Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Cucu mtibuaji mbaya sana. Lazima ampotezee mshambuliaji malengo.Cucu ni hatari kwenye kushambulia kuliko kukaba
Cucu mtibuaji mbaya sana. Lazima ampotezee mshambuliaji malengo.Cucu ni hatari kwenye kushambulia kuliko kukaba
Sio kwamba tunashindwa chakufanya tunakosa midfielder mbunifu wa kupiga penetration passIla TT ana kazi ya kufanya kule mbele.
Tukivuka eneo la kati kati kwenda mbele muunganiko unakosekana.
Inakuwa kama tunabahatisha, kusitasita na kujichanganya.
Sterling anafanya kazi kubwa ila hana msaada wa caliber yake.
Nahis kila kocha anawachezaj wake anbao anawataka na hawatochukua mda kuadapt mfumo wake,Tarkowski ni beki mzuri, solid, physical na anaweza kuzia mipira ya aina nyingi, hewani, chini, kushmbulia, bahati mbaya Chelsea huwa tunaangaliaga tu wale wanaouzwa gali
Hii kitu ipo wazi kabisa hata kwa sie tusiokuwa na license ya ukocha yaani midfielder wakuanzisha mashambulizi hayupo hata mbele akija Benzema au Lewandowski watakuwa wa kawaida mno kibaya zaidi msaada wa Jorginho ni kwenye penalty tu ila sio mchezaji wa kuchallenge ubingwa kocha asipolitafutia ufumbuzi hili kila mechi tutaiona ngumu na kuwaongezea pressure mabeki tu unnecessarySio kwamba tunashindwa chakufanya tunakosa midfielder mbunifu wa kupiga penetration pass
Kwa Sasa ni busara kumreplace ili apate Muda wa kurudi kwenye fitness. Jana alikuwa sloppy hata kama alitupa penaltiKumreplace kivipi?
Hao wanatakiwa wacheze pamoja.
Chil --- Kante ---- Jognho ----- James
------- Cucu --- koulibaly ---- Azip-----
Chilwell arudi kwenye ufit wake, huo upande wa kushoto uwe moto
Pia tunatakiwa tumsajili CB mwingine, upande wa kulia uwe moto pia.
Chilwell na James wanatakiwa wawe huru kuserereka mbele kushambulia.
Kwani tetesi za mpira Huwa zipo ambazo sio za udaku??Mkuu huwa nakuamini sana ila source ya taarifa zako kuhusu De Jong ni za udaku
Kama unafuatilia taarifa zangu usingetaja The Sun tu. Taarifa nafanya ulinganifu ndio natoa. Wewe mwenye real news weka hapa na source yakeKuna sehemu umesema kuwa usajili wa Alonso kwenda Barca unahusiana na usajili wa De Jong wakati Tuchel mwenyewe kasema Alonso ndiye aliyeomba kuondoka
Kwa hiyo fahamu hata kama mtafanikiwa kumpata De Jong sio Swap deal na Barca
Sources zako the sun hao ni kama ijumaa wikienda au risasi udaku mwingi
Hakuna tier 1 source yoyote iliyozungumza hiyo habari ya De Jong kuitaka Chelsea
Jana Azpi kacheza vizuri sana. Karudi kwenye Ile legendary formKumreplace kivipi?
Hao wanatakiwa wacheze pamoja.
Chil --- Kante ---- Jognho ----- James
------- Cucu --- koulibaly ---- Azip-----
Chilwell arudi kwenye ufit wake, huo upande wa kushoto uwe moto
Pia tunatakiwa tumsajili CB mwingine, upande wa kulia uwe moto pia.
Chilwell na James wanatakiwa wawe huru kuserereka mbele kushambulia.
Binafsi namteteaga jorginho niwe mkweli Jana kacheza ovyo Sana yeye alikuwa ndio source ya sisi kuzidiwa pale Kati kipindi Cha pili alikuwa amechoka na sijui kwanini kocha akumfanyia sub mapema, alikuwa anapiga back na side pass nyingi kuliko kupiga pass za mbele. But good news sajiri mpya zote zimelipa nimpe pongezi Sana Man city yeye ndio alitufanya tuende kwa Cucurella baada ya kutukatalia Ake, koulibaly yupo vema, sterling good.Chief ukimkosoa JOGNHO hapa utaambiwa kazi yake ni anatuliza timu, kupiga pass za nyuma, kushoto na kulia.
Jognho ana madhaifu makubwa sana kwenye kukaba, kasi na kupiga pass za kwenda mbele.
Unavyomuona Kante anahema kwa nguvu na kuchoka + injuries za mara kwa mara, ujue anafanya kazi 3 kwa Pamoja (Kukaba, kushambulia na kumbeba Jognho mgongoni).
Mkuu usidanganywe na rate anazotoa mtu yeye ni binadamu kama wewe na anamapenzi yake binafsi hivi nikuulize kai na Mount wamefanya Nini mpaka wapewe rate ya 6? Unataka kuniambia Mount na kai wameperform vizuri kuliko sterling?
Hahaa.. yan we jamaa una vituko kwamba Havertz ni takataka?Ni mchezo wa kwanza kwa namna tulivyo cheza sio mbaya, Everton wamekamia tu sababu ni game za mwanzo ngoja game zifike 5 huko baiskeli za miti zitajulikana tu.
Huyu Cucurella ni ana balaa sana, Broja apewe muda wa kutosha yuko njema, imeniuma sana Gallagher kucheza dakika 2 tu.
Sema Chelsea tuna matakataka mengi sana, mtu kama Havertz ni takataka sana
Swali zuri, akikujibu unishtue. sterling kajitahid sana, jog ni kiazi mbatata anachelewa kutoa pasi au kwnye kutoa pasi ya mbele yeye anatoa back pass, Kuna saa mpk sterling akamaindi, ameshazoea KDB anakua ameshamchungulia akachomoka Jog akaishia kutoa back pass.Mkuu usidanganywe na rate anazotoa mtu yeye ni binadamu kama wewe na anamapenzi yake binafsi hivi nikuulize kai na Mount wamefanya Nini mpaka wapewe rate ya 6? Unataka kuniambia Mount na kai wameperform vizuri kuliko sterling?
Player rating Huwa ni maoni ya mwandishi wa hiyo MalalaMkuu usidanganywe na rate anazotoa mtu yeye ni binadamu kama wewe na anamapenzi yake binafsi hivi nikuulize kai na Mount wamefanya Nini mpaka wapewe rate ya 6? Unataka kuniambia Mount na kai wameperform vizuri kuliko sterling?
Acha shobo kijana umesahau na nyie mlivyopigwa kwa Pepe kale[emoji1630] THIS DAY IN HISTORY
[emoji2788]One year ago, Chelsea paid inter Milan €100million for lukaku.
Now inter Milan have both Lukaku as their player and the €100m in their account.
Vawulence at work [emoji1][emoji1]