Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

USiwap
LIne up ya leo hii hapa, hawatatuweza
View attachment 2323437
SUB
  1. Petr Cech
  2. John Terry
  3. Chilwell
  4. Ashley Cole
  5. Branislav Ivanović
  6. Makelele
  7. Hazard
  8. Willian
  9. Diego Costa

Usiwape stress hawa jamaa. Kwanza walikuwa na stress za kuhofia timu kufutwa. Sasa wamepata mmiliki mpya hawajatulia unataka uwape stress zingine za kutamani enzi za kale?
 
Spurs wanasubiri tu wafanye counter ya nguvu. Naona Chelsea wameamua kujimilikisha huu mpira wa leo Kwa 70%
 
Upande wa Cheek Kuna uchochoro. Kocha afanye mabadiliko kumuweka wing back mkabaji
 
Leo Kante anafurahisha Kwa kurecover na kukaba Yuko kwenye ubora wake
 
Cheek anacheza vizuri ila sio mzuri kwenye kukaba. Azpi aingie Sasa James aende mbele au Azpi acheza kulia
 
Magoli ya kufunga na mabeki au penalti za Jorginho sio za kutamba nazo. Tajiri asijisahaulishe na kuona kwamba tuna wafungaji
 
Kwa kikosi hichi tukipigwa lawama zote kwa TT haiwezekani atujazie matakataka wakati kuna watu wa kucheza.

Jorginho, Havertz na RLC ni matakataka hawakupaswa kuanza kwenye mchezo wa leo.
Broja aaminiwe. Angeanza kama namba 9. Raheem kushoto, Mount kulia. Broja ni striker anayehitaji kuaminiwa tu basi....
 
Wapenzi wa jorginho nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya EPL. Tushukuru spurs hawakuwa clinical kwa zile silly mistakes za jorg kitachotufelisha leo ni kutaka kufunga soft goal. Wapenzi wa cheek ngoja leo tuwapumzishe
 
Nimeangalia tu HT nikaenda kwenye kikao. Huko vipi? Naona live score 2-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom