Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bila kusahau lile aliwafunga AseNANE
Wnaoniunga mkono tumrudishe Hazard maana nasikia kule hana Raha, amefanywa kama Dodoki
Apunguze mshahara wake tumlipe £150,000/wiki kwa sababu sasa yuko over 30yrs
Akija huku anaweza rudisha ile mentality na munkari wa kufunga
Nakumbuka lile goli alilowafunga Westham alianzia katikati akawalamba chenga walinzi kama wanne kabla hajasunga yeye na kipa tu, Solo goal na goli bora la msimu
Nakumbuka pia aliwatesa sana Liverpool kuna goli moja kwenye Karabao kawazunguka mabeki akian Heanderson wakiwemo na kufunga a beatifull goal
Welcome back to Chelse Hazard uje umalizie ulichokiacha
 
Mashabiki wa Sevilla wamemuaga Jules Kounde na kumtakia mafanikio huko aendako ila wamemtahadharisha asibaki Spain. Sidhani kama Kounde yuko tayari kuwaudhi fans wake wengi wanaompenda kwa kwenda kucheza na competitor wao wa ligi moja
 
Chalobah katuuza mnadani
Mbwembwe za Conor nayo ikatuzamisha kabisa
Hii ndio indicator sahihi ya kuwa na academy wengi kwenye timu na kuwategemea. Hata kama wakicheza vizuri, too much repeated silly mistakes zinizamisha timu. Kwenye ligi madudu kama haya hata relegated teams zitakunyima points
Hao watoto kina Gallagher ,msiwaamini kwenda nao kwenye Ligi watawauza kukosa point kizembe
 
Chelsea mkijiroga muanzd Ligi bila a CF mkitegemea viungo

Sterling Kai Mount. Au

Sterling Werner Ziyech

Mtakuwa mnapata goli moja mnapambana kulinda au mkipigwa watu wanafunga duka


False 9 ya Kai ina work kwenye Tournament ,kwa Ligi mbio ndefu mtasumbuka Sana
Ubaya kwasasa hakuna CF wa maana sokon
 
Nakumbuka ulikuwa unamtetea sana hapa.
YES, sikujua kama atabehave like a kid katika umri huu. Nilianza kumchukia pale alipoenda kuonge na SkySports Italia na kuanza kuilili Inter kama mtoto anayelili nyonyo ya mama. Yaani katika ulimwengu wa soka hajawahi kutokea footballer mpumbavu kama Lukaku. Na nahisi hata kule inter watamtupa hivi punde kwa sababu aliyemuwezea alikuwa ni Conte tu
 
YES, sikujua kama atabehave like a kid katika umri huu. Nilianza kumchukia pale alipoenda kuonge na SkySports Italia na kuanza kuilili Inter kama mtoto anayelili nyonyo ya mama. Yaani katika ulimwengu wa soka hajawahi kutokea footballer mpumbavu kama Lukaku. Na nahisi hata kule inter watamtupa hivi punde kwa sababu aliyemuwezea alikuwa ni Conte tu
😂😂😂Nilimuona kwenye page ya Raphina

Ila Lukaku Sijui mlimuudhi nn
 
Chelsea mkijiroga muanzd Ligi bila a CF mkitegemea viungo

Sterling Kai Mount. Au

Sterling Werner Ziyech

Mtakuwa mnapata goli moja mnapambana kulinda au mkipigwa watu wanafunga duka


False 9 ya Kai ina work kwenye Tournament ,kwa Ligi mbio ndefu mtasumbuka Sana
Ubaya kwasasa hakuna CF wa maana sokon
Mpaka sasa hivi hakuna timu ya kututoa pale tulipo, wivu wako utakuloga ufe. Tangu atoke Costa tumeendelea kufanya vizuri bila focal man kule mbele. Ushauri wako peleka kule kwenye timu yako nadhani wanahitaji huo ushauri kuliko sisi
 
Mpaka sasa hivi hakuna timu ya kututoa pale tulipo, wivu wako utakuloga ufe. Tangu atoke Costa tumeendelea kufanya vizuri bila focal man kule mbele. Ushauri wako peleka kule kwenye timu yako nadhani wanahitaji huo ushauri kuliko sisi
Acha makasirikio wewe jamaa
 
Kwa mentality aliyonayo Pulisic ya kutaka kupigania nafasi yake Chelsea na nilivyomuaon mechi na Chalotte, msimu ujao atafanya vizuri kuliko misimu yote aliyokuwepo Chelsea, Werner naye atafanya vizuri. Ambaye simuoni akibadilika ni Ziyech, sioni positive mentality yeyote itakayomfanya aboreshe uchezaji wake. May be I am wrong
 
YES, sikujua kama atabehave like a kid katika umri huu. Nilianza kumchukia pale alipoenda kuonge na SkySports Italia na kuanza kuilili Inter kama mtoto anayelili nyonyo ya mama. Yaani katika ulimwengu wa soka hajawahi kutokea footballer mpumbavu kama Lukaku. Na nahisi hata kule inter watamtupa hivi punde kwa sababu aliyemuwezea alikuwa ni Conte tu
Inter wanataka kumtumia tu sidhani kama watakua na mpango wa kumnunua
 
IMG-20220721-WA0001.jpg
 
Limbu, umeingiza watu chaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna aliyekuwa sahihi, taarifa zilikanganya

Mechi ilikuwa saa tisa na nusu usiku wa manane, niliangalia tena kwa kubahatisha tu, nilikosa usingizi nikasema ngoja nicheki kuna nini kwenye football news ndio nikakutana na mechi zote za USA zilzichezwa saa tisa. Mancity na Arsenal pia walikuwa wakicheza
 
Kwa mentality aliyonayo Pulisic ya kutaka kupigania nafasi yake Chelsea na nilivyomuaon mechi na Chalotte, msimu ujao atafanya vizuri kuliko misimu yote aliyokuwepo Chelsea, Werner naye atafanya vizuri. Ambaye simuoni akibadilika ni Ziyech, sioni positive mentality yeyote itakayomfanya aboreshe uchezaji wake. May be I am wrong
Shida ya pulisic sio mtu wakucheza 10 games mfululizo pancha nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom