Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi jana niliona waliokuwa ni Koulibaly, Kante, Jorginho na Mount. Wengine wote walikuwa wastani au chini ya wastani. Lakini mikimbio ya Raheem ilionesha atakuwa mtu wa namna gani kadiri msimu unavyosonga.
Combination ya Havertz, Mount n Sterling jana ilikuwa iko poa, Jins wanavyolink huku Sterling na Kai wakibadilishana nafasi,

Jana jorginho kacheza poa sana,more progressiv passes,

Mendy now anafanya upuuzi magoal anayofungwa
 
Werner kuna uwezekano mkubwa sana akarudi Leipzig kwa mkopo msimu ujao.
1659168580921.png
 
Kwenye replay naona Mendy hayuko serious, same mistake anapangua mipira vibaya kwa kurudisha uwanjani badala ya kupangulia pembeni itoke from danger. Muunganiko wa Mount, Sterling na Havertz hata Odoi utakuja kuwa mzuri msimu ujao angalau wa kutuwezesha kubaki top 4 provided kule nyuma tuendelee kuwa solid na viungo watimize wajibu wao kiukamilifu
 
XI vs Udinesse (Training match)
Kepa
Chalobah Ampadu Sar
RlC Kovacic Galagher Chilwell
Ziyech Broja Pulisic

Sub.
Betinell, Emerson,Kenedy, Gilmour,Vale,CHO


Game inaanza saa 6 mchana, itakuwa live kupitia app ya chelsea
Nice to see broja in first eleven it is time to show his worth
 
Combination ya Havertz, Mount n Sterling jana ilikuwa iko poa, Jins wanavyolink huku Sterling na Kai wakibadilishana nafasi,

Jana jorginho kacheza poa sana,more progressiv passes,

Mendy now anafanya upuuzi magoal anayofungwa
Ile link up play kati ya Mount, Raheem na Kai ilikuwa nzuri sana. Walikuwa kama mbwamwitu pale mbele. Switching kati yao ilikuwa amazing. Goli la Mount utadhani ndio alikuwa CF. They could form a marauding team ukipenda unawaita MRK
 
Werner accepts 50% pay cut to force through Chelsea exit
 
Arsenal sio kipimo halisi kwetu, level yao ni kugombania kumaliza top 4. Hutuwezi kutumia nyundo kuua mbu.

Kipimo chetu ni CITY, Liver, Madrid, Barcelona na Bayern tukikutana nao ndio tutajua mustakabali wa kikosi chetu kubeba EPL na UCL msimu ujao.
I gree with you
 
Ft. UDINESE 0-2 CHELSEA
GOALS
LOFTUS-CHEEK
ZIYECH (PENALT)
Mimi nilikosa kipindi cha kwanza, nimeangalia kipindi cha pili. Broja amechezaje? Any chance anaweza kubaki? Nilimuona Gilmour kipindi cha pili, dk 15 kabla ya mpira kwisha. He looked solid on the ball, good passing but relatively low key....hajachangamka.
 
Arsenal sio kipimo halisi kwetu, level yao ni kugombania kumaliza top 4. Hutuwezi kutumia nyundo kuua mbu.

Kipimo chetu ni CITY, Liver, Madrid, Barcelona na Bayern tukikutana nao ndio tutajua mustakabali wa kikosi chetu kubeba EPL na UCL msimu ujao.
Ukweli mkuu utatuweka huru, Msimu huu hatutafika huko kwa Liverpool na City, ukweli utatupa afya njema. Msimu huu kipimo chetu ni akina Arteta, Ten Hag, Moyes, Conte and other mid-table teams. Hakuna usajili wowote ulkiofanyika, wachezaji wengine kunung;unika
Mimi najaribu kujiwekea mazingira nisipatwe na magonjwa ya kujitakia, na nitaendelea kufikiri hivyo

Tumepigwa 4-0 na Barcelona kwenye usajili, tukapigwa 4-0 na Arsenal pre season. Timu iko mikononi mwa wageni, Tunajilinganishaje na Liver na City hapo?
 
Mimi nilikosa kipindi cha kwanza, nimeangalia kipindi cha pili. Broja amechezaje? Any chance anaweza kubaki? Nilimuona Gilmour kipindi cha pili, dk 15 kabla ya mpira kwisha. He looked solid on the ball, good passing but relatively low key....hajachangamka.
Alicheza vizur if angekuwa makini angeweza toka na goal zaidi ya 1, hopeful atabaki.

Nimevutiwa sana na Ampadu kwenye hii Pre season, anatumai abaki kama squad player atatusaidia kwenye carabao,+ fa n kadri game zitakvyokuwa nyingi

Uzuri sasa hiv 5 sub zinaruhusiwa
 
Alicheza vizur if angekuwa makini angeweza toka na goal zaidi ya 1, hopeful atabaki.

Nimevutiwa sana na Ampadu kwenye hii Pre season, anatumai abaki kama squad player atatusaidia kwenye carabao,+ fa n kadri game zitakvyokuwa nyingi

Uzuri sasa hiv 5 sub zinaruhusiwa
Hata yule mkongwe wa mkopo (Kenedy) naona naye amejituma, tatizo isije kuwa ni preseason tu ili waonekane baada ya hapo wanakata fuse kabisa.
Mchezaji ambaye hana bahati na Chelsea ni Batshuayi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom