Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Celtic wanamtaka Ross Barkley
Sisi tunamtaka Josip Juranovic kwenye swap deal
Imeisha hiyo
Josip Juranovic ni RB atakuwa backup wa James
Ana miaka 26
Urefu ni mita 1.73
Nchi Croatia
 
Matakataka OUT
  1. Romelu Lukaku to Inter ✔️
  2. Timo Werner to Leipzig✔️
  3. Marcos Alonso to Barca❓
  4. Ross Barkley to Celtic ❓
  5. Jorginho anakumbatiwa na TT❗
  6. Christian Pulisic to Newcastle❓
  7. Reuben Loftas Cheek on Swap dela for Fofana❗ kagoma kuondoka Chelsea
  8. Malang Sarr to Monaco ✔️
  9. Hakim Ziyech to Man U or AC Milan❓
  10. Keppa anabaki, dili la Napoli limefeli, Napoli wanamtaka Keyla Navas❓
  11. Michy Batshuayi to Everton❓
  12. Ampadu to Empoli❓
  13. Babarahma on sale❓
  14. Billy Gilmour on loan to Everton❓
  15. Emerson to Lazio❓
  16. Kenedy on sale❓
  17. Xavier Mbuyamba on sale❓
  18. Matt Miazga to FC Cincinnati✔️
✔️Ameondoka
❓ Ataondoka
❗ Haijulikani
 
Kinachomchanganya ni kwamba Jorgninho hana consistency, kuna siku anacheza vizuri ila ukifuatilia ni zile timu mbovu ambazo haziwesi kufanya pressing
Ila Joghihno Bado Ni advantage kwetu bado ana potential maana ligi Ni long run hata kama Hana consistency ya kila game Ila bado Ni muhimu Sana kuwepo ..ameshapruvu yeye Ni regular starter EPL
 
Joghihno ndio Mastermind wa Chelsea. Bila yeye timu inakosa balance kabisa. Ngoja siku akosekane ndio mutajua hamujui.
game ambazo ajacheza hapo na timu ilitoboa mimi hata akiwa man of the match sishituki toka alivyotua nikamuona siku ya kwanza sikuona player mpaka kesho niliona Chelsea iliyokufa kiungo inayotumia nguvu kubwa za full back na winga hakuna player


ALICHOFAULU NI KUONGEA ONGEA UWANJANI LABDA NDIO KUNAWASHAWISHI MAKOCHA NA KUPIGA PASI ZA NYUMA
 
Mkataba ulikuwa ni wa miezi sita tu na Ericksen ndie aliyekataa kurudi Brentford, alitaka kucheza timu kubwa
Unaweza kuwa muda wake unaishia kwa sababu ya umri ila kwa sasa bado yuko kwenye form.

Kumbuka Thomas Frank mdenish mwenzake alimtamani sana arudi lakini Ericksen akakataa. Hapo hapo vilabu vingi vilitaka sahihi yake.

Ericksen is the top attacking midfield, usimdharau aisee
Erikisen ni bonge la mchezaji sema bahati mbaya kaenda kwenye team ambayo ni mbovu imepoteza muelekeo hata nilivyoihangalia ile game yeye pekee ameonesha uhai kwenye midfielder lakini kilichotokea ni yeye kukusa wachezaji wa faraja lake wakuupa sapoti binafsi nilipenda jamaa angetua darajani angetusaidia Sana
 
Mimi sipatagi ata muda wa kucheki game aiise ..naakuwaga bize naa mambishe nna baadae mbususu ..mpira livescoo tu mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Sema ukweli kuwa muda mwingi unakuwaga Kisimiri kupata kitu cha Chuga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Napendelea mfungwe leo
Screenshot_20220520-211737.jpg
 
[emoji3591] TT anapanga mfumo wa 3-4-3 ila kiuhalisia uwanjani tunacheza 3-3-3, kwa sababu KANTE anambeba JOGNHO mgongoni.

--- STERLING -- HARVETZ --- MOUNT -----

CUCU --------------- KANTE ------------- JAMES

--- KOULIBALY --- THIAGO -------- AZIP-------

1. Kante lazima achoke anacover eneo kubwa sana, ndio maana siku hizi hamalizi dakika 90

2. Kante lazima apate majeraha mara kwa mara, anakaba na kushambulia kwa wakati mmoja, misuli yake inawaka moto

3. Kante bado hajachoka kimpira bali JOGNHO anamlemea mgongoni.
One man down. Ni kama tunacheza 9 Jorginho akicheza na Kante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom