Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna mwana mmoja humu huwa anaamini anajua kila kitu. Anaitwa Lembu.
Alikua anapiga mayowe mengi sana kwamba Gallagher is better than Mount. Sijui anaangaliaga mpira akiwa amekunywa balimi
Kwani wewe unavyocoment unajua hujui, sikuwahi kusema Conor Galagher ni beter than Mount ila niliweka equivalent. So Nyani haoni kwake nyuma anaona ya wenzake tu. So sad Mwamaleki. Hapa tunachambua soka sio lazima ukubaliane na maoni ya mwenzako
 
Kwamba leo hii makocha ndio wenye shida??? Tuache utani mkuu,

Sarri, Lampard hawa wote wamestruggle kabla ya tuchel na kikosi hicho hicho.

Kikosi kimesajili na makocha wa 3 hata wewe leo hii ukienda kukifundisha utaperform few games then cycle inajirudia.

Sisi tumekuwa wakinani ambao hatutak mabadililo kuwa kikosi chetu kinashida na si kocha.

Angalia Psg n Dortmund wakat wa tuchel jins walivyokuwa wanacheza halaf angalia na sisi
Sababu ni hiyo hiyo
Tuamini kuwa tutawapata wachezaji wanaoendana na TT kule mbele, kwa sababu nyuma kaweza.
 
Nadhani pia man management yake inayo walakini. Japo hata wachezaji manunda wapo. Nimekuwa na mashaka sana na attitude ya baadhi ya wachezaji kama Ziyech, Odoi na hata Lukaku kabla hajaondoka.
Odoi hana shida, uwezo wake umefikia hapo bado anakua kisoka. Tatizo kubwa liko kwa Ziyech, amekuja Chelsea akitegemea atapewa nafasi kama kule Ajax. Alipokuta sivyo akaamua kujenga hiyo attitude mbovu, hivi karibuni akaongezeka na Werner, Pulisic naye ila kwa mahojiano na media hivi karibuni naona ameamua kupambania nafasi badala ya kulalama
All in all tusiwahukumu sana hasa hao ambao ni below 23, hao bado wanahitaji sana guidence ya kocha, technical staff na seniour players
 
Kwenye 343 formation, kwenye final 3rd: kushoto Raheem, kati Harvetz na kulia Traore, Chelsea itatisha . Ngoja tuone kama atanunuliwa.
Screenshot_20220801-121800_OneFootball.jpg
 
Kwani wewe unavyocoment unajua hujui, sikuwahi kusema Conor Galagher ni beter than Mount ila niliweka equivalent. So Nyani haoni kwake nyuma anaona ya wenzake tu. So sad Mwamaleki. Hapa tunachambua soka sio lazima ukubaliane na maoni ya mwenzako
nyie kenge soka lilishawashinda tayari, enendeni mkaungane na OllaChuga Oc mkachambue maharage.
 
Naona tuko kwenye mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella from Brighton,
Deal bado halijakubaliwa
Cucurella anaweza cheza kama Lb/Lwb/Lcb,

Hapa nahisi
Alonso n Emerson wanaondoka wote kwa pamoja

Huku kukiwa na ofa kutoka Fulham kwa ajili ya Malang Sarr
 
Naona tuko kwenye mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella from Brighton,
Deal bado halijakubaliwa
Cucurella anaweza cheza kama Lb/Lwb/Lcb,

Hapa nahisi
Alonso n Emerson wanaondoka wote kwa pamoja

Huku kukiwa na ofa kutoka Fulham kwa ajili ya Malang Sarr
Brighton walivyo wajanja wanamtaka Colwil kama.part ya deal. Soon tutabadilishana dhahabu ya gram 500 kwa dhahabu ya gram 500 plus cash hapo ndio tutajua mmarekani hana plan sokoni ni kurukia rukia mambo
 
Naona tuko kwenye mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella from Brighton,
Deal bado halijakubaliwa
Cucurella anaweza cheza kama Lb/Lwb/Lcb,

Hapa nahisi
Alonso n Emerson wanaondoka wote kwa pamoja

Huku kukiwa na ofa kutoka Fulham kwa ajili ya Malang Sarr
Alonso abakie na tumsajili huyo beki wa Brighton kwasababu Benchilwell anaonekana fitness yake haipo vizuri mpaka aje aclick itachukua muda
 
Naona tuko kwenye mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella from Brighton,
Deal bado halijakubaliwa
Cucurella anaweza cheza kama Lb/Lwb/Lcb,

Hapa nahisi
Alonso n Emerson wanaondoka wote kwa pamoja

Huku kukiwa na ofa kutoka Fulham kwa ajili ya Malang Sarr
Huyu jamaa ana mapenzi na City, City wakiamua kutufanya kama Barca tutaaibika tena
 
Alonso abakie na tumsajili huyo beki wa Brighton kwasababu Benchilwell anaonekana fitness yake haipo vizuri mpaka aje aclick itachukua muda
Ila huyu hatakiwi Chelsea, sehemu yenye shida ni RB
Kama Azpilicueta yupo tuachane na RB au LB twende kwenye CB, DM na striker au winger mmoja
 
Chelsea have reportedly blocked a summer move for defender Malang Sarr to Fulham ahead of the upcoming season.
 
Chelsea had a direct meeting with RB Leipzig on Sunday to discuss swap deal ideas. Boehly’s ready to let Timo Werner leave on loan.

Chelsea asked again for Josko Gvardiol, top of the list alongside Wes Fofana - Leipzig insist they want to keep him.

- @FabrizioRomano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom