia comparizon kwenye hizo stats na hayo majina yawe na vigezo hivi, same age range and same position. Mason Mount ana miaka 23 comparizon iwe between 22-24 hapo ndio itakuwa fair kwake. Na wawe wanacheza attacking mieldfield au wingers. Duration iwe at least msimu uliopita kwa sababu msimu huu ndio tu umeanza. Nje na hapo ni kumuonea tena sana na nitahisi una chuki binafsi kwake.
Ndg huna hata haya kumlinganisha KDB na Mount, ndio maana nikakuambia with limits. Nilijua tu kwa uchanga wako wa mpira utamlinganisha KDB na Mount
KDB ana miaka 31 na miaka mingi kwenye football, with a lot of experience kwenye hiyo fani
So shame for this comparizon

Mount ndio kwanza anaanza career yake ya mpira
Wataalamu wa mpira wanadai mchezaji anaanza consistency ya mpira wake 23yrs and above. Mount ndio kwanza yuko 23yrs na career yake ndio inaanza msimu huu, best performance aliyotupa under 23 ni bonus tu

Mchezaji anafika peak ya mpira kati ya 25-30, kwa wengine late 30s
Mount bado ana miaka miwili hadi 7 afikie peak yake ndio umlinganishe na KDB ambayer anamalizia peak period yake kweli kweli!

Nasikitika sana ni hiyo analysis yako inakuonyesha kuwa mpira bado sana

Halafu aliyeleta issue ya striker ni wewe ukimtaja Mount anafaa kuwa striker wa midtable team au umesahau tena, nimequote ulivyosema

Wachezaji wa kumlinganisha na Mount ni
  1. Bukayo Saka
  2. Phil Foden
  3. Jadon Sancho
  4. Marcus Rashford
  5. Martin Ødegaard
  6. Gabriel Martinelli
  7. Emile Smith Rowe
Liverpool hawana comparizon wote wazee na top team za EPL ukiondoa Arsenal, Manure na Man city

Kama unamlinganisha KDB na Mount go back to KDB 22yrs
Mason Mount kwa taarifa yako alishavunja rekodi ya Lampard katika huo umri. Ni kwamba sina tu muda ningekutolea nje takwimu zote alizovunja Mount kwa hao unaowaona leo ndio wazuri kuliko Mount
 
Ilikuwa 7-0 sio 9-0
Ktk historia ya EPL timu zilizoshinda 9-0 ni 3 tu
Manchester United dhidi ya Ipswich town 4 March 1995
Tena Man U dhidi ya Southampton 25 Oct 2021
Leicester City dhidi ya Southampton 2 Feb 2019
Na Jana 27 Aug 2022 Liverpool dhidi ya Bonamouth
Tushampiga Wigan bao tisa wewe..
 
Nyie kenge msijisahaulishe leo timu lenu la watovu wa nidhamu lipo uwanjani likijiandaa kupokea kipigo toka kwa Soton, beki nguli ya dunia Koloboi Kalabai pamoja na kocha mahiri wa Judo Thomas Tuchelewe zitakuwepo uwanjani baada ya kumalizia adhabu zao za utovu wa nidhamu.
Leo sijui kenge gani nyingine itakula umeme
Screenshot_20220830-101229.jpg
 
Ndg huna hata haya kumlinganisha KDB na Mount, ndio maana nikakuambia with limits. Nilijua tu kwa uchanga wako wa mpira utamlinganisha KDB na Mount
KDB ana miaka 31 na miaka mingi kwenye football, with a lot of experience kwenye hiyo fani
So shame for this comparizon

Mount ndio kwanza anaanza career yake ya mpira
Wataalamu wa mpira wanadai mchezaji anaanza consistency ya mpira wake 23yrs and above. Mount ndio kwanza yuko 23yrs na career yake ndio inaanza msimu huu, best performance aliyotupa under 23 ni bonus tu

Mchezaji anafika peak ya mpira kati ya 25-30, kwa wengine late 30s
Mount bado ana miaka miwili hadi 7 afikie peak yake ndio umlinganishe na KDB ambayer anamalizia peak period yake kweli kweli!

Nasikitika sana ni hiyo analysis yako inakuonyesha kuwa mpira bado sana

Halafu aliyeleta issue ya striker ni wewe ukimtaja Mount anafaa kuwa striker wa midtable team au umesahau tena, nimequote ulivyosema

Wachezaji wa kumlinganisha na Mount ni
  1. Bukayo Saka
  2. Phil Foden
  3. Jadon Sancho
  4. Marcus Rashford
  5. Martin Ødegaard
  6. Gabriel Martinelli
  7. Emile Smith Rowe
Liverpool hawana comparizon wote wazee na top team za EPL ukiondoa Arsenal, Manure na Man city

Kama unamlinganisha KDB na Mount go back to KDB 22yrs
Mason Mount kwa taarifa yako alishavunja rekodi ya Lampard katika huo umri. Ni kwamba sina tu muda ningekutolea nje takwimu zote alizovunja Mount kwa hao unaowaona leo ndio wazuri kuliko Mount
Mkuu una hamisha mada jikute kwenye mada ya uwezo wake Mount katika Chelsea, je ni mchezaji wakutegemea kama mfano nilio toa despite his age? naona una ongea mengi ni irrelevant na mada yangu jitahidi kua focus sio kuongea kwasabb unamegi ya kuongea, jitahidi kua intellectual kwenye uchambuzi wako sio kuhama hama, issue ilikua sio comparison KDB nili mtaja kama mfano sio comparison na Mount...........tatizo lako Lembu unakosa consistency kwenye uchambuzi wako unajikanyaga sana kwasbb una copy mahara(out source) bila kuachambua ulicho paste wewe kama wewe.
 
