Chelsea imewapokonya mashetani wekundu hawa wachezaji
- Arjen Robben 2004 - Roben akitokea PSV wakati anakaribia kuedna Old TRansford alisema ndie sehemu ya ndoto yake kwenda kucheza kandanda ila mwisho wa siku kufumba na kufumbua yuko darajani kwa aibu ya Alex Furgie
- Obi mickel 2006 naye alikuwa amshekaribia kuvaa jezi nyekundu ila baadaye MOU alimhsawishi hadi akashinda
- Eden Hazard -2012 Hazard yeye aligeuka dakika za mwisho kwa kigezo cha kuja kucheza na mabingwa wa ulaya wakati huo
- Pedro -Pedro baada ya kustaafu kwa Sir Alex pia aliamua kuja Chelsea pamoja na Man U kumtaka
- Kante - The same story
- Sasa linakuja suala la De Jong ameshadai kuwa kama ni lazima atoke Barca basi angependa kuja darajani pamoja na kuwa Man U walishamalizana na Barca kuhus ada ya kumsajili. Watu wake wa akribu wanadai Chelsea inampa UCL wakati Man U hawana, pia London ni pazuri kuliko Manchester city
Regarding De Jong, meanwhile, Gabriel Agbonlahor recently stated the 25-year-old should move to Chelsea - instead of United.
He said on talkSPORT: “I’ve been talking about Manchester United not being as much of a pull for a while now and their fans don’t like it. They can’t handle the straight facts.
“De Jong, if he’s leaving Barcelona, he does not want to go to Manchester United. There are quotes that have come out that he would rather Bayern Munich, he would rather Chelsea.
“Because if I’m choosing a team in the Premier League and I’ve got the chance of Chelsea or Manchester United, I’m choosing Chelsea.