Msimu ujayo CONTE lazima abebe kombe either FA au CARABAO.
Asume tunampata Kane kama Christian Falk anavyodai
4-2-3-1
-----------------------KANE --------------------
STERLING -------- MOUNT-------------------- HAVERTZ
-------------KANTE ---------- KOVACIC --------------
CHIL ---CUCURELA ----- KOULIB ------JAMES
MENDY
AU
3-4-2-1
-----------------------KANE --------------------
STERLING ------------------------------- MOUNT
CHILWELL--------KANTE ---------- KOVACIC --------JAMES
CUCURELA -------SILVA--------- KOULIB
MENDY
Dogo ana jina la kabila la Igbo Kule Nigeria , no wonder ni Mnigeria halisi , Ila Africa ni ovyo sana tunaloose talents kubwa kama hizi ,huyu dogo iliidi avae Uzi wa super eagles , tunafeli SanaGerald kasema sababu kubwa ni kwamba dogo kakataa kusaini mkataba na alibakiwa na msimu mmoja tu kuwa free agent. Sababu ya kukataa kusaini mkataba ni kwamba alitaka kuhamia timu itakayompa muda zaidi wa kucheza
Dogo alivuta macho ya admirers wengi pale alipoiwezesha Uingereza under 19 kubeba kombe la Klabu Bingwa Ulaya yeye akiwa nahodha.
TutamfIra kabisa sasa hivi ,Kwanza tuna hasira naye Ile mbayaKile kipigi cha Barca angalau sasa tunalipiza kisasi
Akija City kwa cucurella unapiga ngumi ya pua
Akija Man u kwa De Jong unapiga ngumi jicho la kulia
Hat PSG akipita njia yetu tunakung'uta ile mbaya
Liverpool akizubaa naye tunapiga ya kichwa hadi wakome kabisa
Halafu mwisho Barcelona tunamsubiri UEFA, tukipangwa Group moja tutamwonyesha njia ya kurudi alikotoka
Hii taarifa imenifurahisha ile mbaya ni muda wa kuondoa wachezaji magarasa ndani ya misimu miwili TT atakuwa na team yenye sura yake
Hata mimi nimewambia Watu humu hata christensen mwenyewe anamzidi alafu eti utoe pounds 80mFofana ni takataka tu
Waliomkuza ni hao hao wazunguDogo ana jina la kabila la Igbo Kule Nigeria , no wonder ni Mnigeria halisi , Ila Africa ni ovyo sana tunaloose talents kubwa kama hizi ,huyu dogo iliidi avae Uzi wa super eagles , tunafeli Sana
Sio kweli... Technical director wa barcelona.. hachangi karata zake vzr.. anasajili wachezaji wengi bora mpango...Ila pia charisma ya Xavi inawavutia wachezaji wengi kuipenda Barcelona kwa sasa. Naona Xavi ndie kocha atakayeipa mafanikio Barca kama ile ya PEP
Depay balikuwa tu aondolewe amekuwa flopSio kweli... Technical director wa barcelona.. hachangi karata zake vzr.. anasajili wachezaji wengi bora mpango...
Ona sasa depay wanamfanya free agent.. kwa sbbu timu imezidiwa na wacheAji namishahara yao.. wanamshawish hvyo hvyo de jong .
Believe me.. mwsho wa msimu.. wachezaji wengi watashawishiwa kuondoka pale barcelon.. na hii itakuwa ngumu zaid kwa sabbu wachezaji wengi ni ngumu kununulika ...
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Kweli... Wachezaji wanapenda timu flan sabbu ya kocha na historia...Depay balikuwa tu aondolewe amekuwa flop
Issue ni hii hata kama wamesajili ovyo ila bado sababu ya wachezaji kuipenda Barca au timu nyingine yeyote huwa n Koacha ndio inafuata factor zingine
Uko sawa,Kweli... Wachezaji wanapenda timu flan sabbu ya kocha na historia...
Lakin kama timu lazima iwe na trchnical director mzuri.. sio kila mchezaji anaoipenda timu lazima aje..
Ona sasa man u... Inavyoteseka ni kwa sbbu ya kutokuwa kuwa scout na technical director mzuri.... Hii inapelekea kununua wachezaji kwa kwa ela kubwa na kushindwa kuuzawqchezaji
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Usajili wa Carney Chukwuemeka. na Cesare Casadei endapo utakamilika ni mpango dhabiti wa kurudisha heshima kwenye midfield kwa huko mbeleniChelsea target £20m Cesare Casadei transfer after extensive scouting in long-term midfield succession plan
Na amebakiza miezi 12 kwenye mkataba wake. Hata asiposajiliwa sasa hivi, January hachomoki.Tetesi: Tuchel amehusishwa kumtaka Wilfried Zaha
De Jog Barca wameshusha bei yake ili tu Chelsea wamchukue. Ile waliyokubaliana na ManU ya €85m wameshusha hadi €80mKile kipigi cha Barca angalau sasa tunalipiza kisasi
Akija City kwa cucurella unapiga ngumi ya pua
Akija Man u kwa De Jong unapiga ngumi jicho la kulia
Hat PSG akipita njia yetu tunakung'uta ile mbaya
Liverpool akizubaa naye tunapiga ya kichwa hadi wakome kabisa
Halafu mwisho Barcelona tunamsubiri UEFA, tukipangwa Group moja tutamwonyesha njia ya kurudi alikotoka
Haha hapana kwa kweli ni mchezaji wa team ndogo Bora tumchukue depay badala ya huyo au unasemaje lembu ?Na amebakiza miezi 12 kwenye mkataba wake. Hata asiposajiliwa sasa hivi, January hachomoki.