Mkuu una hamisha mada jikute kwenye mada ya uwezo wake Mount katika Chelsea, je ni mchezaji wakutegemea kama mfano nilio toa despite his age? naona una ongea mengi ni irrelevant na mada yangu jitahidi kua focus sio kuongea kwasabb unamegi ya kuongea, jitahidi kua intellectual kwenye uchambuzi wako sio kuhama hama, issue ilikua sio comparison KDB nili mtaja kama mfano sio comparison na Mount...........tatizo lako Lembu unakosa consistency kwenye uchambuzi wako unajikanyaga sana kwasbb una copy mahara(out source) bila kuachambua ulicho paste wewe kama wewe.
Nimempenda uchambuzi wako na subilia unitajie hizo heshima za manson Mount alizo leta Chelsea anazo sitahili, kumzidi James, covici au Kante, tusifuate ushabiki wa media za uingereza, huyu Mount kwa umri wake anapaswa awe kwenye peak kwa kupanda sio kwa kushuka. Naomba ufanye uchambuzi mdogo huyu best player Mount ukimpeleka Liverpool atamkosesha nani number kwenye 1st eleven yao.
Wewe ulisema hakuna mchezaji wa kuwekwa benchi pale Liver na Mount, mara ukahama Liver ukaenda kwa KDB sasa unaona point zinakuishia unarudi kutaka tujikite kwenye mada ambayo actually haipo

Kama hadi sasa hujaelewa somo, hakuna mwalimu duniani atakufanya uelewe. Tuache tu hii mada tujikite na mambo mengineyo
 
Kama hadi sasa hujaelewa somo, hakuna mwalimu duniani atakufanya uelewe. Tuache tu hii mada tujikite na mambo mengineyo
Uwo ni ujana ndo unao kusumbua.... anyway mkuu tujadili megine haya tu ache najua wewe upendagi defeat, ila sie sote ni blues na tuna kutegemea sana kwa your out sourcing information unatupa update kwa wakati, Thanx tunatumbua mchango wako Lembu.
 
Ndg huna hata haya kumlinganisha KDB na Mount, ndio maana nikakuambia with limits. Nilijua tu kwa uchanga wako wa mpira utamlinganisha KDB na Mount
KDB ana miaka 31 na miaka mingi kwenye football, with a lot of experience kwenye hiyo fani
So shame for this comparizon

Mount ndio kwanza anaanza career yake ya mpira
Wataalamu wa mpira wanadai mchezaji anaanza consistency ya mpira wake 23yrs and above. Mount ndio kwanza yuko 23yrs na career yake ndio inaanza msimu huu, best performance aliyotupa under 23 ni bonus tu

Mchezaji anafika peak ya mpira kati ya 25-30, kwa wengine late 30s
Mount bado ana miaka miwili hadi 7 afikie peak yake ndio umlinganishe na KDB ambayer anamalizia peak period yake kweli kweli!

Nasikitika sana ni hiyo analysis yako inakuonyesha kuwa mpira bado sana

Halafu aliyeleta issue ya striker ni wewe ukimtaja Mount anafaa kuwa striker wa midtable team au umesahau tena, nimequote ulivyosema

Wachezaji wa kumlinganisha na Mount ni
  1. Bukayo Saka
  2. Phil Foden
  3. Jadon Sancho
  4. Marcus Rashford
  5. Martin Ødegaard
  6. Gabriel Martinelli
  7. Emile Smith Rowe
Liverpool hawana comparizon wote wazee na top team za EPL ukiondoa Arsenal, Manure na Man city

Kama unamlinganisha KDB na Mount go back to KDB 22yrs
Mason Mount kwa taarifa yako alishavunja rekodi ya Lampard katika huo umri. Ni kwamba sina tu muda ningekutolea nje takwimu zote alizovunja Mount kwa hao unaowaona leo ndio wazuri kuliko Mount
Katika hii list ya competitors wa Masaon Mount
  1. Bukayo Saka
  2. Phil Foden
  3. Jadon Sancho
  4. Marcus Rashford
  5. Martin Ødegaard
  6. Gabriel Martinelli
  7. Emile Smith Rowe
ni Bukayo Saka na Jadon Sancho tu ndio wanaweza kulingana au kumpita kidogo Mount kwenye general performance tena Sanchos mpaka uchukue takwimu za Bundelsiga, EPL bado hajamfikia Mount
 
Leo Kai akianza badala ya Broja, tuanzishe thread ya Tuchel OUT

Twende na hii line up

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Cucurella --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Koulibaly ----------------- Silva ------------------ Azpilicueta

----------------------- Mendy -----------------------------

AU

Sterling ----------------- Broja --------------- Mount

Chilwell --------- Kovacic ----------Cheek ------- James

Cucurella----------------- Silva ------------------Koulibaly

----------------------- Mendy -----------------------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom