Hahaa.. yan we jamaa una vituko kwamba Havertz ni takataka?
nyie cheltako karibuni mpate furaha sisi furaha yetu tunagawa kwa watu wote hebu mkuje.
Kabisa , Joginho anazingua Sana , Chelsea hata msimu uliopita hii ilikuwa pia sababu kubwa ya kushindwa kukontend title ,timu inahitaji acceleration kwenda kwenye 18 yard ya timu pinzani Kwa nguvu na kasi kubwa sasa Kwa huyu Joginho ni opposite kabisaKazi ya ukocha ni ngumu CHIEF.
Leipzig kuna watu kama nkunku na mwenzie dani olmo wazuri sanaLiverpool wana safu ya ushambuliaji nzuri sana
Tulipokuwa tunakazana kuajiri mabeki, wakatucheka eti tunanunua mabasi ya kuja kupaki
Leo hii pamoja na safu nzuri ya ushambuliaji wamenususrika kufungwa, nimefurahi sana
Udhaifu wa Klopp na PEP upo hapo kwenye defense. tukiweza kujengea hapo usishangae msimu huu wakapoteza points nyingi kwa sababu ya defense
Na kama anavyosema Jamie Redknapp tukimpata no. 9 calibre ya akina Diego Costa au Drogba, tumemaliza biashara asubuhi na ndio maana Chelsea wasiache kumleta hata Auba
"Jamie Redknapp insists the Blues 'need a No 9 like Diego Costa or Didier Drogba"
Timo werner mzuri kuliko kaiNaona matakataka yananza kutoka, bado Havertz
Formation na uchezaj wa ndani huwa tofauti,We jamaa kama ulikuwa kichwani kwangu. Huwezi kuamini hapa nilikuwa nasoma makala ya KAI HARVETZ.
Kwamba KAI HARVETZ anakuwa best akicheza Position ipi haswa (Wing, AM, CF).
Nimejaribu kungalia kule Liverkusen na Timu ya taifa alikuwa/anacheza Position gani/ role gani. View attachment 2316948View attachment 2316949View attachment 2316951View attachment 2316952
Sawa tutaendelea kucheza back 3 ili Kante aendelee kumbeba Jorginho mgongoni...Ukishaweka backline ya 4 inakuwa ni shida Tena sana na TT hiyo anajua na sidhani kama ataijaribu hiyo Tena.
Hapa tuwape leicesterDogo anataka muda wa kutosha uwanjani. View attachment 2316867
Chelsea inayo tabia mbaya sana ya kuwachezesha wachezaji kinyume na maumbile (out of position). Wanawapa watu kazi ambazo siyo zao. Ndio maana wanaflop kwasababu adaptation takes time. Time lag inakuwa kubwa halafu wanalaumiwa wachezaji kumbe makocha wanasababisha.We jamaa kama ulikuwa kichwani kwangu. Huwezi kuamini hapa nilikuwa nasoma makala ya KAI HARVETZ.
Kwamba KAI HARVETZ anakuwa best akicheza Position ipi haswa (Wing, AM, CF).
Nimejaribu kungalia kule Liverkusen na Timu ya taifa alikuwa/anacheza Position gani/ role gani. View attachment 2316948View attachment 2316949View attachment 2316951View attachment 2316952
Eti kinyume na maumbile😅😅😅😅Chelsea inayo tabia mbaya sana ya kuwachezesha wachezaji kinyume na maumbile (out of position). Wanawapa watu kazi ambazo siyo zao. Ndio maana wanaflop kwasababu adaptation takes time. Time lag inakuwa kubwa halafu wanalaumiwa wachezaji kumbe makocha wanasababisha.
Hakuna Cha uzuri. Wamepewa playing time ya kutosha ndani ya misimu miwili wameshindwa kuleta matokeo, watupishe tu. Furaha ya mashabiki kwanza. Tunahitaji kushinda tunahitaji makombeTimo werner mzuri kuliko kai
Timu imesema inamtoa Kwa mkopo tu ili akapate Muda zaidiHapa tuwape leicester
50 + CHO(buy back) tumchukue fofana
We unaweza ukawa kichwani hazijatimia.nyie cheltako karibuni mpate furaha sisi furaha yetu tunagawa kwa watu wote hebu mkuje.
Mil 150 nani mjinga wa kuingia kingiHivi Marina ndio alikuwa anamtaka DECLAN RICE?
Simsikii tena kwenye tetesi zetu za usajili
Joginho na havertz wanapaswa nyofolewa mule ndani.Kabisa , Joginho anazingua Sana , Chelsea hata msimu uliopita hii ilikuwa pia sababu kubwa ya kushindwa kukontend title ,timu inahitaji acceleration kwenda kwenye 18 yard ya timu pinzani Kwa nguvu na kasi kubwa sasa Kwa huyu Joginho ni opposite kabisa
Kuna wachezaji hawezi kuja kuuzwa hata umtukane vipi lakini pamoja na ivyo bado sijaona ubovu wa Havertz mpaka umuite takataka. Kwa sababu ya mechi ya jana au kuna sababu nyingine?Naam bila shaka hujakosea kusoma. Havertz ni takataka tu, uchezaji wake ni wakijinga sana.