lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Swali la msingi je anatufaa kutuvusha kwenye ubingwa? anayo consistency au badoAmpadu ni mzuri hata kule venezia alikiwa ni mzuri sema alikuwa amezungukwa na wachezaj wa hovyo,
Swali la msingi je anatufaa kutuvusha kwenye ubingwa? anayo consistency au badoAmpadu ni mzuri hata kule venezia alikiwa ni mzuri sema alikuwa amezungukwa na wachezaj wa hovyo,
Sio tu mzuri kwenye umiliki wa mpira, analeta utulivu wa timu na kushusha temple ya mpinzani anaposhambulia sana. Jorginho ni bonge la mchezaji sema wewe unataka jorginho afanye kazi kama ozil, Eric erikisen wakati yeye ni deep playmaker anaichezesha team kuanzia chini na yeye ndio anafanya flow ya team kuwa NzuriNimeeleza clearly faida yake tumiliki mpira then?? tunabeba ubingwa then. Jorginho hata kama ni mzuri hawezi kutuvusha tunakotaka kwenda .period
Nimeeleza clearly faida yake tumiliki mpira then?? tunabeba ubingwa then. Jorginho hata kama ni mzuri hawezi kutuvusha tunakotaka kwenda .period
Kama unazumzia ile nafasi Kai aliyo paisha na left foot basi pasi ilitoka kwa bwana mdogo Conor. Performance ya kawaida mzee labda unamuelewa Sana ziyechKwa highlight nimeona kacheza vizuri nimeona katengeneza nafasi mbili Moja ya cross kichwa kikapigwa na Thiago silva kipa akaokoa nyingine kamtengenezea kai akazigua
Ni kweliMnafanya masihara kubeba ubingwa wa EPL mbele ya CITY na Liver.
Bado hatuna kikosi hicho cha ubora wa kutopoteza mechi chini ya 3 kwa msimu, hatuna kikosi cha kushinda mechi nyingi mfululizo EPL.
Pamoja na sajili tulizofanya za Sterling + Koulibaly + labda kimpembe
Bado:-
1. Tunahitaji kusajili kiungo mshambuliaji fundi haswa
2. Kiungo mkabaji kusaidiana na Kante
3. Beki wa kulia kusaidiana na James
4. Winga ya kulia wenye uwezo wa kufunga goal 10+ na Assist 10+ kwa msimu
5. Tunahitaji striker wa kufunga goal 15+ kwa msimu.
Kikosi tulichonacho kwa sasa hakina uwezo wa kubeba point 100 EPL, ukweli usemwe.
Mkuu yaani umeyasema kama na mimi ninavyowaza. Usajili unaofanyika kiungo na mbele isipoguswa, EPL forget labda UCL. Viungo tulionao ni wazuri lakini hawako kwenye level ya kutupa EPL, forward tulionao ni wazuri lakini sio agressive wa kufunga magoli yanayotosha kuondoa gap ya kwetu na City na Liver na hivyo kutupa EPLMnafanya masihara kubeba ubingwa wa EPL mbele ya CITY na Liver.
Bado hatuna kikosi hicho cha ubora wa kutopoteza mechi chini ya 3 kwa msimu, hatuna kikosi cha kushinda mechi nyingi mfululizo EPL.
Pamoja na sajili tulizofanya za Sterling + Koulibaly + labda kimpembe
Bado:-
1. Tunahitaji kusajili kiungo mshambuliaji fundi haswa
2. Kiungo mkabaji kusaidiana na Kante
3. Beki wa kulia kusaidiana na James
4. Winga ya kulia wenye uwezo wa kufunga goal 10+ na Assist 10+ kwa msimu
5. Tunahitaji striker wa kufunga goal 15+ kwa msimu.
Kikosi tulichonacho kwa sasa hakina uwezo wa kubeba point 100 EPL, ukweli usemwe.
Then tumsajili sasa atacking midfielder wa kusadiana na Mount ambaye hata ikibidi amweka Mount Bench maana tukiendelea kuwategemea akina Jorgninho na kuwalaumu bure kumbe sio kazi yaoSio tu Nzuri kwenye umiliki wa mpira, analeta utulivu wa timu na kushusha temple ya mpinzani anaposhambulia sana jorginho ni binge la mchezaji sema wewe unataka jorginho afanye kazi kama ozil, Eric erikisen wakati yeye ni deep playmaker anaichezesha team kuanzia chini na yeye ndio anafanya flow ya team kuwa Nzuri
Atakayekubishia atakuwa na mahaba tu Chelsea. Man City msimu ujao watakuwa moto zaidi ya msimu huu ulioisha. Chelsea bado tiamaji tiamaji. Hatuna Centre forward wa kuogopwa na mabeki. Naona kama usajili wa maana usipofanyika tunaweza kuwa hata chini ya Arsenal na SpursMnafanya masihara kubeba ubingwa wa EPL mbele ya CITY na Liver.
Bado hatuna kikosi hicho cha ubora wa kutopoteza mechi chini ya 3 kwa msimu, hatuna kikosi cha kushinda mechi nyingi mfululizo EPL.
Pamoja na sajili tulizofanya za Sterling + Koulibaly + labda kimpembe
Bado:-
1. Tunahitaji kusajili kiungo mshambuliaji fundi haswa
2. Kiungo mkabaji kusaidiana na Kante
3. Beki wa kulia kusaidiana na James
4. Winga ya kulia wenye uwezo wa kufunga goal 10+ na Assist 10+ kwa msimu
5. Tunahitaji striker wa kufunga goal 15+ kwa msimu.
Kikosi tulichonacho kwa sasa hakina uwezo wa kubeba point 100 EPL, ukweli usemwe.
Akipewa nafasi n akiwa back ya kante n jorginho katika dm atatuvushaSwali la msingi je anatufaa kutuvusha kwenye ubingwa? anayo consistency au bado
Pulisic?JAMES:- Akipata Majeruhi msimu umeisha, Azpi ameshazeeka, Odoi, Pulisic, Cheek kucheza wing back kama mbadala wa James ni wastage of time
CHILWELL:- Akipata Majeruhi msimu umeisha, Alonso kiwango chake hakitabiriki, Ermason hana quality hiyo ya kutisha
KANTE:- Ametumika sana majeruhi yanamsumbua sana, sio wa kumtegemea awepo uwanjani msimu mzima. Hivi karibuni pale tunapomhitaji ndio yuko Majeruhi
KOVACIC:- Ana tatizo la misuli kuwaka moto, hawezi kucheza mechi 10 mfulilizo lazima atakaa nje wiki 2 kuuguza misuli.
Kwa hali tuliyopitia ni ngumu kufanya sajil zote hizo msim huu, sahiv tupo kwenye rebuilding kama tuchel alivyosemaMnafanya masihara kubeba ubingwa wa EPL mbele ya CITY na Liver.
Bado hatuna kikosi hicho cha ubora wa kutopoteza mechi chini ya 3 kwa msimu, hatuna kikosi cha kushinda mechi nyingi mfululizo EPL.
Pamoja na sajili tulizofanya za Sterling + Koulibaly + labda kimpembe
Bado:-
1. Tunahitaji kusajili kiungo mshambuliaji fundi haswa
2. Kiungo mkabaji kusaidiana na Kante
3. Beki wa kulia kusaidiana na James
4. Winga ya kulia wenye uwezo wa kufunga goal 10+ na Assist 10+ kwa msimu
5. Tunahitaji striker wa kufunga goal 15+ kwa msimu.
Kikosi tulichonacho kwa sasa hakina uwezo wa kubeba point 100 EPL, ukweli usemwe.
Hatuwez sajil wachezaj 8 ndani ya dirisha moja,never wenzetu sio kama sisiPulisic?
Ziyech no hurry in Africa
Mount - over used
Jorgninho ana tabia ya kuchoka haraka, baada ya halftime hawezi tena kucheza vizuri
Havertz bado anakua
Broja bado anakua
Bado tuna siku 40+ kusajili wachezaji muhimu
Achana na hiyo kuna Moja kamtengenezea kaiKama unazumzia ile nafasi Kai aliyo paisha na left foot basi pasi ilitoka kwa bwana mdogo Conor. Performance ya kawaida mzee labda unamuelewa Sana ziyech
Mkuuu inaonekana eriksen amekuuumiza sana kwenda nyumbu ?poleUsikwepe mada mkuu, Eriksen ni bonge la kiungo, majeraha yale kashapona na ameprove hilo msimu uliopita. Eriksen ni type ya akin Modric wa Real Madrid, anatumia brain sana wakati anacheza tofauti na hawa wa kwetu wa kukariri kama akina Jorgninho. Afadhali Kova na Kante wana style yao ya uchezaji wenye faida kwa timu. Uwezo wa kupeleka mipira mbele, ila Jorginho sionagi faida yake zaidi ya sideways na back passes ili tumiliki mpira kwa 70% huku tunadondosha points
Hakuna ubishi hapo, UEFA mwaka juzi tuliupata kwa hisani ya ulinzi imaraIla wanangu, ulinzi ni bora zaidi kuliko kwenye ushambuliaji.