Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Kwani Maguire vipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie chel she huyu ndo fofana mnaetaka kumchukua kwa M80+?....
Kwani Maguire vipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie chel she huyu ndo fofana mnaetaka kumchukua kwa M80+?....
Umetoa maoni yako, hisia zako, chuki yako au uchambuziWale mlokuwa munamtaka Erksen muneona utumbo alocheza leo?
Akivunja daraja atatokaje yeye? Daraja tutasubiri waingie tuvunje wenyewe tuwaulie humo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo conte anakuja kuvunja Hilo daraja ...!
Timu yako ni ya 20, unadhani hatukujui? [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Maguire jana alikuwa mwekundu kama nguruwe mwenye stress [emoji851]Nyie cheltako
LIne up ya leo hii hapa, hawatatuwezaGoal scorer wa nini wakati kiungo yetu haina ubunifu? Tusajili kiungo kwanza. Jognho anatuchora
sijawahi na sitiwahi kumkubali jognho hakuna player paleBinafsi namteteaga jorginho niwe mkweli Jana kacheza ovyo Sana yeye alikuwa ndio source ya sisi kuzidiwa pale Kati kipindi Cha pili alikuwa amechoka na sijui kwanini kocha akumfanyia sub mapema, alikuwa anapiga back na side pass nyingi kuliko kupiga pass za mbele. But good news sajiri mpya zote zimelipa nimpe pongezi Sana Man city yeye ndio alitufanya tuende kwa Cucurella baada ya kutukatalia Ake, koulibaly yupo vema, sterling good.
NB: Jana walioperform ni wanne tu koulibaly, Thiago silva, Cocurella na Sterling na nimependa sterling kwasababu yeye pekee ndio alionesha fight spirit pale mbele alikuwa anapress, anasumbua mabeki kwa kutake risk sometime bila ya msaada wowote wa mount na kai kwa maana nyingine alikuwa kama anacheza pekee yake
ni taka taka sio mfumo kwanza ligi imemkataaHahaha[emoji1787] ni uchezaji wake ni takataka au mfumo ndio kikwazo kwake?
Eriksen Hamna mtu mule wakati wake umeshapita. Kwanini bentrford walimwachia aende?Umetoa maoni yako, hisia zako, chuki yako au uchambuzi
Hata Messi, Hata Ronaldo, Hata Maradona, Hata Pele, walifanya silly mistakes kwa nyakati tofauti na bado walibaki kuwa GOAT
Eriksen anaweza asiwafikie hao lakini kosa moja haliwezi kumfanya asiwe mchezaji mzuri, alidhihirisha hilo akiwa Spurs, Inter na baadaye Brentford. Ataendelea kudhihirisha hilo Manure hata kama kalikuta litimu lilishaoza kama mbolea. NI umri tu na majeruhi makubwa ndizo zitamfanya Eriksen aache kuwa mchezaji mzuri
Uchambuzi unatakiwa kufanywa kwa sample rate kubwa na representative ndipo ufanye hukumu. Sasa wewe mechi moja tu umeshahitimisha majibu kuonyesha jinsi ambavyo humpendi Ericksen!
Joghihno ndio Mastermind wa Chelsea. Bila yeye timu inakosa balance kabisa. Ngoja siku akosekane ndio mutajua hamujui.Jognho:-
1. Mvivu
2. Hawezi kukaba
3. Hawezi kupora mipira
4. Anakaba kwa rafu
5. Anakaba kwa macho
6. Hana kasi
7. Hawezi kupiga pass za mbele (penetration, ndefu).
8. Hawezi kuassist
9. HAWEZI
10. HAWEZI
11. HAWEZI
12. HAWEZI
Joghihno ndio Mastermind wa Chelsea. Bila yeye timu inakosa balance kabisa. Ngoja siku akosekane ndio mutajua hamujui.
Mkataba ulikuwa ni wa miezi sita tu na Ericksen ndie aliyekataa kurudi Brentford, alitaka kucheza timu kubwaEriksen Hamna mtu mule wakati wake umeshapita. Kwanini bentrford walimwachia aende?
Siku Chelsea ikicheza na vitimu visivyo fanya high pressing ndio Jorginho anakuwa supper starJoghihno ndio Mastermind wa Chelsea. Bila yeye timu inakosa balance kabisa. Ngoja siku akosekane ndio mutajua hamujui.