Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Seriously watu wanamfananisha Broja na Lukaku? Ngoja ligi ianze stress iondoke.
 
Weken mahaba pembeni, mi Lukaku alikua ananikera, na pia nilishamkataa humu tokea anataka kusajiliwa kutoka inter ila nilishambuliwa kw maneno. ila ni kumkosea heshima kumfananisha Lukaku na huyu muhindi bhana.
Hata robo tu haingii, tym will tell
Ni wewe ndio umetaka kumfananisha Broja na Lukaku. Halafu nilimaanisha kiubora katika commitment. Broja anaweza kuwa commited na Chelsea kuliko Lukaku na hapo ndio linakuja swala la ubora kati yao kwetu hasa katika hiki kipindi. Hebu mfuatilie Broja sio mchezaji mbovu kama unavyo jiaminisha mkuu.
 
Sababu za Kounde kuchagua Barcelona dhidi ya Chelsea ni mawasiliano kati yake na Xavi. Mawasiliano haya yalikuwa ni ya mara Kwa mara na kumfanya Kounde amuone Xavi kwamba Wana mtizamo na falsafa iliyofanana kuhusu football. Hiki kitu hakipo sana kwa Tuchel. Aliyekuwa nayo kidogo ni Lampard. Mchezaji ni kama msichana, usipojua kumtongoza vizuri hawezi kukubali. Sio pesa Wala nguvu ndio inayomsajili mchezaji.

The coach Xavi is one of the great reasons why I’m here. I’ve spoken to him several times and the way he spoke was captivating. We had some good conversations, we see football in the same way. Now it’s a question of coming into the team, doing my best and getting as many minutes as possible.”
-Said Kounde
 
Ni wewe ndio umetaka kumfananisha Broja na Lukaku. Halafu nilimaanisha kiubora katika commitment. Broja anaweza kuwa commited na Chelsea kuliko Lukaku na hapo ndio linakuja swala la ubora kati yao kwetu hasa katika hiki kipindi. Hebu mfuatilie Broja sio mchezaji mbovu kama unavyo jiaminisha mkuu.
Broja Hana experience yeyote, ndio soka lake linaanza, halafu Kuna wapendwa hapa wanamlinganisha na Lukaku aliyekuwa chumvi nyingi kwenye soka. Ni dhambi kubwa sana. Broja akipata kocha mzuri atakuja kuwa untouchable I tell you. Miaka 20 sio wa kumlinganisha na zembe jinga kama Lukaku
 
Broja Hana experience yeyote, ndio soka lake linaanza, halafu Kuna wapendwa hapa wanamlinganisha na Lukaku aliyekuwa chumvi nyingi kwenye soka. Ni dhambi kubwa sana. Broja akipata kocha mzuri atakuja kuwa untouchable I tell you. Miaka 20 sio wa kumlinganisha na zembe jinga kama Lukaku
Klabu yetu ya Chelsea sio mahala sahihi kwa academy players. Huyu Broja akipewa nafasi zaidi ya watu kama Greenwood walivyoanza
 
Chelsea is simply a small club thus why every player is refusing to join the club.
Hapo naona umeongea kishabiki Chelsea inakuaje ni team ndogo kwa hoja zipi kama ndio hoja yako hiyo mbona man u wachezaji wameikataa nayo ni ndogo? Reasons za kwanini baadhi ya wachezaji kuikataa chelseafc ni kwasababu structure nzima ya Chelsea imevurugika baada ya ujio wa wamiliki wapya na kibaya zaidi walikuwa wanahusika na masuala ya usajili na negotiations ya mikataba wameondoka wote kwa pamoja mama marina na Peter Cech pamoja na raisi wa chelsea katika kipindi muhimu kama hichi Cha usajili so imekuwa haina tena technical director so anayehisika sasa hivi ni Tajiri mwenyewe ambaye hana uzoefu wowote na hayo masuala hajui kushawishi wachezaji hajui kufanya communication na wachezaji na mbaya zaidi ni mbahili hivyo vyote ndio maana inatokea hiyo hali alafu kibaya zaidi anashindana na watu ambao wanauzoefu na hiyo kazi kama raisi wa Barcelona laporta anajua michezo michafu na pia yuko vizuri kwenye communication na mchezaji ambacho ni japo muhimu Sana kwenye kufanya agreement na mchezaji Unaweza usiwe na pesa lakini uwezo wa communication ukasaidia kumshawishi mchezaji.
allypipi
 
Hapo naona umeongea kishabiki Chelsea inakuaje ni team ndogo kwa hoja zipi kama ndio hoja yako hiyo mbona man u wachezaji wameikataa nayo ni ndogo? Reasons za kwanini baadhi ya wachezaji kuikataa chelseafc ni kwasababu structure nzima ya Chelsea imevurugika baada ya ujio wa wamiliki wapya na kibaya zaidi walikuwa wanahusika na masuala ya usajili na negotiations ya mikataba wameondoka wote kwa pamoja mama marina na Peter Cech pamoja na raisi wa chelsea katika kipindi muhimu kama hichi Cha usajili so imekuwa haina tena technical director so anayehisika sasa hivi ni Tajiri mwenyewe ambaye hana uzoefu wowote na hayo masuala hajui kushawishi wachezaji hajui kufanya communication na wachezaji na mbaya zaidi ni mbahili hivyo vyote ndio maana inatokea hiyo hali alafu kibaya zaidi anashindana na watu ambao wanauzoefu na hiyo kazi kama raisi wa Barcelona laporta anajua michezo michafu na pia yuko vizuri kwenye communication na mchezaji ambacho ni japo muhimu Sana kwenye kufanya agreement na mchezaji Unaweza usiwe na pesa lakini uwezo wa communication ukasaidia kumshawishi mchezaji.
allypipi
Sababu za Kounde kuchagua Barcelona dhidi ya Chelsea ni mawasiliano kati yake na Xavi. Mawasiliano haya yalikuwa ni ya mara Kwa mara na kumfanya Kounde amuone Xavi kwamba Wana mtizamo na falsafa iliyofanana kuhusu football. Hiki kitu hakipo sana kwa Tuchel. Aliyekuwa nayo kidogo ni Lampard. Mchezaji ni kama msichana, usipojua kumtongoza vizuri hawezi kukubali. Sio pesa Wala nguvu ndio inayomsajili mchezaji.

The coach Xavi is one of the great reasons why I’m here. I’ve spoken to him several times and the way he spoke was captivating. We had some good conversations, we see football in the same way. Now it’s a question of coming into the team, doing my best and getting as many minutes as possible.”
-Said Kounde
Hiyo sababu uliyotoa is OK plus na hiyo sababu aliyoitoa Kounde, spesifically TT kazidiwa na Xavi kwenye kushawishi wachezaji, this is a very big gap ambayo tunayo sasa hivi. Kocha hata kama ni mzuri kwenye kumanage team sio mzuri sana kwenye kushawishi wachezaji kuja chelsea ukimlinganisha na Xavi au hata Lampard alivyokuwa Chelsea
 
Lakini Chelsea kama kuna ushirikina
Screenshot_20220729-160942_OneFootball.jpg
 
Sevilla watoa sababu za Chelsea kushindwa kumsajili Kounde
moja wapo ni
  1. Chelsea walikuwa na wasiwasi kuhusu usajili wa Kounde (Sasa naanza kuamini sababu za ufupi wa Kounde kuwa ni kweli)
And Sevilla director Monchi has revealed that the Blues actually managed to derail their own transfer chances after putting a potential deal on ice earlier in the market.

“Chelsea kept us locked in talks for the past month and both us and the player reached a verbal agreement with them last Thursday,” Monchi said.

“But at the last moment, when everything seemed to be sealed and agreed, Chelsea had a few doubts on the movement that would have caused in their squad, and if the type of player that they needed was actually a profile like Jules Kounde or someone else.

“Talks stalled at the weekend, and even though they put in a really good bid they preferred to wait, which is totally logical and normal. During this hard bargaining, [Barcelona sporting director] Mateu Alemany manifested their interest for the first time on Monday.

“We asked them to make a bid and their first one fell short of what we were expecting. But after working on it, also thanks to an important effort from Barcelona’s side, we got to a very important figure which makes up the record sale in the club’s history.

“Chelsea then returned to the table, but eventually we accepted Barcelona’s bid because it was better than Chelsea’s. Eventually, we sold the player to a club which he is happy to go to, while Sevilla were able to get the best possible terms.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom