Marina alifanikiwa kwenye kufanya mauzo mazuri ya wachezaji ila alifeli kurecruit team ya ushindi. Most of the time alinunua wachezaji kinyume na matakwa ya kocha. Angalia manunuzi ya Drinkwater, Bakayoko, Barkey, Emerson, Werner;Hahahaha[emoji1787]
[emoji117] Binafsi kitendo cha tajiri kuingia sokoni kwenye usajili nilishangaa.
[emoji117] Tasnia ya Mpira ni kama familia moja.
[emoji117] Msimu mzima wakurugenzi wa vilabu, mawakala, wachezaji, scounting team na makocha wanakuwa kwenye mawasiliano kuhusu mambo ya sajili.
[emoji117] Dirisha linapofunguliwa ni kukamilisha deals mbali mbali.
[emoji117] Naimani hata Marina na Peter cech kabla ya vita ya ukraine, walikuwa wamesha- identify target zao sokoni na walikuwa wameshaanza kufanya mazungumzo mdogo mdogo na wadau mbali mbali.
Huu mfumo sidhani kama TT atautumia tenaTwende na 4-2-3-1 tuijaribu kwa mara nyingine.
--------------------------BROJA------------------------
STERLING ----- HARVETZ -------- MOUNT
------------- KANTE -------- JOGNHO -----------
CHIL-----KOULIBALY---THIAGO----JAMES
Hao karibia wote uliowataja walikuwa wanafanya vizuri kwenye timu zao za zamani ila walikuja kuflop wakiwa ChelseaMarina alifanikiwa kwenye kufanya mauzo mazuri ya wachezaji ila alifeli kurecruit team ya ushindi. Most of the time alinunua wachezaji kinyume na matakwa ya kocha. Angalia manunuzi ya Drinkwater, Bakayoko, Barkey, Emerson, Werner;
TT angewaachia tu, morale ya kuichezea Chelsea sioni kabisa, watakuwa mizigo tu msimu ujaoHivi hawa Azip na Alonso wanavyopangwa ni uhakika watabaki THE BLUES?
Marahaba. Mkongwe ndio lakini heshima anastahili mtu wa umri wowote, awe mzee au mtoto. Wewe unastahili heshima kama kijana mwenzako anavyostahili.Wewe mkongwe , shikamoo aisee
Humu unaweza kumtolea lugha mbaya mtu, kumbe Ni baba yako kabisa, hiyo miaka Kama mm ndio namiaka miwili
Sasa naanzaje kuacha bangi, eboo..una akili kweli wewe??!Acha bangi
Mimi jana niliona waliokuwa [emoji91]ni Koulibaly, Kante, Jorginho na Mount. Wengine wote walikuwa wastani au chini ya wastani. Lakini mikimbio ya Raheem ilionesha atakuwa mtu wa namna gani kadiri msimu unavyosonga.HONGERENI KWA USHINDI THE BLUES.
Jana sikupata bahati nzuri ya kuangalia mechi.
Ila naimani kikosi kinazidi kuimarika.
Kweli kilichobaki ni kumtakia kheri tu aendelee kuimarika huko ila sisi suala la kujifunza ni bado sanaKilalaheri kwake. Maisha lazima yasonge mbele.
Kujifunza pia ni sehemu ya maisha.
hata mimi sikuangalia, king'amuzi changu hakikuonyesha jana wamezana kuonyesha coomonweath competitions ila kwenye line up ilionyesha kuwa TT kashamaliza pre season kule USA. Jana kapabga kikosi kazi tu. kila mtu kwenye nafasi yake na kutumia formation yetu pendwa ya 343HONGERENI KWA USHINDI THE BLUES.
Jana sikupata bahati ya kuangalia mechi.
Ila naimani kikosi kinazidi kuimarika.
Batshuayi ma Barkley hawana nafasi kwenye plans za TT msimu huu unaokuja ambao watakuwepo ni Havertz, Broja, Pulisic na may be Werner japo kwa sasa hana mahusiano mazuri na mjerumani mwenzake baada ya kusema hayuko happy kwenye media na atakuwa happy nje ya ChelseaBasi hizo sajili za KOULIBALY na STERLING zimeleta uhai.
Sasa hapo tuongeze sajili 4 (CAM mbunifu, Winga ya kulia na CB wawili + Azip abaki)
Striker tutamsajili dirisha lijalo kwa sasa twende na false No.9 (Kai), Broja, Batshuayi.
Nadhani management ya club ndio ijifunze inapofeli. Haiwezekani wachezaji tu ndio wanaflop. Hadi mchezaji aflop kuna watu nyuma ya hiyo failure.Kilalaheri kwake. Maisha lazima yasonge mbele.
Kujifunza pia ni sehemu ya maisha.
Werner kuna uwezekano mkubwa sana akarudi Leipzig kwa mkopo msimu ujao.Batshuayi ma Barkley hawana nafasi kwenye plans za TT msimu huu unaokuja ambao watakuwepo ni Havertz, Broja, Pulisic na may be Werner japoo kwa sasa hana mahusiano mazuri na mjerumani mwenzake baada ya kusema hayuko happy kwenye media na atakuwa happy nje ya Chelsea
Azpilicueta na Alonso sidhani kama watabaki, kati ya wachezaji ambao ni lazima wasajiliwe hata kama kwa kuchelewa ni RB na CB wawili zaidi
Werner anaondoka.