Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Taarifa zinadai kuwa endapo Chelsea akikamilisha usajili wa Fofana hii itakuwa ni usajili mkubwa katika historia ya Chelsea na EPL kwa msimu mmoja
1660333825898.png
 
Yaani hela yote hiyo kwa takataka kama huyo.

Bodi ya Chelsea katika usajili wa kununua na kuuza ni weupe kichwani.
Safari hii sio bodi
ni tajiri mwenyewe anataka kumridhisha kocha kwa kile anachokipenda
TT kampenda sana Fofana, Todd yeye kazi yake ni kutoa mzigo
 
Kwa saga za msimu huu nimegundua kuwa waandishi wa makala wanachakachua taarifa ili kufikia malengo ya upande ambao huyo mwandishi anaiwakilisha.

Mfano Gerard Romero yuko radhi achakachue taarifa ili aipe faida upande wa Barcelona

Au mwandishi anaichukia timu fulani lazima aikandamize kwenye taarifa yake hata kama ni kuweka uongo

Nimeona hii kuanzia usajili wa Kounde, na Sasa De Jong

Wengine wanasema Man U iko karibu sana kumsajili De Jong na
Mwingine Chelsea iko karibu sana kumsajili De Jong

mwingine kama ni lazima atoke Barca anapenda kwenda Man U kulkiko Chelsea na
mwingine kama ni lazima atoke Barca anapenda kwenda Chelsea kulkiko Man U
 
Kwa saga za msimu huu nimegundua kuwa waandishi wa makala wanachakachua taarifa ili kufikia malengo ya upande ambao huyo mwandishi anaiwakilisha.

Mfano Gerard Romero yuko radhi achakachue taarifa ili aipe faida upande wa Barcelona

Au mwandishi anaichukia timu fulani lazima aikandamize kwenye taarifa yake hata kama ni kuweka uongo

Nim eona hii kuan zia usajili wa Kounde, na Sasa De Jong

Wengine wanasema Man U iko karibu sana kumsajili De Jong na
Mwingine Chelsea iko karibu sana kumsajili De Jong

mwingine kama ni lazima atoke Barca anapenda kwenda Man U kulkiko Chelsea na
mwingine kama ni lazima atoke Barca anapenda kwenda Chelsea kulkiko Man U
Habari zinasema Kounde hajaweza kusajiliwa kama mchezaji mpya wa Barca.
Screenshot_20220813-121441_OneFootball.jpg
 
Mmiliki wa Leeds United ailipua Barcelona kwa kufanya manunuzi ya wachezaji kimaskini na jinsi media ilivypotosha zoezi
 
Barca bado wanaweza kuendelea kuuza umiliki wake flani flani asilimia kadhaa wakapata pesa.

Juzi waliuza 25% umiliki wa nini sijui wakapata €100M.
Wanauza haki ya mapato ya Laliga TV asilimia 25% in total kwa miaka 25. hiyo ni Lever ya nne, wakienda sasa itakuwa ya tano, dangerous game wakifilisika wanafilisika kweli kweli
kwa nini
  1. Wachezaji wanaweza kuflop
  2. Opponent ambaye ni Real Madrid anaweza akajiimarisha akashinda makombe kila mwaka
  3. Opponents wa nje wanaweza wakajiimarisha na Barca wasiweze kushinda makombe makubwa kama UCL na Europa
  4. Na yale maeneo yote yanayoimarisha TV rights zikafeli na hivyo mauzo ya TV yakaporomoka
  5. Misimu itakayofuata wachezaji wazuri wataanza kuishtukia Barca kama ambavyo wamenza kuishtukia Man U
  6. Wao wenyewe watakosa nguvu ya pesa ya kusajili na hivyo kuishia kuwa mid table team isiyo na mvuto
 
Lampard ashakuwa Kama dada poa, kila mtu anampelekea hewa ya moto kwa mudawe!
 
Chelsea kesho akifungwa, Todd Boehly atajua kuwa ni serious tunamhitaji goal scorer wa uhakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom