Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chief tulinganishe na timu nyingine sio Arsenal.

Akili za kuambiwa pia changanya na zako.
Nayaheshimu mtizamo wako mkuu ila Arsenal ya Arteta ya safari hii sio ya kuibeza hata kidogo wao na Spurs wamejiandaa msimu ujao kuliko sisi. Hata mentality ya wachezaji na kocha iko tofauti

Tusimtukane Mamba ilihali hatujavuka mto
 
Usitishike na preseason subiri ligi ianze ndio utaona rangi halisi ya Arsenal
May be huu msemo wa wahenga utimie
"Different coaches and different players same Arsenal with same results"
 
Nayaheshimu mtizamo wako mkuu ila Arsenal ya Arteta ya safari hii sio ya kuibeza hata kidogo wao na Spurs wamejiandaa msimu ujao kuliko sisi. Hata mentality ya wachezaji na kocha iko tofauti

Tusimtukane Mamba ilihali hatujavuka mto
Hiv Arsenal hii Unaweza kuifananisha na ile iliyokuwa inashindania ubingwa na leicester city na Tottenham mwisho wa siku leceister city ndio akabeba kombe katika kipindi ambacho Chelsea, man u, liver na mancity wapo hovyo na still kashindwa kuchukua kombe msimu uliopita alishinda mechi 13 mfululizo na wakawa kwenye form nzuri tu mechi tano za mwisho wakashindwa kukaa kwenye top 4 nafasi yao akachukua Tottenham nakupa mifano ili ujue uhalisia wa Arsenal ilivyo ndio maana kuna wakati nawaonea huruma mashabiki wanaoishabikia Arsenal kiukweli wanauvumilivu mno
 
Hiv Arsenal hii Unaweza kuifananisha na ile iliyokuwa inashindania ubingwa na leicester city na Tottenham mwisho wa siku leceister city ndio akabeba kombe katika kipindi ambacho Chelsea, man u, liver na mancity wapo hovyo na still kashindwa kuchukua kombe msimu uliopita alishinda mechi 13 mfululizo na wakawa kwenye form nzuri tu mechi tano za mwisho wakashindwa kukaa kwenye top 4 nafasi yao akachukua Tottenham nakupa mifano ili ujue uhalisia wa Arsenal ilivyo ndio maana kuna wakati nawaonea huruma mashabiki wanaoishabikia Arsenal kiukweli wanauvumilivu mno
Lakini mkuu nazungumzia msimu ujao kwa kubase usajili na preseason, hayo ya miaka ya nyuma tumuachie Nguesso
 
Chilwell, Malang Sarr na Christian Pulisic hawakucheza vizuri leo kwenye ushindi wa 2-0
Chilwell bado fitness yake ya kabla ahjapata majeruhi haikurudi
 
Lakini mkuu nazungumzia msimu ujao kwa kubase usajili na preseason, hayo ya miaka ya nyuma tumuachie Nguesso
Arsenal itakuja kubadilika pale ambapo watakuja kusajili made player au proven player tofauti na hapo Arsenal itakuwa ile ile ndugu tupo hapa iweke hii comment yangu usitishike na preseason yao ngoja ligi ianze utakubaliana na mimi
 
Mbona hata porojo na fitina za Chelsea hazipo tena au ndio tajiri karidhika na squad tuliyonayo
 
Arsenal naona wanataka kufanya mazoea na magoli 4 View attachment 2308835
1659187247994.png
 
Dogo Glimour always anachezaga vizuri ana akili kubwa sana ya mpira labda changamoto kwake ni nguvu + kasi.
Kuna article moja jana niliisoma TT anashushuliwa mbaya kuhusu Gilmour. Anaambiwa Gilmour ni mchezaji wa timu ya taifa Wales, ameiwakilisha mara nyingi tu. Ilikuwaje huko US kwenye preseason apelekwe akacheze na development squad, watoto ambao ni wadogo kwake kwa miaka 4 hadi 5 wala siyo hata reserve team.

Kabla ya mkopo na team yake kushuka daraja alicheza kwa kiwango cha juu EPL hadi akawa MoTM mechi kati ya Liverpool na Chelsea. Inakuwaje TT amuone hana thamani kiasi hicho? Badala ya kumpa confidence anamshusha morali. Huku ni kumvunjia heshima na kumdhalilisha.
 
Kuna article moja jana niliisoma TT anashushuliwa mbaya kuhusu Gilmour. Anaambiwa Gilmour ni mchezaji wa timu ya taifa Wales, ameiwakilisha mara nyingi tu. Ilikuwaje huko US kwenye preseason apelekwe akacheze na development squad, watoto ambao ni wadogo kwake kwa miaka 4 hadi 5 wala siyo hata reserve team.

Kabla ya mkopo na team yake kushuka daraja alicheza kwa kiwango cha juu EPL hadi akawa MoTM mechi kati ya Liverpool na Chelsea. Inakuwaje TT amuone hana thamani kiasi hicho? Badala ya kumpa confidence anamshusha morali. Huku ni kumvunjia heshima na kumdhalilisha.
Development squad siyo ya watoto, ni squad ambayo wachezaji wanaotarajiwa kuingizwa kwenye fisrt team wanapitia kutokea academy hadi vijana wa 23 yrs wako pale pia wachezaji wanaotokea majeruhi kama bado hawapo fit kocha anaweza kuwapeleka huko ili wainue fitness yao kwanza. Swali je Gilmour hakuwa na fitness ya kutosha hadi apelekwe huko? au ni ile sababu aliyosema TT kuwa alitaka squad ndogo ili quality ionekane ya mazoezi hata hjivyo tukaishia kufungwa mfululizo

TT akiboa huwa naboa kweli kweli, inawezekana kabisa wachezaji wanaoogopa kuja Chelsea hawana imani kwa TT jinsi anavyowatreat baadhi ya wachezaji. Mawazo yangu tu!
 
Kuna article moja jana niliisoma TT anashushuliwa mbaya kuhusu Gilmour. Anaambiwa Gilmour ni mchezaji wa timu ya taifa Wales, ameiwakilisha mara nyingi tu. Ilikuwaje huko US kwenye preseason apelekwe akacheze na development squad, watoto ambao ni wadogo kwake kwa miaka 4 hadi 5 wala siyo hata reserve team.

Kabla ya mkopo na team yake kushuka daraja alicheza kwa kiwango cha juu EPL hadi akawa MoTM mechi kati ya Liverpool na Chelsea. Inakuwaje TT amuone hana thamani kiasi hicho? Badala ya kumpa confidence anamshusha morali. Huku ni kumvunjia heshima na kumdhalilisha.
Sio tu billy pekee kuna huyu Lewis Hall ndio ananiuma Sana sijajua huyu dogo ni raia wa nchi ni fundi Sana technically gifted anajua kupiga pass, yupo vizuri kwenye ukabaji na anauwezo wakucheza nafasi tofauti kama CAM na Wing back na Left back lakini chakushangaa hakuna hata mechi Moja ya preseason aliyopewa TT sijui anashida na hawa makinda hivi huyu dogo akampata mtu kama klopp au Guardiola tutaanza kulia lia
 
Ukweli ni kwamba tupo kwenye kundi la kushindania ubingwa la EPL... Timu yoyote ukipata majeruhi Kama tulivyopata msimu uliopita lazima watumbe tu.

Hivi pale Madrid Kuna wachezaji gani wa maana ukilinganisha na Chelsea? Still walichukua makombe...ni muda wa kocha kutumia rasilimali zilizopo na kushinda makombe, tumeingia fainali mbili msimu uliopita na tukatolewa kwenye penalty na tukafika hatua nzuri zaidi UCL msimu uliopita.

Tuseme ukweli, Chelsea bado ni timu yenye kikosi kizuri miongoni kwa timu barani ulaya, hizo timu za Liverpool na Man City wakipata majeruhi kwa key players wanne Kama tulivyopata msimu uliopita mtashangaa sana.

Tunaposema tufanye usajili, je wachezaji wa maana wanaowazidi tulionao wako wapi sokoni? au tunawaleta wachezaji ili wazoee ligi kwa misimu miwili then tunaowatoa nao wanakwenda kufanya vizuri huko waendako?

Tukubali tu, kama Chelsea wanataka kufanya vizuri inabidi kumpatia Kocha muda wa kutosha lakini siyo kununua tu wachezaji kisa timu zingine wananunua.
Chelsea ndiyo timu Ulaya wanaopeleka wachezaji wengi kwa mkopo, je tumeshajiuliza ni kwanini?
 
Ukweli ni kwamba tupo kwenye kundi la kushindania ubingwa la EPL... Timu yoyote ukipata majeruhi Kama tulivyopata msimu uliopita lazima watumbe tu.

Hivi pale Madrid Kuna wachezaji gani wa maana ukilinganisha na Chelsea? Still walichukua makombe...ni muda wa kocha kutumia rasilimali zilizopo na kushinda makombe, tumeingia fainali mbili msimu uliopita na tukatolewa kwenye penalty na tukafika hatua nzuri zaidi UCL msimu uliopita.

Tuseme ukweli, Chelsea bado ni timu yenye kikosi kizuri miongoni kwa timu barani ulaya, hizo timu za Liverpool na Man City wakipata majeruhi kwa key players wanne Kama tulivyopata msimu uliopita mtashangaa sana.

Tunaposema tufanye usajili, je wachezaji wa maana wanaowazidi tulionao wako wapi sokoni? au tunawaleta wachezaji ili wazoee ligi kwa misimu miwili then tunaowatoa nao wanakwenda kufanya vizuri huko waendako?

Tukubali tu, kama Chelsea wanataka kufanya vizuri inabidi kumpatia Kocha muda wa kutosha lakini siyo kununua tu wachezaji kisa timu zingine wananunua.
Chelsea ndiyo timu Ulaya wanaopeleka wachezaji wengi kwa mkopo, je tumeshajiuliza ni kwanini?
Hivi uoni ujio wa koulibaly na sterling wameongeza kitu ndani ya kikosi
 
Sio tu billy pekee kuna huyu Lewis Hall ndio ananiuma Sana sijajua huyu dogo ni raia wa nchi ni fundi Sana technically gifted anajua kupiga pass, yupo vizuri kwenye ukabaji na anauwezo wakucheza nafasi tofauti kama CAM na Wing back na Left back lakini chakushangaa hakuna hata mechi Moja ya preseason aliyopewa TT sijui anashida na hawa makinda hivi huyu dogo akampata mtu kama klopp au Guardiola tutaanza kulia lia
Mkuu tim nzima haiwez jaa academy,
Angalia city or Liverpool wanaaacademy wangap kwenye vikosi vyao?

Kwa nafasi anayicheza wako watu gani? Kuna age unaweza kuwa unatumika upande wa academy ikitokea game za carabao or fa against tim ndogo kama za league 1 huenda akacheza ila kupewa nafasi tusidanganyane hapa .
 
Hivi uoni ujio wa koulibaly na sterling wameongeza kitu ndani ya kikosi
Nazungumzia Hali ya Sasa baada ya ujio wa hao wawili...Mimi kwakweli sipendezwi na Hali ya Chelsea kuwa na wachezaji wengi wenye uwezo chini ya miaka 23 alafu hawapewi nafasi, kwakweli inaniuma sana.

Hivi Lapsey sijui nimepatia jina vizuri, tukiwa kwenye Hali mbaya ya majeruhi...mechi yetu na Arsenal aliingia na kutusaidia kutoka na Ushindi lakini akauzwa kwenda Briton.
 
Nazungumzia Hali ya Sasa baada ya ujio wa hao wawili...Mimi kwakweli sipendezwi na Hali ya Chelsea kuwa na wachezaji wengi wenye uwezo chini ya miaka 23 alafu hawapewi nafasi, kwakweli inaniuma sana.

Hivi Lapsey sijui nimepatia jina vizuri, tukiwa kwenye Hali mbaya ya majeruhi...mechi yetu na Arsenal aliingia na kutusaidia kutoka na Ushindi lakini akauzwa kwenda Briton.
Kipindi Cha majeruhi ya Jemes na Chillwell yule dogo angetusaidia sana.
 
Nazungumzia Hali ya Sasa baada ya ujio wa hao wawili...Mimi kwakweli sipendezwi na Hali ya Chelsea kuwa na wachezaji wengi wenye uwezo chini ya miaka 23 alafu hawapewi nafasi, kwakweli inaniuma sana.

Hivi Lapsey sijui nimepatia jina vizuri, tukiwa kwenye Hali mbaya ya majeruhi...mechi yetu na Arsenal aliingia na kutusaidia kutoka na Ushindi lakini akauzwa kwenda Briton.
Dg alikataa kuongeza mkataba, n akataka awe anacheza mara kwa mara

Tujue sio kila academy atapata nafasi ya kucheza, wakat wewe unasubiri academy wakomae huku wenzako wanachukua ndoo kila siku na kuimarisha vikosi vyao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom