The only positive niliona since debut yake ya kwanza kule marekani...Ila Wanangu kama n Beki mwenye Nidhamu na kujua kazi yake basi kwa hakika Kouloby tumepata na Tutaringa naye sanaaa
Nilikuwa naogopa sana. Japo bado hata leo nimeona makosa yake mengi tu ndani ya uwanjaJorginho amebadili style ya kupiga penalti
Kapiga vizuri sana
Aiseee wanangu sasa tumuombee tu asipate majeruhi maana jamaa ndo SIMBA wa Blue kiuhalisia..The only positive niliona since debut yake ya kwanza kule marekani...
Jamaa anajua sana. World Class.
Huyu jamaa ni beki tuache utani alafu nimeona anaanzisha mashambulizi kuliko hata jorg ila huko mbele bado kocha hajafanya maboresho ya kiushindaniIla Wanangu kama n Beki mwenye Nidhamu na kujua kazi yake basi kwa hakika Kouloby tumepata na Tutaringa naye sanaaa
Wazee wa kulaumu. Angalia timu inaperform vipi. Kutofunga haimanishi timu haiko vizuri mkuuMsimu huu mgumu sana kwa chelsea, sijui kama kuna lolote la kutegemea
Wazee wa kulaumu. Angalia timu inaperform vipi. Kutofunga haimanishi timu haiko vizuri mkuu
Kashapata majeruhi kaingia Cucurella badala yakeAiseee wanangu sasa tumuombee tu asipate majeruhi maana jamaa ndo SIMBA wa Blue kiuhalisia..
Sterling naye amefit vzr sana. Japo apunguze uchoyo panapobidi. Na awe mchoyo panapofaa
Yaaan Cucurella kafika tu kaingia moja kwa moja hata kupumzikKashapata majeruhi kaingia Cucurella badala yake
Na anakiwasha naye siyo poa...Yaaan Cucurella kafika tu kaingia moja kwa moja hata kupumzik
Chilwell bado anatakiwa aingie sub. Tatizo naona muda mrefu cucu akicheza CB unless kama tutamleta FofanaCucurella naona akimreplace chillwel kiulaini kabisa kwa dakika alizocheza