Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ili turudi back 4 tunahitaj 1CB na 1Dm wa nguvu mwenye uwezo kulinda backline yake o kucover nafas ya CB anapoenda shambulia

Jorginho hawezi fanya hii kazi,
Wakat tutakaposajili new Dm ndio tutakaporudi kwenye back 4 ila kwa sasa tukisema turudi tutaendelea kuwa exposed mpk tukome.

Kama tulivyokuwa exposed kwenye game ya arsenal pre season
Huyo hatakuwepo December2022
 
  • TT bado hajakata tamaa kwa Fofana, mazungumzo yanaendelea baada ya mil 70 kukataliwa
  • TT bado anamtaka Auba na mazungumzo yanaendelea, Chelsea hawako tayari kulipa mil 30 wanayotaka Barcelona. Barcelona wanahitaji kumuuza Auba kwa udi na uvumba ili wamsajili Kounde
  • Chelsea hawana mpango wa kumsajili Maguire na Maguire atabaki Man U kupigania nafasi yake iliyoota ndago
  • Chelsea bado wanasukuma kumsajili Antony Gordon
  • Chelsea bado watafanya usajili wa Kiungo kwa sababu ya majeruhi ya Kante na Newcastle bado wanasukuma kumchukua Galagher kwa mkopo
Maoni yangu
Hata tutumie Euro mil 500 na tukatumia kuwasajili mabeki wazuri na washambuliaji wazuri, bila kumsajili DM world class mmoja, matatizo ya Chelsea yataendelea kuwa palepale
DM ana offload mashabulizi kuelekea golini na hivyo kuwafanya mabeki waweze kumudu eneo la goli kwa kuweka ulinzi unaostahili. Ila wakizidiwa, tutawaona akina Kou, Silva, Cucurela na hao wapya kuwa wabovu kumbe sio
Kwa maoni yangu pia, hata Fofana akija, Chalobah asiuzwe wala asitolewe mkopo, abaki kama backup muhimu

Mfano, angalia Liverpool, kiungo imepwaya hadi leo hawajaonja ushindi wowote. Hivi sasa Liverpool wametuma bid ya Mil 71 kwa De Jonga mfupa uliowashinda Chelsea na Man U
 
Ili turudi back 4 tunahitaj 1CB na 1Dm wa nguvu mwenye uwezo kulinda backline yake o kucover nafas ya CB anapoenda shambulia

Jorginho hawezi fanya hii kazi,
Wakat tutakaposajili new Dm ndio tutakaporudi kwenye back 4 ila kwa sasa tukisema turudi tutaendelea kuwa exposed mpk tukome.

Kama tulivyokuwa exposed kwenye game ya arsenal pre season
Gorginho namkubali Sana Ni DM wakisasa , nataman aje arsenal ,acheze juu ya back 4 , yupo vzr kwa pass ,kwa style play yetu anatufaa, hata pep alimtakaga Sana .

Gorginho kwa falsafa za Tuchel labda mnamuona mbaya, au mnataka DM wale wagumu, wanaopiga tackle nyingi., But nowdays mpira umebadilika ,

CF wakusimama atafuniwe Hana msaada

No.10 asiyekaba na kukimbia Sana Hana msaada

Fullback asiyeshambulia Hana msaada

DM asiyejua kupiga pass kwa usahihi na kuvunja line ya mpinzani Hana msaada

GK asiyejua kuanzisha mpira Hana msaada e.g Degea
 
Gorginho namkubali Sana Ni DM wakisasa , nataman aje arsenal ,acheze juu ya back 4 , yupo vzr kwa pass ,kwa style play yetu anatufaa, hata pep alimtakaga Sana .

Gorginho kwa falsafa za Tuchel labda mnamuona mbaya, au mnataka DM wale wagumu, wanaopiga tackle nyingi., But nowdays mpira umebadilika ,

CF wakusimama atafuniwe Hana msaada

No.10 asiyekaba na kukimbia Sana Hana msaada

Fullback asiyeshambulia Hana msaada

DM asiyejua kupiga pass kwa usahihi na kuvunja line ya mpinzani Hana msaada

GK asiyejua kuanzisha mpira Hana msaada e.g Degea
Chukua bure
 
Kocha mzuri ana tweak style yake ya ucheza ili kuhakikisha viwango wa akina Lukaku, Werner, Ziyech, Havertz , Sterling vinaleta manufaa Kwa timu. TT kashindwa hiyo

Kuna uwezekano hata sajili tunazofanya hazitaleta manufaa
 
Kocha mzuri ana tweak style yake ya ucheza ili kuhakikisha viwango wa akina Lukaku, Werner, Ziyech, Havertz , Sterling vinaleta manufaa Kwa timu. TT kashindwa hiyo

Kuna uwezekano hata sajili tunazofanya hazitaleta manufaa

Wacha tuone. Mkuu
 
Kwann Mount na Kai wanachezeshwa kama wingers? Anayejua anifahamishe.


Hawa watu hawastaili kucheza kama Winger kabisa. Kuwachezesha kama mawinger ndiyo inatuletea matokeo negative.

Natamani TT abadiki wachezaji kwa main positision zao
 
Kwann Mount na Kai wanachezeshwa kama wingers? Anayejua anifahamishe.


Hawa watu hawastaili kucheza kama Winger kabisa. Kuwachezesha kama mawinger ndiyo inatuletea matokeo negative.

Natamani TT abadiki wachezaji kwa main positision zao
343 haina attacking midfielders ambazo ndizo zingewafaa. Formation hiyo inawatumia Central midfielder kama DM kwa ajili ya kuzuia na ndio maana baada ya Kova na Kante kukosekana pale pameoza. Jorginho hawezi kukaba na hao wengine including Mount, Gallagher, RLC, Havertz wanaweza kushambulia tu

Styerling (LW) --------- Havertz (F no. 9)--------- Mount (RW)

Cucurella (LWB)-Kovacic (CM) -Kante(CM) -James (RWB)

Koulibally (CB ) ------ Silva(CB) ------- Azpilicueta (CB)

---------------- Mendy (GK)-------------------
 
Waleteee
Screenshot_20220825-155756_Instagram.jpg
 
343 haina attacking midfielders ambazo ndizo zingewafaa. Formation hiyo inawatumia Central midfielder kama DM kwa ajili ya kuzuia na ndio maana baada ya Kova na Kante kukosekana pale pameoza. Jorginho hawezi kukaba na hao wengine including Mount, Gallagher, RLC, Havertz wanaweza kushambulia tu

Styerling (LW) --------- Havertz (F no. 9)--------- Mount (RW)

Cucurella (LWB)-Kovacic (CM) -Kante(CM) -James (RWB)

Koulibally (CB ) ------ Silva(CB) ------- Azpilicueta (CB)

---------------- Mendy (GK)-------------------

Ahsante kwa ufafanuzi mkuu.
 
UEFA draw

GA
Ajax
Liverpool
Napoli
Ranger

GB
FC Porto
Atletico Madrid
Leverkusen
Club Brudge

GC
Bayern Munich
FC Barcelona
Inter Milan
Viktoria Plzeň

GD
Eintracht Frankfurt
Tottenham Hotspurs
Sporting Club
Olympique de Marseille

GE
AC Milan
Chelsea
FC Red Bull Salzburg
GNK Dinamo Zagreb

GF
Real Madrid
RB Leipzig
Shakhtar Donetsk
Celtic

GG
Manchester City
Sevilla
Borussia Dortmund
FC Compenhagen

GH
PSG
Juventus
Benefica
Maccabi Haifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom