lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,487
Ndg timu ambayo wachezaji hawatoki wala hawaingia, kuna siku watakuwa wanacheza business as usual. Kupangua timu na kuingiza sura mpya ni one of the best strategy ya kucheza vizuri hata kama wanaoondolewa ni wazuri.Ukweli ni kwamba tupo kwenye kundi la kushindania ubingwa la EPL... Timu yoyote ukipata majeruhi Kama tulivyopata msimu uliopita lazima watumbe tu.
Hivi pale Madrid Kuna wachezaji gani wa maana ukilinganisha na Chelsea? Still walichukua makombe...ni muda wa kocha kutumia rasilimali zilizopo na kushinda makombe, tumeingia fainali mbili msimu uliopita na tukatolewa kwenye penalty na tukafika hatua nzuri zaidi UCL msimu uliopita.
Tuseme ukweli, Chelsea bado ni timu yenye kikosi kizuri miongoni kwa timu barani ulaya, hizo timu za Liverpool na Man City wakipata majeruhi kwa key players wanne Kama tulivyopata msimu uliopita mtashangaa sana.
Tunaposema tufanye usajili, je wachezaji wa maana wanaowazidi tulionao wako wapi sokoni? au tunawaleta wachezaji ili wazoee ligi kwa misimu miwili then tunaowatoa nao wanakwenda kufanya vizuri huko waendako?
Tukubali tu, kama Chelsea wanataka kufanya vizuri inabidi kumpatia Kocha muda wa kutosha lakini siyo kununua tu wachezaji kisa timu zingine wananunua.
Chelsea ndiyo timu Ulaya wanaopeleka wachezaji wengi kwa mkopo, je tumeshajiuliza ni kwanini?
Factor nyingi zinasababisha mchezaji aondolewe apelekwe mkopo au auzwe na baadhi ya hizo factors hizi hapa
- Mchezaji anataka kuondoka
- Kukaa muda mrefu kwenye timu na hana jipya la kuipa timu
- Kuflop labda haendaniu na mfumo wa kocha au haendani na ligi au haja fit in kwa wenzake yaani hana chemistry nzuri
- Ana tabia ambazo sasa haziendaniu na kinachotakiwa kwenye dressing room au uwanjani
- Timu inafanya mchakato wa kubana matumizi kwa sababu za hali mbaya ya kiuchumi, kuwatoa wachezaji wenye mishahara mikubwa ili kuingiza wapya wazuri watakaoanza na mishahara midogo (Mfano mesi katoka Barca kwa sababu ya mshahara mkubwa, De Jong wanamlazimisha apunguze mshahara au auzwe ili timu iweze kubalance mahesabu yake)
- Yeye mwenyewe anataka kuondoka
- Hawezi tena kutoa matokeo mazuri na kufukia malengo ya timu
- Hana maelewano mazuri na key players
- Hana maelewano mazuri na managementi ya timu
- Timu ina malengo mapya na inahitaji kocha mpya nayeendana na hayo malengo mapya (mfano timu ilipouzwa kwa Abramovich 2004 Ranieri ilibidi aondolewe aletwe Mounrinho)
- Ziko sababu nyingi zaidi
