OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,312
Joghihno Ni ball maker japo anapooza mpira Ila anajua kuweka prehmsha ya timu kuwa sawa. ..Leo akipiga pale Kati naimani timu itasimama furesh.Una akili sana ni wachache wanao jua hilo kwamba johg ni ball maker and pace maker wa team yetu, wengi wanataka kila mchezaji awe mfungaji loh!!!!!!
Enewei ngoja nikapige Cha Arusha kwanza kabla ya game leo Nina Moto balaa....😀😀🤣🤣